يونس 1 – PCB & NEN

Persian Contemporary Bible

يونس 1:1-17

فرار يونس از حضور خداوند

1خداوند اين پيغام را برای يونس پسر اميتای فرستاد:

2«به شهر بزرگ نينوا برو و به اهالی آنجا بگو كه خداوند می‌فرمايد: شرارت شما از نظر من مخفی نيست و من بزودی شما را نابود خواهم كرد.»

3ولی يونس كه نمی‌خواست به نينوا برود تصميم گرفت از حضور خداوند به ترشيش فرار كند. او به بندر يافا رفت و در آنجا كشتی‌ای ديد كه عازم ترشيش بود. يونس كرايه خود را پرداخت و سوار كشتی شد.

4اما همين كه كشتی از ساحل دور شد، ناگهان خداوند باد شديدی وزانيد و دريا را متلاطم ساخت به طوری كه نزديک بود كشتی غرق شود. 5ملوانان از ترس جان خود، هر كدام از خدای خود كمک طلبيدند. آنها بارها را به دريا ريختند تا كشتی سبک شود. در تمام اين مدت، يونس با خيال راحت در انبار كشتی خوابيده بود!

6ناخدای كشتی نزد او رفت و فرياد زد: «چرا در اين موقعيت خطرناک بی‌خيال خوابيده‌ای؟ برخيز و نزد خدای خود فرياد برآور تا شايد به ما رحم كرده، ما را نجات دهد!»

7آنگاه كاركنان كشتی تصميم گرفتند قرعه بيندازند تا ببينند كدام يک از آنها خدايان را به خشم آورده و باعث اين طوفان وحشتناک شده است. قرعه به نام يونس افتاد.

8آنها از او پرسيدند: «به ما بگو به چه علت اين بلا بر ما عارض شده است؟ تو كيستی؟ كارت چيست؟ اهل كجايی؟ از چه قومی هستی؟»

9‏-10يونس گفت: «من عبرانی هستم و خداوند، خدای آسمان را كه زمين و دريا را آفريد می‌پرستم.» سپس به ايشان گفت كه از حضور خداوند فرار كرده است. آنها وقتی اين را شنيدند بسيار ترسيدند و گفتند: «چرا اين كار را كردی؟»

11تلاطم دريا هر لحظه زيادتر می‌شد، پس به او گفتند: «با تو چه كنيم تا طوفان آرام شود؟»

12يونس گفت: «مرا به دريا بيندازيد و دريا دوباره آرام می‌شود؛ چون می‌دانم اين طوفان وحشتناک به سبب من دامنگير شما شده است.»

13ملوانان كوشش كردند كشتی را به ساحل برسانند، ولی موفق نشدند. طوفان شديدتر از آن بود كه بتوان با آن دست و پنجه نرم كرد! 14پس آنها به رسم خودشان نزد خداوند، خدای يونس دعا كرده، گفتند: «ای خداوند، ما را برای مرگ اين شخص هلاک نكن و ما را مسئول مرگ او ندان؛ زيرا همهٔ اينها خواست تو بوده است.»

15آنگاه يونس را برداشته، او را به دريای خروشان انداختند و طوفان قطع شد!

16آنها از خداوند ترسيدند و قربانی تقديم او نمودند و نذرها كردند.

17همان موقع خداوند ماهی بزرگی فرستاد و ماهی يونس را بلعيد و يونس سه روز و سه شب در شكم ماهی ماند.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yona 1:1-17

Yona Anamkimbia Bwana

11:1 Mt 16:4; 12:39-41; 2Fal 14:25; Lk 11:29-32Neno la Bwana lilimjia Yona mwana wa Amitai: 21:2 Mwa 10:11; 18:20; Yon 3:3; Nah 2:8; Mt 12:41; Ezr 9:6; Yak 5:4“Nenda katika mji mkubwa wa Ninawi ukahubiri juu yake, kwa sababu uovu wake umekuja juu mbele zangu.”

