پيدايش 6 – PCB & NEN

Persian Contemporary Bible

پيدايش 6:1‏-22

طوفان نوح

1‏-2در اين زمان كه تعداد انسانها روی زمين زياد می‌شد، پسران خدا6‏:1‏و2 منظور از «پسران خدا» ممکن است نسل خداپرست شيث باشد، زيرا لفظ پسران خدا به مردم خداپرست نيز اطلاق می‌شد. در اين صورت می‌توان آيات مزبور را چنين تفسير کرد که پسران نسل شيث با دختران نسل قائن ازدواج کردند و فرزندانی به وجود آوردند که به شرارت روی آوردند. ولی برخی از مفسرين معتقدند که منظور از پسران خدا، فرشتگانی می‌باشند که از فرمان خدا سرپيچی نمودند.‏ مجذوب دختران زيباروی انسانها شدند و هر كدام را كه پسنديدند، برای خود به زنی گرفتند. 3آنگاه خداوند فرمود: «روح من هميشه در انسان باقی نخواهد ماند، زيرا او موجودی است فانی و نفسانی. پس صد و بيست سال به او فرصت می‌دهم تا خود را اصلاح كند.»

4پس از آنكه پسران خدا و دختران انسانها با هم وصلت نمودند، مردانی غول‌آسا از آنان به وجود آمدند. اينان دلاوران معروف دوران قديم هستند. 5‏-6هنگامی كه خداوند ديد مردم غرق در گناهند و دائماً به سوی زشتی‌ها و پليدی‌ها می‌روند، از آفرينش انسان متأسف و محزون شد.

7پس خداوند فرمود: «من انسانی را كه آفريده‌ام از روی زمين محو می‌كنم. حتی حيوانات و خزندگان و پرندگان را نيز از بين می‌برم، زيرا از آفريدن آنها متأسف شدم.»

8اما در اين ميان نوح مورد لطف خداوند قرار گرفت. 9‏-10اين است سرگذشت او:

نوح سه پسر داشت به نامهای سام، حام و يافث. او تنها مرد درستكار و خداترس زمان خودش بود و هميشه می‌كوشيد مطابق خواست خدا زندگی كند.

11در اين زمان، افزونی گناه و ظلم در نظر خدا به منتها درجهٔ خود رسيده و دنيا به کلی فاسد شده بود.

12‏-13وقتی خدا فساد و شرارت بشر را مشاهده كرد، به نوح فرمود: «تصميم گرفته‌ام تمام اين مردم را هلاک كنم، زيرا زمين را از شرارت پُر ساخته‌اند. من آنها را همراه زمين از بين می‌برم.

14«اما تو، ای نوح، با چوب درخت سرو يک كشتی بساز و در آن اتاقهايی درست كن. درزها و شكافهای كشتی را با قير بپوشان. 15آن را طوری بساز كه طولش ۳۰۰ ذراع،6‏:15 فاصله بين سرانگشتان تا آرنج را يک ذراع می‌گفتند. هر ذراع تقريباً نيم متر است.‏ عرضش ۵۰ ذراع و ارتفاع آن ۳۰ ذراع باشد. 16يک ذراع پايينتر از سقف، پنجره‌ای برای روشنايی كشتی بساز. در داخل آن سه طبقه بنا كن و در ورودی كشتی را در پهلوی آن بگذار.

17«بزودی من سراسر زمين را با آب خواهم پوشانيد تا هر موجود زنده‌ای كه در آن هست، هلاک گردد. 18اما با تو عهد می‌بندم كه تو را با همسر و پسران و عروسانت در كشتی سلامت نگاه دارم. 19‏-20از تمام حيوانات، خزندگان و پرندگان يک جفت نر و ماده با خود به داخل كشتی ببر، تا از خطر اين طوفان در امان باشند. 21همچنين خوراک كافی برای خود و برای تمام موجودات در كشتی ذخيره كن.» 22نوح تمام اوامر خدا را انجام داد.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 6:1-22

Gharika Kuu

16:1 Mwa 1:28Watu walipoanza kuongezeka idadi katika uso wa dunia na watoto wa kike wakazaliwa kwao, 26:2 Ay 1:6; 2:1; Kum 21:11; Mwa 4:19wana wa Mungu wakawaona kuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuri wa sura, wakaoa yeyote miongoni mwao waliyemchagua. 36:3 Ay 10:9; 34:14; Gal 5:15-17; Isa 40:6; 57:16; 1Pet 3:20; Za 78:39; 103:14Ndipo Bwana akasema, “Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye ni wa kufa, siku zake zitakuwa miaka 120.”

46:4 Hes 13:33; Mwa 11:4Wanefili walikuwako duniani siku hizo, na baadaye, hao wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu na kuzaa nao. Wanefili walikuwa mashujaa na watu waliojulikana wa zamani hizo.

