پيدايش 50 – PCB & NEN

Persian Contemporary Bible

پيدايش 50:1-26

1آنگاه يوسف خود را روی جسد پدرش انداخته، گريست و او را بوسيد. 2سپس دستور داد تا جسد وی را موميايی كنند. 3كار موميايی كردن مرده چهل روز طول می‌كشيد. پس از موميايی كردن جسد يعقوب، مردمِ مصر مدت هفتاد روز برای او عزاداری كردند.

4بعد از اتمام ايام عزاداری، يوسف نزد درباريان فرعون رفته، از ايشان خواست كه از طرف وی به فرعون بگويند: 5«پدرم مرا قسم داده است كه پس از مرگش جسد وی را به كنعان برده، در قبری كه برای خود آماده كرده است دفن كنم. درخواست می‌كنم به من اجازه دهيد بروم و پدرم را دفن كنم. پس از دفن پدرم فوراً مراجعت خواهم كرد.» كه پس از مرگش جسد وی را به كنعان برده، در قبری كه برای خود آماده كرده است دفن كنم. درخواست می‌كنم به من اجازه دهيد بروم و 6فرعون موافقت كرد و به يوسف گفت: «برو و همانطوری كه قول داده‌ای پدرت را دفن كن.» 7‏-8پس يوسف روانه شد تا پدر خود را دفن كند. تمام مشاوران فرعون و بزرگان مصر و همچنين اهل خانهٔ پدرش و خانوادهٔ خودش و برادرانش، همراه وی رفتند. اما بچه‌ها و گله‌ها و رمه‌ها در جوشن ماندند. 9عرابه‌ها و سواران نيز آنها را همراهی می‌كردند. به اين ترتيب گروه عظيمی راهی كنعان شد.

10وقتی كه به خرمنگاه اطاد در آن طرف رود اردن رسيدند، با صدای بلند گريستند و به نوحه‌گری پرداختند و يوسف برای پدرش هفت روز ماتم گرفت. 11كنعانی‌های ساكن اطاد چون اين سوگواری را ديدند آن محل را آبل مصرائيم (يعنی «ماتم مصریان») ناميدند و گفتند: «اينجا مكانی است كه مصریان ماتمی عظيم گرفتند.»

12‏-13پس همانطور كه يعقوب وصيت كرده بود، پسرانش او را به كنعان برده، در غار مكفيله كه ابراهيم آن را با مزرعه‌اش از عفرون حيتّی برای خود خريده بود و در نزديكی مِلک ممری قرار داشت، دفن كردند. 14يوسف پس از دفن پدرش، با برادران و همهٔ كسانی كه همراه او رفته بودند به مصر مراجعت كرد.

مهربانی يوسف نسبت به برادرانش

15وقتی برادران يوسف ديدند كه پدرشان مرده است، به يكديگر گفتند: «حالا يوسف انتقام همهٔ بديهايی را كه به او روا داشتيم از ما خواهد گرفت.» 16‏-17پس اين پيغام را برای او فرستادند: «پدرت قبل از اين كه بميرد به ما امر فرمود به تو بگوييم كه از سر تقصير ما بگذری و انتقام آن عمل بدی را كه نسبت به تو انجام داديم از ما نگيری. حال ما بندگان خدای پدرت التماس می‌كنيم كه ما را ببخشی.» وقتی كه يوسف اين پيغام را شنيد گريست.

18آنگاه برادرانش آمده، به پای او افتادند و گفتند: «ما غلامان تو هستيم.»

19اما يوسف به ايشان گفت: «از من نترسيد. مگر من خدا هستم؟ 20هر چند شما به من بدی كرديد، اما خدا عمل بد شما را برای من به نيكی مبدل نمود و چنانكه می‌بينيد مرا به اين مقام رسانيده است تا افراد بی‌شماری را از مرگِ ناشی از گرسنگی نجات دهم. 21پس نترسيد. من از شما و خانواده‌های شما مواظبت خواهم كرد.» او با آنها به مهربانی سخن گفت و خيال آنها آسوده شد.

مرگ يوسف

22‏-23يوسف و برادرانش و خانواده‌های آنها مثل سابق به زندگی خود در مصر ادامه دادند. يوسف صد و ده سال زندگی كرد و توانست فرزندان و نوه‌های پسرانش افرايم و فرزندان ماخير، پسر منسی را ببيند.

24يوسف به برادران خود گفت: «من بزودی می‌ميرم، ولی بدون شک خدا شما را از مصر به كنعان، سرزمينی كه وعدهٔ آن را به نسل ابراهيم و اسحاق و يعقوب داده است، خواهد برد.» 25سپس يوسف برادرانش را قسم داده، گفت: «هنگامی كه خدا شما را به كنعان می‌برد، استخوانهای مرا نيز با خود ببريد.»

26يوسف در سن صد و ده سالگی در مصر درگذشت و جسد او را موميايی كرده در تابوتی قرار دادند.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 50:1-26

1Basi Yosefu akamwangukia baba yake, akalilia juu yake na akambusu. 250:2 Mwa 50:26; 2Nya 16:14Ndipo Yosefu akawaagiza matabibu waliokuwa wakimhudumia, wamtie baba yake Israeli dawa ili asioze. Hivyo matabibu wakamtia dawa asioze, 350:3 Kum 1:3; Mwa 30:27wakatumia siku arobaini, kwa maana ndio muda uliotakiwa wa kutia dawa ili asioze. Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwa siku sabini.

