Zjevení 13 – SNC & NEN

Slovo na cestu

Zjevení 13:1-18

Dvě šelmy – dva největší satanovi spojenci

1Já jsem stál na břehu moře. Viděl jsem, že se z moře vynořila šelma a měla také sedm hlav a deset rohů jako drak. Královskou korunu však měla na každém svém rohu a na každé hlavě božský titul urážející pravého Boha. 2Vypadala jako levhart, nohy měla jako medvěd a tlamu jako lev. Drak jí propůjčil svou sílu, trůn a velikou moc. 3Jedna z jejích hlav se zdála smrtelně zraněna, ale vyhojila se. Celý svět se té bestii obdivoval a poslušně ji následoval. 4Chválili draka, že jí dal takovou moc, uctívali šelmu a říkali: „Kdo se vyrovná takovému dravci, kdo se s ním může měřit?“

5Šelma se holedbala a rouhala Bohu a vládla světu dvaačtyřicet měsíců. 6Po celou tu dobu se snažila zneuctít Boha, jeho jméno a svatyni a všechny, kteří mají svůj domov v nebi. 7Bylo jí dovoleno, aby válčila proti věřícím a vítězila nad nimi. Nakonec ovládala každý kmen, národ i rasu. 8Uctívat ji budou však jen ti obyvatelé země, jejichž jména nejsou zapsána do Knihy věčného života, knihy obětovaného Beránka. 9Slyšte!

10Komu je určeno vězení,

půjde do vězení,

kdo má jít na smrt,

bude popraven.

Ano, takové zkoušky musejí přijít na Boží lidi,

aby osvědčili svou vytrvalost a víru.

11Pak jsem spatřil jinou šelmu, jak vystupuje ze země. Měla jen dva malé rohy jako beránek, ale mluvila jako drak. 12Ta se teď stává vykonavatelem moci té první šelmy. Nutí obyvatele země, aby uctívali onu první šelmu, která se vyléčila ze smrtelné rány. 13I ta druhá šelma koná neuvěřitelné divy, předvede dokonce, že před očima lidí sestoupí oheň z nebe. 14Přikáže jim, aby postavili sochu té smrtelně zraněné a zase uzdravené bestii. 15Druhá šelma dokáže i tu sochu oživit, socha promluví a rozkáže pobít všechny, kdo se jí neklanějí. 16Nutí všechny, malé i velké, bohaté i chudé, otroky i svobodné, aby si na pravé ruce nebo na čele dali udělat její znak, 17takže nikdo nedostane povolení k nákupu a prodeji zboží, kdo nemá znak té šelmy nebo číslo, které ukazuje na její jméno. 18Zamyslete se nad tím a sečtěte číslice té šelmy. Je to číslo šest set šedesát šest a značí člověka bez Boha.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 13:1-18

113:1 Dan 7:1-6; Ufu 16:13; 12:3; Dan 11:36; Ufu 17:3Yule joka akajikita katika mchanga ulioko ufuoni mwa bahari.

Mnyama Kutoka Baharini

Nami nikamwona mnyama akitoka ndani ya bahari. Mnyama huyo alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, akiwa na taji kumi kwenye hizo pembe zake, na juu ya kila kichwa kulikuwa na jina la kukufuru. 213:2 Dan 7:6; 7:5; 7:4; Ufu 16:10Mnyama yule niliyemwona alifanana na chui, lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu na kichwa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu zake, kiti chake cha enzi na mamlaka makubwa. 313:3 Ufu 17:8Kimojawapo ya vichwa vya huyo mnyama kilikuwa kama kilichokwisha kupata jeraha la mauti, lakini jeraha hilo la mauti likapona. Ulimwengu wote ukashangaa ukamfuata huyo mnyama. 413:4 Kut 15:11Watu wakaliabudu lile joka kwa sababu lilikuwa limempa huyo mnyama mamlaka yake, pia wakamwabudu huyo mnyama na kuuliza, “Ni nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana vita naye?”

513:5 Dan 11:36; 2The 2:4; Ufu 11:2Huyo mnyama akapewa kusema maneno ya kiburi na kukufuru na kutumia mamlaka yake kwa muda wa miezi arobaini na miwili. 613:6 Ufu 12:12Akafungua kinywa chake ili kumkufuru Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo na wale wakaao mbinguni. 713:7 Dan 7:21; Ufu 11:7; 5:9Pia akaruhusiwa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda. Akapewa uwezo juu ya watu wa kila kabila, jamaa, lugha na taifa. 813:8 Ufu 3:10; 3:5; 20:12; Mt 25:34Nao watu wote waishio duniani watamwabudu huyo mnyama, yaani, wale wote ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.

913:9 Ufu 2:7Yeye aliye na sikio na asikie.

1013:10 Yer 15:2; 43:11; Hes 6:12; Ufu 14:12Ikiwa mtu ni wa kuchukuliwa mateka,

atachukuliwa mateka.

Ikiwa mtu ni wa kuuawa kwa upanga,

atauawa kwa upanga.

Hapa ndipo penye wito wa subira na imani ya watakatifu.

Mnyama Kutoka Dunia

1113:11 Ufu 13:1, 2Kisha nikamwona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka dunia. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena kama joka. 1213:12 Ufu 19:20; 20:4Akatumia mamlaka yote ya yule mnyama wa kwanza kwa niaba yake, naye akawafanya wote wakaao duniani kumwabudu yule mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona. 1313:13 Mt 24:24; 2Fal 1:10; Lk 9:54Naye akafanya ishara kuu na za ajabu, hata kusababisha moto kushuka toka mbinguni kuja duniani watu wakiona waziwazi. 1413:14 2The 2:9, 10; Ufu 12:9Kwa sababu ya zile ishara alizokuwa amepewa uwezo wa kuzifanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza, akawadanganya wakaao duniani. Akawaamuru wasimamishe sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi. 1513:15 Dan 3:3-6Akapewa uwezo wa kuipa pumzi ile sanamu ya yule mnyama wa kwanza, ili iweze kusema na kuwasababisha wale wote waliokataa kuiabudu hiyo sanamu kuuawa. 1613:16 Ufu 19:5; 14:9Pia alimlazimisha kila mmoja, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, mtu huru na mtumwa, atiwe chapa kwenye mkono wake wa kuume au kwenye kipaji chake cha uso, 1713:17 Ufu 14:9; 14:11; 15:2ili kwamba mtu yeyote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa amekuwa na hiyo chapa, ambayo ni jina la huyo mnyama au tarakimu za jina lake.

1813:18 Ufu 17:9; 15:2; 21:17Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na ufahamu na ahesabu tarakimu za huyo mnyama, kwa maana ni tarakimu za kibinadamu. Tarakimu zake ni 666.