Salmo 146 – NVI & NEN

Nueva Versión Internacional

Salmo 146:1-10

Salmo 146

1¡Aleluya!

Alaba, alma mía, al Señor.

2Alabaré al Señor toda mi vida;

mientras haya aliento en mí, cantaré salmos a mi Dios.

3No pongan su confianza en gente poderosa,

en simples mortales, que no pueden salvar.

4Exhalan el espíritu y vuelven al polvo,

y ese mismo día se arruinan sus planes.

5Dichoso aquel cuya ayuda es el Dios de Jacob,

cuya esperanza está en el Señor su Dios,

6que hizo el cielo y la tierra,

el mar y todo lo que hay en ellos

y que siempre mantiene la verdad.

7El Señor hace justicia a los oprimidos,

da de comer a los hambrientos

y pone en libertad a los cautivos.

8El Señor da vista a los ciegos,

el Señor levanta a los agobiados,

el Señor ama a los justos.

9El Señor protege al extranjero

y sostiene al huérfano y a la viuda,

pero frustra los planes de los malvados.

10¡Oh Sión, que el Señor reine para siempre!

¡Que tu Dios reine por todas las generaciones!

¡Aleluya!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 146:1-10

Zaburi 146

Kumsifu Mungu Mwokozi

1146:1 Za 103:1; 104:1Msifuni Bwana!146:1 Msifuni Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.

Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,

2146:2 Za 104:33; 63:4; 105:2Nitamsifu Bwana maisha yangu yote;

nitamwimbia Mungu wangu sifa

wakati wote niishipo.

3146:3 Za 118:9; 60:11; 108:12; Isa 2:22Usiweke tumaini lako kwa wakuu,

kwa wanadamu ambao hufa,

ambao hawawezi kuokoa.

4146:4 Mhu 12:7; Mwa 3:19; Ay 7:21; 1Kor 2:6; Za 103:14; 33:10Roho yao itokapo hurudi mavumbini,

siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.

5146:5 Za 119:43; 37:9; 144:15; 33:18; 71:5; 70:5; 121:2; Yer 17:7Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,

ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,

6146:6 2Nya 2:12; Za 18:25; 108:4; 117:2; 115:15; Mdo 14:15; Kum 7:9; Mik 7:20; Ufu 10:6; 14:7Muumba wa mbingu na nchi,

na bahari na vyote vilivyomo ndani yake:

Bwana anayedumu kuwa mwaminifu

milele na milele.

7146:7 Za 37:17; 103:6; 107:9; 145:15; 66:11; 68:6Naye huwapatia haki walioonewa

na kuwapa wenye njaa chakula.

Bwana huwaweka wafungwa huru,

8146:8 Isa 32:3; 29:18; 35:5; 42:7, 18, 19; 43:8; Ay 23:10; Kut 4:11; Za 38:6; Kum 7:13; Mt 11:5; Mit 20:12Bwana huwafumbua vipofu macho,

Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao,

Bwana huwapenda wenye haki.

9146:9 Law 19:34; Za 10:18; Kut 22:22; Yak 1:27Bwana huwalinda wageni

na kuwategemeza yatima na wajane,

lakini hupinga njia za waovu.

10146:10 Mwa 21:33; 1Nya 16:31; Za 93:1; 99:1; Ufu 11:15Bwana atamiliki milele,

Mungu wako, ee Sayuni,

kwa vizazi vyote.

Msifuni Bwana.