450:4 Mwa 27:41Siku za kumwombolezea zilipokwisha, Yosefu akawaambia washauri wa Farao, “Kama nimepata kibali machoni penu semeni na Farao kwa ajili yangu. Mwambieni, 550:5 Mwa 24:37; 2Sam 18:18‘Baba yangu aliniapisha na kuniambia, “Mimi niko karibu kufa; unizike katika kaburi lile nililochimba kwa ajili yangu mwenyewe katika nchi ya Kanaani.” Sasa nakuomba uniruhusu niende kumzika baba yangu, nami nitarudi.’ ”

6Farao akasema, “Panda, uende kumzika baba yako, kama alivyokuapiza kufanya.”

750:7 Mwa 45:16Hivyo Yosefu akapanda kwenda kumzika baba yake. Maafisa wote wa Farao wakaenda pamoja naye, watu mashuhuri wa baraza lake na watu mashuhuri wote wa Misri. 8Hawa ni mbali na watu wote wa nyumbani kwa Yosefu, na ndugu zake, na wale wote wa nyumbani mwa baba yake. Ni watoto wao, makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe tu waliobakia katika nchi ya Gosheni. 950:9 Mwa 41:43Magari makubwa na wapanda farasi pia walipanda pamoja naye. Likawa kundi kubwa sana.

1050:10 Hes 15:20; 1Sam 31:13Walipofika kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Atadi, karibu na Yordani, wakalia kwa sauti na kwa uchungu; Yosefu akapumzika huko kwa siku saba kumwombolezea baba yake. 1150:11 Mwa 10:18; 37:34Wakanaani walioishi huko walipoona maombolezo yaliyofanyika katika sakafu ile ya kupuria ya Atadi, wakasema, “Wamisri wanafanya maombolezo makubwa.” Kwa hiyo mahali pale karibu na Yordani pakaitwa Abel-Mizraimu.50:11 Abel-Mizraimu maana yake Maombolezo ya Wamisri.

12Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kama baba yao alivyowaagiza: 1350:13 Mwa 23:20Wakamchukua mpaka nchi ya Kanaani, wakamzika kwenye pango katika shamba la Makpela, karibu na Mamre, ambalo Abrahamu alilinunua kutoka kwa Efroni, Mhiti, pamoja na shamba liwe mahali pa kuzikia. 14Baada ya Yosefu kumzika baba yake, akarudi Misri pamoja na ndugu zake na wale wote waliokuwa wamekwenda naye kumzika baba yake.

Yosefu Awaondolea Ndugu Zake Mashaka

1550:15 Mwa 37:28Ndugu zake Yosefu walipoona kwamba baba yao amekufa, wakasema, “Itakuwaje kama Yosefu ataweka kinyongo dhidi yetu na kutulipa mabaya yote tuliyomtendea?” 16Kwa hiyo wakampelekea Yosefu ujumbe, wakasema, “Kabla baba yako hajafa aliacha maagizo haya: 1750:17 Mt 6:14; Mwa 29:11‘Hili ndilo mtakalomwambia Yosefu: Ninakuomba uwasamehe ndugu zako dhambi na mabaya kwa vile walivyokutenda vibaya.’ Sasa tafadhali samehe dhambi za watumishi wa Mungu wa baba yako.” Ujumbe huu ulipomfikia, Yosefu akalia.

1850:18 Mwa 37:7Ndipo ndugu zake wakaja na kujitupa chini mbele yake. Wakasema, “Sisi ni watumwa wako.”

1950:19 Rum 12:19; Ebr 10:30Lakini Yosefu akawaambia, “Msiogope. Je, mimi ni badala ya Mungu? 2050:20 Rum 8:28; Mwa 45:5Mlikusudia kunidhuru, lakini Mungu alikusudia mema, ili litimie hili linalofanyika sasa, kuokoa maisha ya watu wengi. 2150:21 Mwa 45:11; Efe 4:32Hivyo basi, msiogope. Mimi nitawatunza ninyi nyote pamoja na watoto wenu.” Akawahakikishia na kusema nao kwa wema.

Kifo Cha Yosefu

2250:22 Mwa 25:7; Yos 24:29Yosefu akakaa katika nchi ya Misri, yeye pamoja na jamaa yote ya baba yake. Akaishi miaka 110, 23naye akaona kizazi cha tatu cha watoto wa Efraimu. Pia akaona watoto wa Makiri mwana wa Manase, wakawekwa magotini mwa Yosefu walipozaliwa.

2450:24 Rut 1:6; Za 35:2; Mwa 12:7Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake, “Mimi ninakaribia kufa. Lakini kwa hakika Mungu atawasaidia na kuwachukueni kutoka nchi hii na kuwapeleka katika nchi aliyomwahidi kwa kiapo Abrahamu, Isaki na Yakobo.” 25Naye Yosefu akawaapisha wana wa Israeli na kuwaambia, “Hakika Mungu atawasaidia, nanyi ni lazima mhakikishe mmepandisha mifupa yangu kutoka mahali hapa.”

26Kwa hiyo Yosefu akafa akiwa na umri wa miaka 110. Baada ya kumtia dawa ili asioze, akawekwa kwenye jeneza huko Misri.