Salmo 35 – NVI & NEN

Nueva Versión Internacional

Salmo 35:1-28

Salmo 35

Salmo de David.

1Ataca, Señor, a los que me atacan;

combate a los que me combaten.

2Toma tu adarga, tu escudo,

y acude en mi ayuda.

3Empuña la lanza y el hacha,

y haz frente a35:3 el hacha, y haz frente a (lectura probable); cierra contra (TM). los que me persiguen.

Quiero oírte decir:

«Yo soy tu salvación».

4Queden confundidos y avergonzados

los que procuran matarme;

retrocedan humillados

los que traman mi ruina.

5Sean como la paja que se lleva el viento,

acosados por el ángel del Señor;

6sea su senda oscura y resbalosa,

perseguidos por el ángel del Señor.

7Ya que sin motivo me tendieron una trampa

y sin motivo cavaron una fosa para mí,

8que la ruina los tome por sorpresa;

que caigan en su propia trampa,

en la fosa que ellos mismos cavaron.

9Así mi alma se alegrará en el Señor

y se deleitará en su salvación.

10Así todo mi ser exclamará:

«¿Quién como tú, Señor?

Tú libras de los poderosos a los pobres;

a los pobres y necesitados libras

de aquellos que los explotan».

11Se presentan testigos despiadados

y me preguntan cosas que yo ignoro.

12Me devuelven mal por bien

y eso me duele en el alma;

13pues cuando ellos enfermaban

yo me vestía de luto,

me afligía y ayunaba.

¡Ay, si pudiera retractarme de mis oraciones!

14Me vestía yo de luto,

como por un amigo o un hermano.

Afligido, inclinaba la cabeza,

como si llorara por mi madre.

15Pero yo tropecé y ellos se alegraron

y a una se juntaron contra mí.

Asaltantes35:15 Asaltantes (lectura probable); Gente golpeada o extraña (TM). que yo no conocía;

me calumniaban sin cesar.

16Me atormentaban, se burlaban de mí35:16 Me … mí (LXX); Como un grupo impío de burlones (TM).

y contra mí rechinaban los dientes.

17¿Hasta cuándo, Señor, vas a tolerar esto?

Libra mi vida, mi única vida,

de los ataques de esos leones.

18Yo te daré gracias en la gran asamblea;

ante una multitud te alabaré.

19No dejes que de mí se burlen

mis enemigos traicioneros;

no dejes que guiñen el ojo

los que me odian sin motivo.

20Porque no vienen en son de paz,

sino que urden mentiras

contra la gente apacible del país.

21De mí se ríen a carcajadas y exclaman:

«¡Miren en lo que vino a parar!».

22Señor, tú has visto todo esto;

no te quedes callado.

¡Señor, no te alejes de mí!

23¡Despierta! ¡Levántate en mi defensa!

¡Defiéndeme, mi Dios y Señor!

24Júzgame según tu justicia, Señor mi Dios;

no dejes que se burlen de mí.

25No permitas que piensen:

«¡Así queríamos verlo!».

No permitas que digan:

«Nos lo hemos tragado vivo».

26Queden avergonzados y confundidos

todos los que se alegran de mi desgracia;

sean cubiertos de deshonra y vergüenza

todos los que se creen más que yo.

27Pero lancen voces de alegría y regocijo

los que quieren mi vindicación

y digan siempre: «Exaltado sea el Señor,

quien se deleita en el bienestar de su siervo».

28Con mi lengua proclamaré tu justicia

y todo el día te alabaré.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 35:1-28

Zaburi 35

Kuomba Msaada: Kuokolewa Kutokana Na Maadui

Zaburi ya Daudi.

135:1 1Sam 24:15; Kut 14:14Ee Bwana, pingana na wale wanaopingana nami,

upigane na hao wanaopigana nami.

235:2 Za 3:3, 7; Ay 17:3; Mwa 50:24; 35:3; Hes 25:7; Za 27:1; Yos 8:18Chukua ngao na kigao.

Inuka unisaidie.

3Inua mkuki wako na fumo35:3 Fumo ni sawa na sagai, maana yake ni mkuki mfupi. lako

dhidi ya hao wanaonifuatia.

Iambie nafsi yangu,

“Mimi ni wokovu wako.”

435:4 Za 38:12; 40:14; 69:6, 19; 70:2; 83:17; 25:3; 129:5; Yer 4:30; Mal 2:9; Isa 45:16Wafedheheshwe na waaibishwe

wale wanaotafuta uhai wangu.

Wanaofanya shauri kuniangamiza

warudishwe nyuma kwa hofu.

535:5 Ay 13:25; Za 1:4; 34:7Wawe kama makapi yapeperushwayo na upepo,

malaika wa Bwana akiwafukuza.

6Njia yao na iwe giza na ya utelezi,

malaika wa Bwana akiwafuatilia.