56:5 Mwa 38:7; 8:21; Ay 34:26; Yer 1:16; 44:5; Eze 3:19; Za 14:1-3Bwana akaona jinsi uovu wa mwanadamu ulivyokuwa mkubwa duniani, na ya kuwa kila mwelekeo wa mawazo ya moyo wake wakati wote ulikuwa mbaya tu. 66:6 Kut 32:14; 1Sam 15:11, 35; 2Sam 24:16; 1Nya 21:15; Isa 63:10; Efe 4:30; Yer 18:7-10Bwana akasikitika kwamba alimuumba mwanadamu duniani, moyo wa Mungu ukajaa masikitiko. 76:7 Eze 33:28; Sef 1:2, 18; Mwa 7:4, 21; Kut 28:36; 29:20Kwa hiyo Bwana akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemuumba kutoka kwenye uso wa dunia, wanadamu na wanyama, pamoja na viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Kwa maana nasikitika kuwaumba.” 86:8 Eze 14:14; Mwa 19:19; 39:4; Kut 33:12-17; 34:9; Hes 11:15; Rut 2:2; Lk 1:30; Mdo 7:46Lakini Noa akapata kibali machoni pa Bwana.

96:9 Mwa 2:4; 5:22; 7:1; 17:1; Kum 18:13; 2Sam 22:24; Ay 1:1; 4:6; 9:21; 12:4; 31:6; Za 15:2; 18:23; 19:13; 37:37; Mit 2:7; Yer 15:1; Eze 14:14-20; Dan 10:11; Lk 1:6; Ebr 11:7; 2Pet 2:5Hivi ndivyo vizazi vya Noa.

Noa alikuwa mtu wa haki, na mkamilifu miongoni mwa watu wa wakati wake, tena alitembea na Mungu. 106:10 Lk 3:36; Mwa 5:32Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.

116:11 Kum 31:29; Amu 2:19; Za 73:6; Eze 7:23; 8:17; 28:16; Mal 2:16Wakati huu dunia ilikuwa imejaa uharibifu na ukatili machoni pa Mungu. 126:12 Kut 32:7; Kum 4:16; 9:12, 24; Za 14:1-3Mungu akaona jinsi dunia ilivyoharibika, kwa maana watu wote duniani walikuwa wameharibu njia zao. 136:13 Kum 28:63; 2Fal 8:19; Ezr 9:14; Yer 44:11, 27; Mwa 7:4, 21-23; Ay 34:15; Isa 5:6; 24:1-3; Eze 7:2-3Kwa hiyo Mungu akamwambia Noa, “Nitawaangamiza watu wote, kwa kuwa dunia imejaa ukatili kwa sababu yao. Hakika mimi nitaangamiza watu pamoja na dunia. 146:14 Ebr 11:7; 1Pet 3:20; Kut 2:3Kwa hiyo jitengenezee safina kubwa kwa mbao za mvinje, tengeneza vyumba ndani yake na uipake lami ndani na nje. 15Hivi ndivyo utakavyoitengeneza: Safina iwe na urefu wa dhiraa 300,6:15 Dhiraa 300 ni sawa na mita 135. upana wake dhiraa hamsini6:15 Dhiraa 50 ni sawa na mita 22:5. na kimo chake dhiraa thelathini.6:15 Dhiraa 30 ni sawa na mita 13:5. 16Itengenezee paa na umalizie safina kwa kuacha nafasi ya dhiraa moja6:16 Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45. juu. Weka mlango ubavuni mwa safina, na uifanye ya ghorofa ya chini, ya kati na ya juu. 176:17 Za 29:10; 2Pet 2:5Nitaleta gharika ya maji juu ya nchi ili kuangamiza uhai wote chini ya mbingu, kila kiumbe chenye pumzi ya uhai ndani yake. Kila kitu juu ya nchi kitaangamia. 186:18 Mwa 7:1, 7; 9:9-16; 17:7; 19:12; Kut 6:4; 34:10; Za 25:10; 74:20; 106:45; Eze 16:60; Kum 29:13-15; Isa 55:3; Hag 2:5; Yer 32:40; 1Pet 3:20Lakini Mimi nitaweka Agano langu na wewe, nawe utaingia ndani ya Safina, wewe pamoja na mke wako, wanao na wake zao. 196:19 Mwa 7:15Utaingiza ndani ya Safina kila aina ya kiumbe hai wawili wawili, wa kiume na wa kike, ili kuwahifadhi hai pamoja na wewe. 206:20 Mwa 7:3, 15; 1:11Wawili wa kila aina ya ndege, wa kila aina ya mnyama na wa kila aina ya kitambaacho ardhini watakuja kwako ili wahifadhiwe hai. 21Utachukua kila aina ya chakula kitakacholiwa, na ukiweke akiba kama chakula kwa ajili yako na yao.”

226:22 Mwa 7:5; 9:16; Kut 7:6; 39:43; 40:16, 19, 21-32Noa akafanya kila kitu kama vile Mungu alivyomwamuru.