پيدايش 1 – PCB & NEN

Persian Contemporary Bible

پيدايش 1:1-31

داستان آفرينش

1در آغاز، هنگامی كه خدا آسمانها و زمين را آفريد، 2زمين، خالی و بی‌شكل بود، و روح خدا روی توده‌های تاريکِ بخار حركت می‌كرد. 3خدا فرمود: «روشنايی بشود.» و روشنايی شد. 4خدا روشنايی را پسنديد و آن را از تاريكی جدا ساخت. 5او روشنايی را «روز» و تاريكی را «شب» ناميد. شب گذشت و صبح شد. اين، روز اول بود.

6سپس خدا فرمود: «توده‌های بخار از هم جدا شوند تا آسمان در بالا و اقيانوسها در پايين تشكيل گردند.» 7‏-8خدا توده‌های بخار را از آبهای پايين جدا كرد و آسمان را به وجود آورد. شب گذشت و صبح شد. اين، روز دوم بود.

9‏-10پس از آن خدا فرمود: «آبهای زير آسمان در يكجا جمع شوند تا خشكی پديد آيد.» و چنين شد. خدا خشكی را «زمين» و اجتماع آبها را «دريا» ناميد و خدا اين را پسنديد. 11‏-12سپس خدا فرمود: «انواع نباتات و گياهان دانه‌دار و درختان ميوه‌دار در زمين برويند و هر يک، نوع خود را توليد كنند.» همينطور شد و خدا خشنود گرديد. 13شب گذشت و صبح شد. اين، روز سوم بود.

14‏-15سپس خدا فرمود: «در آسمان اجسام درخشانی باشند تا زمين را روشن كنند و روز را از شب جدا نمايند و روزها، فصلها و سالها را پديد آورند.» و چنين شد. 16پس خدا دو روشنايی بزرگ ساخت تا بر زمين بتابند: روشنايی بزرگتر برای حكومت بر روز و روشنايی كوچكتر برای حكومت بر شب. او همچنين ستارگان را ساخت. 17خدا آنها را در آسمان قرار داد تا زمين را روشن سازند، 18بر روز و شب حكومت كنند، و روشنايی و تاريكی را از هم جدا نمايند. و خدا خشنود شد. 19شب گذشت و صبح شد. اين، روز چهارم بود.

20سپس خدا فرمود: «آبها از موجودات زنده پر شوند و پرندگان بر فراز آسمان به پرواز درآيند.» 21‏-22پس خدا حيوانات بزرگ دريايی و انواع جانوران آبزی و انواع پرندگان را آفريد. خدا از اين نيز خشنود شد و آنها را بركت داده، فرمود: «موجودات دريايی بارور و زياد شوند و آبها را پُر سازند و پرندگان نيز روی زمين زياد شوند.» 23شب گذشت و صبح شد. اين، روز پنجم بود.

24سپس خدا فرمود: «زمين، انواع جانوران و حيوانات اهلی و وحشی و خزندگان را به وجود آوَرَد.» و چنين شد. 25خدا انواع حيوانات اهلی و وحشی و تمام خزندگان را به وجود آورد، و از كار خود خشنود گرديد.

26سرانجام خدا فرمود: «انسان را شبيه خود بسازيم، تا بر حيوانات زمين و ماهيان دريا و پرندگان آسمان فرمانروايی كند.» 27پس خدا انسان را شبيه خود آفريد. او انسان را زن و مرد خلق كرد 28و ايشان را بركت داده، فرمود: «بارور و زياد شويد، زمين را پُر سازيد، بر آن تسلط يابيد، و بر ماهيان دريا و پرندگان آسمان و همهٔ حيوانات فرمانروايی كنيد. 29تمام گياهان دانه‌دار و ميوه‌های درختان را برای خوراک به شما دادم، 30و همهٔ علفهای سبز را به حيوانات و پرندگان و خزندگان بخشيدم.»

31آنگاه خدا به آنچه آفريده بود نظر كرد و كار آفرينش را از هر لحاظ عالی ديد. شب گذشت و صبح شد. اين، روز ششم بود.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 1:1-31

Siku Sita Za Uumbaji Na Sabato

11:1 Za 89:11; 90:2; 96:5; 102:25; Mit 8:23; Isa 40:21; 42:5; 51:13; 41:4, 26; Yn 1:1-2; Mwa 2:3; 14:19; Neh 9:6; Ay 9:8; 37:18; Yer 10:12; 32:17; 51:15; 2Fal 19:15; Mdo 14:15; 7:24; Efe 3:9; Kol 1:16; Ebr 1:10; 3:4; 11:3; Ufu 4:11; 10:6Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia. 21:2 Isa 24:10; 27:10; 31:5; 32:14, 15; 34:11; 45:18; Yer 4:23; Mwa 8:2; Ay 7:12; 26:8; 33:4; 38:9; Za 36:6; 42:7; 104:6, 30; Mit 30:4Wakati huu dunia ilikuwa haina umbo, tena ilikuwa tupu. Giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungu alikuwa ametulia juu ya maji.

31:3 Za 33:6-9; 148:5; Ebr 11:3; 2Kor 4:6; 1Yn 5:7Mungu akasema, “Iwepo nuru,” nayo nuru ikawepo. 41:4 Za 18:28; 105:8; 104:31; 119:68; Yer 31:35; Kut 10:21-23; Ay 26:10; 8:19; Isa 42:16; 45:7Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru na giza. 51:5 Mwa 2:19, 23; Za 74:16Mungu akaiita nuru “mchana,” na giza akaliita “usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

61:6 Isa 44:24; 2Pet 3:5; Za 24:2; 136:6Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji igawe maji na maji.” 71:7 Mwa 7:11; Ay 26:10; 38:8-16; Za 68:33; 148:4; Mit 8:28Kwa hiyo Mungu akafanya nafasi, akatenganisha maji yaliyo chini ya hiyo nafasi na maji yaliyo juu yake. Ikawa hivyo. 81:8 Ay 38:8-11; Za 33:7; 95:5; 104:6-9; Mit 8:29; Yer 5:22; 2Pet 3:5; Hag 2:6Mungu akaiita hiyo nafasi “anga.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya pili.