31:3 Za 139:7; Yos 19:46; Mdo 9:36-43; Mwa 4:16; 10:4; Kut 4:13; Isa 23:1; Yer 20:9Lakini Yona alimkimbia Bwana na kuelekea Tarshishi. Alishuka mpaka Yafa, ambapo alikuta meli iliyokuwa imepangwa kuelekea bandari ile. Baada ya kulipa nauli, akapanda melini na kuelekea Tarshishi ili kumkimbia Bwana. 41:4 Za 107:23-26Ndipo Bwana akatuma upepo mkali baharini, nayo dhoruba kali sana ikavuma hata meli ikawa hatarini kuvunjika. 51:5 Mdo 27:18-19Mabaharia wote waliogopa na kila mmoja akamlilia mungu wake mwenyewe. Nao wakatupa mizigo baharini ili meli ipungue uzito.

Lakini Yona alikuwa ameteremkia chumba cha ndani ya meli, mahali ambapo alilala na kupatwa na usingizi mzito. 61:6 Yon 3:8; Mt 8:25; Za 78:34; 107:28Nahodha akamwendea na kusema, “Wewe unawezaje kulala? Amka ukamwite mungu wako! Huenda akatuangalia, tusiangamie.”

71:7 Yos 7:10-18; Hes 32:23; Mit 16:33; Mdo 1:26; 1Sam 10:20; 14:43Kisha mabaharia wakasemezana wao kwa wao, “Njooni, tupige kura tumtafute anayehusika na maafa haya.” Wakapiga kura, kura ikamwangukia Yona.

81:8 Yos 7:19Kwa hiyo walimuuliza, “Tuambie, ni nani anayehusika kwa kutuletea tatizo hili lote? Unafanya kazi gani? Umetoka wapi? Nchi yako ni ipi? Wewe ni kutoka taifa lipi?”

91:9 Dan 2:18; Mdo 17:24; Za 146:6; 96:9; Neh 9:6Akajibu, “Mimi ni Mwebrania, nami namwabudu Bwana, Mungu wa Mbinguni, aliyeumba bahari na nchi kavu.”

10Hili liliwaogopesha nao wakamuuliza,

“Umefanya nini?” (Walijua alikuwa anamkimbia Bwana, kwa sababu alishawaambia hivyo.)

11Bahari ilikuwa inazidi kuchafuka. Kwa hiyo walimuuliza, “Tukutendee nini ili kufanya bahari itulie kwa ajili yetu?”

121:12 Mhu 9:18; 2Sam 24:17; 1Nya 21:17Akawajibu, “Niinueni mnitupe baharini, nayo itakuwa shwari. Ninajua mawimbi haya makubwa yamewatokea kwa ajili ya kosa langu.”

131:13 Mit 21:30Badala yake, wale watu walijitahidi kupiga makasia wawezavyo ili wapate kurudi pwani. Lakini hawakuweza, kwa kuwa bahari ilizidi kuchafuka kuliko mwanzo. 141:14 Kum 21:8; Za 115:3; Dan 4:35Ndipo wakamlilia Bwana, “Ee Bwana, tafadhali usituue kwa kuondoa uhai wa mtu huyu. Usituhesabie hatia kwa kuutoa uhai wa mtu asiyekuwa na hatia, kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umefanya kama ilivyokupendeza.” 151:15 Za 107:29; Lk 8:24Kisha walimchukua Yona, wakamtupa baharini nayo bahari iliyokuwa imechafuka ikatulia. 161:16 Mk 4:41; Hes 30:2; Za 66:13-14Katika jambo hili watu wakamwogopa Bwana sana, wakamtolea Bwana dhabihu na kumwekea nadhiri.

171:17 Mt 12:40; 16:4; Lk 11:30; Yn 4:6-7Lakini Bwana akamwandaa nyangumi1:17 Yaani samaki mkubwa sana. kummeza Yona, naye Yona alikuwa ndani ya tumbo la nyangumi kwa siku tatu, usiku na mchana.