پيدايش 16 – PCB & NEN

Persian Contemporary Bible

پيدايش 16:1‏-16

هاجر و اسماعيل

1‏-3اما سارای زن ابرام، بچه‌دار نمی‌شد؛ پس او كنيز مصری خود هاجر را به ابرام داد و گفت: «خداوند به من فرزندی نداده است، پس تو با اين كنيز همبستر شو تا برای من فرزندی به دنيا آوَرَد.» ابرام با پيشنهاد سارای موافقت نمود. (اين جريان ده سال پس از ورود ابرام به كنعان اتفاق افتاد.) 4ابرام با هاجر همبستر شد و او آبستن گرديد. هاجر وقتی دريافت كه حامله است، مغرور شد و از آن پس، بانويش سارای را تحقير می‌كرد.

5سارای به ابرام گفت: «تقصير توست كه اين كنيز مرا حقير می‌شمارد. خودم او را به تو دادم، ولی از آن لحظه‌ای كه فهميد آبستن است، مرا تحقير می‌كند. خداوند خودش حق مرا از تو بگيرد.»

6ابرام جواب داد: «او كنيز توست، هر طور كه صلاح می‌دانی با او رفتار كن.» پس سارای بنای بدرفتاری با هاجر را گذاشت و او از خانه فرار كرد.

7‏-8در بيابان، فرشتهٔ خداوند هاجر را نزديک چشمه‌ای كه سر راه «شور» است، يافت. فرشتهٔ خداوند پرسيد: «ای هاجر، كنيز سارای، از كجا آمده‌ای و به كجا می‌روی؟»

گفت: «من از خانهٔ بانويم گريخته‌ام.»

9‏-11فرشتهٔ خداوند فرمود: «نزد بانوی خود برگرد و مطيع او باش. من نسل تو را بی‌شمار می‌گردانم. اينک تو حامله هستی، و پسری خواهی زاييد. نام او را اسماعيل (يعنی ”خدا می‌شنود“) بگذار، چون خداوند آه و نالهٔ تو را شنيده است. 12پسر تو وحشی خواهد بود و با برادران خود سر سازگاری نخواهد داشت. او بر ضد همه و همه بر ضد او خواهند بود.»

13هاجر با خود گفت: «آيا براستی خدا را ديدم و زنده ماندم؟» پس خداوند را كه با او سخن گفته بود «اَنتَ ايل رُئی» (يعنی «تو خدايی هستی كه می‌بينی») ناميد. 14به همين جهت چاهی كه بين قادش و بارد است «بئرلَحَی رُئی» (يعنی «چاه خدای زنده‌ای كه مرا می‌بيند») ناميده شد.

15هاجر برای ابرام پسری زاييد و ابرام او را اسماعيل ناميد. 16در اين زمان ابرام هشتاد و شش ساله بود.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 16:1-16

Hagari Na Ishmaeli

116:1 Mwa 11:29, 30; 24:61; 29:24-29; 31:33; 46:18; 21:14; 25:12; 30:2; Lk 1:7, 36; Gal 4:24-25Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwa hajamzalia watoto. Lakini alikuwa na mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari, 216:2 Mwa 19:31-32; 30:3-10hivyo Sarai akamwambia Abramu, “Bwana amenizuilia kupata watoto. Nenda, ukakutane kimwili na mtumishi wangu wa kike, huenda nitaweza kupata watoto kupitia kwake.”

Abramu akakubaliana na lile Sarai alilosema. 316:3 Mwa 12:4-5Hivyo baada ya Abramu kuishi katika nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua mtumishi wake wa kike wa Kimisri, Hagari na kumpa mumewe awe mke wake. 416:4 Mwa 30:1; 1Sam 1:6Akakutana kimwili na Hagari, naye akapata mimba.

Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianza kumdharau Sarai. 516:5 Mwa 31:53; Kut 5:21; Amu 11:27; 1Sam 24:12-15; 26:10, 23; Za 50:6; 75:7Ndipo Sarai akamwambia Abramu, “Unawajibika na manyanyaso ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba ana mimba, ananidharau mimi. Bwana na aamue kati yako na mimi.”

616:6 Yos 9:25; Mwa 31:50Abramu akamwambia, “Mtumishi wako yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri ni bora zaidi.” Ndipo Sarai akamtesa Hagari, hivyo akamtoroka.

716:7 Mwa 21:17; 22:11-15; 24:7, 40; 25:18; 31:11; 48:16; Kut 3:2; 14:19; 15:22; 23:20-23; 32:34; 33:2; Amu 2:1; 6:11; 13:3; Za 34:7; 2Sam 24:16; 21:19; 1Fal 19:5; 2Fal 1:3; 19:35; Zek 1:11; Mdo 5:19; 1Sam 15:7Malaika wa Bwana akamkuta Hagari karibu na chemchemi huko jangwani; ilikuwa chemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara iendayo Shuri. 816:8 Mwa 3:9Malaika akamwambia, “Hagari, mtumishi wa Sarai, umetokea wapi, na unakwenda wapi?”

Akamjibu, “Ninamkimbia bibi yangu Sarai.”

9Ndipo malaika wa Bwana akamwambia, “Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.” 1016:10 Mwa 13:16; 17:20Malaika akaendelea akasema, “Nitazidisha wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi mno wasiohesabika.”

1116:11 Mdo 5:19; Mwa 3:15; 12:2-3; 18:19; 17:19; 21:3; 37:25-28; 29:32; 31:42; Neh 9:7; Isa 44:1; Amo 3:2; Mt 1:21; Lk 1:13, 31; Amu 8:24; Kut 2:24; 3:7, 9; 4:31; Hes 20:16; Kum 26:7; 1Sam 9:16Pia malaika wa Bwana akamwambia:

“Wewe sasa una mimba

nawe utamzaa mwana.

Utamwita jina lake Ishmaeli,16:11 Ishmaeli maana yake Mungu husikia.

kwa sababu Bwana amesikia juu ya huzuni yako.

1216:12 Ay 6:5; 11:12; 24:5; 39:5; Hos 8:9; Za 104:11; Yer 2:24; Mwa 25:18Atakuwa punda-mwitu katikati ya wanadamu,

mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu

na mkono wa kila mtu dhidi yake,

naye ataishi kwa uhasama

na ndugu zake wote.”

1316:13 Za 139:1-12; Mwa 32:30; 33:10; Kut 24:10; 33:20-23; Hes 12:8; Amu 6:22; 13:22; Isa 6:5Hagari akampa Bwana aliyezungumza naye jina hili: “Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi,” kwa maana alisema, “Sasa nimemwona yeye anayeniona mimi.” 1416:14 Mwa 24:62; 25:11; 14:7Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi,16:14 Beer-Lahai-Roi maana yake Yeye Aliye Hai Anionaye Mimi. ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi.

1516:15 Mwa 21:9; 17:18; 25:12; 28:9; Gal 4:22Hivyo Hagari akamzalia Abramu mwana, naye Abramu akamwita huyo mwana Hagari aliyemzalia, Ishmaeli. 1616:16 Mwa 12:4Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hagari alipomzalia Ishmaeli.