9Mungu akasema, “Maji yaliyopo chini ya anga na yakusanyike mahali pamoja, pawepo na nchi kavu.” Ikawa hivyo. 101:10 Za 33:7; 90:2; 95:5; Ay 38:8Mungu akaiita nchi kavu “ardhi,” nalo lile kusanyiko la maji akaliita “bahari.” Mungu akaona kuwa ni vyema.

111:11 Za 65:9-13; 104:14; Mwa 2:9; Law 11:14, 19; 1Kor 15:38Kisha Mungu akasema, “Ardhi na itoe mimea: miche itoayo mbegu, miti juu ya nchi itoayo matunda yenye mbegu ndani yake, kila mmea kulingana na aina zake mbalimbali.” Ikawa hivyo. 12Ardhi ikachipua mimea: Mimea itoayo mbegu kulingana na aina zake, na miti itoayo matunda yenye mbegu kulingana na aina zake. Mungu akaona ya kuwa hili ni jema. 13Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tatu.

141:14 Za 74:16; 136:7; 104:19; Yer 10:2; Mwa 8:22; Yer 31:35-36; 33:20, 25Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe usiku na mchana, nayo iwe alama ya kutambulisha majira mbalimbali, siku na miaka, 15nayo iwe mianga kwenye nafasi ya anga ya kutia nuru juu ya dunia.” Ikawa hivyo. 161:16 Kum 17:3; Ay 38:33; 31:26; Yer 31:35; 43:13; Eze 8:16; Za 74:16; 104:19; 136:9; Yak 1:17; Kum 4:19Mungu akafanya mianga miwili mikubwa: mwanga mkubwa utawale mchana, na mwanga mdogo utawale usiku. Pia Mungu akafanya nyota. 17Mungu akaiweka katika nafasi ya anga iangaze dunia, 181:18 Yer 33:20itawale usiku na mchana, na ikatenganishe nuru na giza. Mungu akaona kuwa hili ni jema. 19Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne.

201:20 Za 146:6; Mwa 2:19Mungu akasema, “Kuwepo na viumbe hai tele kwenye maji, nao ndege waruke juu ya dunia katika nafasi ya anga.” 211:21 Ay 3:8; 7:12; Za 74:13; 148:7; 104:25-26; Isa 27:1; Eze 32:2Kwa hiyo Mungu akaumba viumbe wakubwa wa baharini na kila kiumbe hai kiendacho majini kulingana na aina zake, na kila ndege mwenye mabawa kulingana na aina yake. Mungu akaona kuwa hili ni jema. 221:22 Mwa 8:17; 47:27; 9:17, 19; Law 26:9; Eze 36:11Mungu akavibariki, akasema, “Zaeni mwongezeke, mkayajaze maji ya bahari, nao ndege waongezeke katika dunia.” 23Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tano.

241:24 Mwa 2:19Mungu akasema, “Ardhi na itoe viumbe hai kulingana na aina zake: wanyama wa kufugwa, viumbe vitambaavyo ardhini na wanyama pori, kila mnyama kulingana na aina yake.” Ikawa hivyo. 251:25 Mwa 7:21-22; Yer 27:5Mungu akafanya wanyama pori kulingana na aina zake, wanyama wa kufugwa kulingana na aina zake, na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi kulingana na aina zake. Mungu akaona kuwa hili ni jema.

261:26 Mwa 5:3; 9:6; 9:2; Za 8:5-8; 8:8; 82:6; 89:6; Yak 3:9; 1Kor 11:7; 2Kor 4:4; Kol 1:15; 3:10; Mdo 17:28-29Ndipo Mungu akasema, “Tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale juu ya samaki wa baharini na ndege wa angani, juu ya mifugo, juu ya dunia yote, na juu ya viumbe wote watambaao juu ya nchi.”

271:27 Mwa 2:7; 5:1, 2; Za 103:14; 119:73; Mt 19:4; Mk 10:6; Gal 3:28; Kum 4:32Kwa hiyo Mungu akamuumba mtu kwa mfano wake mwenyewe,

kwa mfano wa Mungu alimuumba;

mwanaume na mwanamke aliwaumba.

281:28 Mwa 6:1; 17:6; 33:5; Yos 24:3; Mdo 17:26; Za 8:6-8; 115:16; 113:9; 127:3, 5Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”

291:29 Mwa 9:3; 1Tim 4:3; Kum 12:15; Za 104:14Kisha Mungu akasema, “Nimewapa kila mche utoao mbegu juu ya uso wa dunia yote, na kila mti wenye matunda yenye mbegu ndani yake. Vitakuwa chakula chenu. 301:30 Mwa 2:7; 7:22; Ay 38:41; Za 78:25; 104:14, 27; 111:5; 136:25; 145:15Nao wanyama wote wa dunia, ndege wote wa angani, na viumbe vyote viendavyo juu ya ardhi: yaani kila kiumbe chenye pumzi ya uhai, ninawapa kila mche wa kijani kuwa chakula.” Ikawa hivyo.

311:31 Za 104:24; 136:5; Mhu 3:19; Yer 10:12; 1Tim 4:4Mungu akaona vyote alivyoumba, na tazama, ilikuwa vizuri sana. Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita.