Salmo 63 – NVI & NEN

Nueva Versión Internacional

Salmo 63:1-11

Salmo 63Sal 63 En el texto hebreo 63:1-11 se numera 63:2-12.

Salmo de David, cuando estaba en el desierto de Judá.

1Oh Dios, tú eres mi Dios;

yo te busco intensamente.

Mi alma tiene sed de ti;

todo mi ser te anhela,

cual tierra seca, sedienta y sin agua.

2Te he visto en el santuario

y he contemplado tu poder y tu gloria.

3Tu gran amor es mejor que la vida;

por eso mis labios te alabarán.

4Te bendeciré mientras viva

y alzando mis manos te invocaré.

5Mi alma quedará satisfecha

como de un suculento banquete,

y con labios jubilosos

te alabará mi boca.

6En mi lecho me acuerdo de ti;

pienso en ti en las vigilias de la noche.

7A la sombra de tus alas canto de alegría,

porque tú eres mi ayuda.

8Mi alma se aferra a ti;

tu mano derecha me sostiene.

9Los que buscan mi muerte serán destruidos;

bajarán a las profundidades de la tierra.

10Serán entregados a la espada

y acabarán devorados por los chacales.

11El rey se regocijará en Dios;

todos los que invocan a Dios lo alabarán,

pero los mentirosos serán silenciados.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 63:1-11

Zaburi 63

Shauku Kwa Ajili Ya Uwepo Wa Mungu

Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda.

163:1 Za 42:2; 84:2; 143:6Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu,

nakutafuta kwa moyo wote;

nafsi yangu inakuonea kiu,

mwili wangu unakuonea wewe shauku,

katika nchi kame na iliyochoka

mahali ambapo hapana maji.

263:2 Za 15:1; 27:4; 68:24; Kut 16:7; 1Nya 16:11Nimekuona katika mahali patakatifu

na kuuona uwezo wako na utukufu wako.

363:3 Isa 30:13; Yn 3:16; Za 36:7; 69:16; 106:45; 109:21Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai,

midomo yangu itakuadhimisha.

463:4 Za 28:3; 104:33; 146:2; Isa 38:20; 1Tim 2:8Nitakusifu siku zote za maisha yangu,

na kwa jina lako nitainua mikono yangu.

563:5 Za 17:15; 36:8; Mt 5:6; Isa 25:6Nafsi yangu itatoshelezwa

kama kwa wingi wa vyakula;

kwa midomo iimbayo

kinywa changu kitakusifu wewe.

663:6 Kum 6:4-9; Za 119:148; 16:7; 140:5; Mt 14:25Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe,

ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.

763:7 Za 27:9; 118:7; Rum 2:12; Isa 26:9Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu,

chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.

863:8 Hes 32:12; Hos 6:3; Isa 26:9; Za 41:12Nafsi yangu inaambatana nawe,

mkono wako wa kuume hunishika.

963:9 Za 40:14; 55:15; 71:20; 95:4; 139:15Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa,

watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.

1063:10 Yer 18:21; Eze 35:5; Amo 1:11; Mao 5:18Watatolewa wafe kwa upanga,

nao watakuwa chakula cha mbweha.

1163:11 Sef 1:5; Isa 19:18; 45:23; 65:16; Ay 5:16; Rum 3:19Bali mfalme atafurahi katika Mungu,

wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu,

bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.