735:7 Ay 18:8; 9:31; Za 7:4; 7:15; 55:23Kwa vile walinifichia wavu wao bila sababu,

na bila sababu wamenichimbia shimo,

835:8 Isa 47:11; 1The 5:3; Za 7:15; Mit 5:22maafa na yawapate ghafula:

wavu walionifichia na uwatege wenyewe,

na waanguke katika shimo hilo,

kwa maangamizo yao.

935:9 Za 2:11; 9:14; 13:5; 27:1; Lk 1:47; 1Sam 2:1; Isa 61:10; Ebr 3:18Ndipo nafsi yangu itashangilia katika Bwana

na kuufurahia wokovu wake.

1035:10 Kut 9:14; Za 12:5; 71:19; 18:17, 31; 113:5; 37:14; 86:1; 74:21; 109:16; 140:12; Isa 41:17Nitapaza sauti yangu nikisema,

“Ni nani aliye kama wewe, Ee Bwana?

Wewe huwaokoa maskini kutokana na wale walio na nguvu kuliko wao,

maskini na mhitaji kutokana na wanaowanyangʼanya!”

1135:11 Kut 23:1; Mt 26:60Mashahidi wakatili wanainuka,

wananiuliza mambo nisiyoyajua.

1235:12 Yer 18:20; Za 38:20; 109:5; Mit 17:13Wananilipa baya kwa jema

na kuiacha nafsi yangu ukiwa.

1335:13 2Sam 3:31; 1Fal 20:31; Za 30:11; 69:10, 11; 109:24; Ay 30:25Lakini walipokuwa wagonjwa, nilivaa nguo ya gunia

na nikajinyenyekesha kwa kufunga.

Maombi yangu yaliponirudia bila kujibiwa,

1435:14 Za 38:6; 42:9; 43:2niliendelea kuomboleza

kama vile wao ni rafiki au ndugu.

Niliinamisha kichwa chini kwa huzuni

kama ninayemwombolezea mama yangu.

1535:15 Ay 31:29; 16:10Lakini nilipojikwaa,

walikusanyika kwa shangwe;

washambuliaji walijikusanya dhidi yangu

bila mimi kujua.

Walinisingizia pasipo kukoma.

1635:16 Za 22:7; Mk 10:34; 9:18; Ay 16:9; Mdo 7:54Kama watu wasiomcha Mungu, wamenidhihaki,

wamenisagia meno.

1735:17 Za 6:3; 22:20, 21; 57:4; 58:6Ee Bwana, utatazama mpaka lini?

Niokoe maisha yangu na maangamizi yao,

uhai wangu wa thamani

kutokana na simba hawa.

1835:18 Za 22:20, 25; 42:4; 109:30Nami nitakushukuru mbele ya kusanyiko kubwa,

nitakusifu katikati ya watu wengi.

1935:19 Za 9:13; 38:19; 69:4; Yn 15:25; Mit 6:13; 10:10Usiwaache wale wanaonisimanga,

wale ambao ni adui zangu bila sababu;

usiwaache wale ambao ni adui zangu bila sababu

wakonyeze jicho kwa hila.

2035:20 Za 38:12; 55:21; Yer 9:8; Mik 6:12Hawazungumzi kwa amani,

bali wanatunga mashtaka ya uongo

dhidi ya wale wanaoishi

kwa utulivu katika nchi.

2135:21 Ay 16:10; Eze 25:3; Za 40:15; 70:3Hunifumbulia vinywa vyao wakisema, “Aha! Aha!

Kwa macho yetu wenyewe tumeliona.”

2235:22 Kut 3:7; Za 10:1, 14Ee Bwana, umeona hili, usiwe kimya.

Usiwe mbali nami, Ee Bwana.

2335:23 Za 7:6; 80:2; 17:13; 1Sam 24:15Amka, inuka unitetee!

Unipiganie Mungu wangu na Bwana wangu.

2435:24 Za 22:17; 7:8; 26:11; 2The 1:6Nihukumu kwa haki yako, Ee Bwana Mungu wangu,

sawasawa na haki yako;

usiwaache wakusimange.

2535:25 Mit 1:12; Za 35:21; 124:3; Mao 2:16Usiwaache wafikiri, “Aha, hili ndilo tulilotaka!”

Au waseme, “Tumemmeza.”

2635:26 Za 22:17; 4:1; 109:29; 38:16; Ay 8:22; 19:5; Mik 7:10Wote wanaofurahia dhiki yangu

waaibishwe na wachanganyikiwe;

hao wanaojiinua dhidi yangu

wavikwe aibu na dharau.

2735:27 Za 9:4; 20:5; 33:3; 147:11; 149:4; Ay 17:3Wale wanaofurahia hukumu yangu ya haki

wapige kelele za shangwe na furaha;

hebu waseme siku zote, “Bwana atukuzwe,

ambaye amefurahia mafanikio ya mtumishi wake.”

2835:28 Za 5:8; 51:14; 71:15, 24; 72:15Ulimi wangu utanena haki yako

na sifa zako mchana kutwa.