Eclesiastés 4 – NVI & NEN

Nueva Versión Internacional

Eclesiastés 4:1-16

Opresores y oprimidos

1Luego me fijé en tanta opresión que hay bajo el sol.

Vi llorar a los oprimidos

y no había quien los consolara;

el poder estaba del lado de sus opresores

y no había quien los consolara.

2Y consideré más felices a los que ya han muerto

que a los que aún viven,

3aunque en mejor situación

están los que aún no han nacido,

los que todavía no han visto la maldad

que se comete bajo el sol.

4Vi, además, que tanto el afán como el éxito en la vida despiertan envidias. Y también esto es vanidad; ¡es correr tras el viento!

5El necio se cruza de brazos

y se devora a sí mismo.

6Mejor un puñado de tranquilidad

que dos de fatiga

y de correr tras el viento.

La unión hace la fuerza

7Me fijé entonces en otra vanidad bajo el sol:

8Vi a un hombre solitario,

sin hijos ni hermanos.

Nunca dejaba de afanarse;

¡jamás le parecían demasiadas sus riquezas!

«¿Para quién trabajo tanto», se preguntó,

«y me abstengo de las cosas buenas?».

¡También esto es vanidad

y una penosa tarea!

9Mejor son dos que uno,

porque obtienen más fruto de su esfuerzo.

10Si caen,

el uno levanta al otro.

¡Ay del que cae

y no tiene quien lo levante!

11Si dos se acuestan juntos,

entrarán en calor;

uno solo ¿cómo va a calentarse?

12Uno solo puede ser vencido,

pero dos pueden resistir.

¡La cuerda de tres hilos no se rompe fácilmente!

Juventud y sabiduría

13Mejor es un joven pobre, pero sabio, que un rey viejo, pero necio, que ya no sabe recibir consejos. 14Aunque de la cárcel haya ascendido al trono o haya nacido pobre en ese reino, 15he visto que la gente que vive bajo el sol apoya al joven que sucede al rey. 16Y aunque es incontable la gente que sigue a los reyes,4:16 los reyes. Lit. ellos. muchos de los que vienen después tampoco quedan contentos con el sucesor. Y también esto es vanidad; ¡es querer alcanzar el viento!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mhubiri 4:1-16

Uonevu, Taabu, Uadui

14:1 Mao 1:16; Mhu 3:16; Za 12:5Nikatazama tena nikaona uonevu wote uliokuwa unafanyika chini ya jua:

Nikaona machozi ya walioonewa,

wala hawana wa kuwafariji;

uwezo ulikuwa upande wa wale wanaowaonea,

wala hawana wa kuwafariji.

24:2 Mhu 2:17; Yer 20:17-18; 22:10; Ay 3:17; 10Nami nikasema kwamba wafu,

waliokwisha kufa,

wana furaha kuliko watu walio hai,

ambao bado wanaishi.

34:3 Mhu 6:3; Mt 24:19; Ay 3:16-22Lakini aliye bora kuliko hao wawili

ni yule ambaye hajazaliwa bado,

ambaye hajaona ule uovu

unaofanyika chini ya jua.

4Tena nikaona kuwa kazi zote na mafanikio yote huchipuka kutokana na wivu wa mtu kwa jirani yake. Hili nalo ni ubatili, ni kukimbiza upepo.

54:5 Mit 6:10Mpumbavu hukunja mikono yake

na kujiangamiza mwenyewe.

64:6 Mit 15:16-17; 16:8Afadhali konzi moja pamoja

na utulivu kuliko konzi mbili pamoja na taabu

na kukimbiza upepo.

7Tena nikaona kitu kingine kilicho ubatili chini ya jua:

84:8 Mit 27:20; Hab 2:5-6; 1Yn 2:16Kulikuwepo mwanadamu aliye peke yake,

hakuwa na mwana wala ndugu.

Hapakuwa na mwisho wa kazi yake,

hata hivyo macho yake

hayakutosheka na utajiri wake.

Aliuliza, “Ninajitaabisha hivi kwa ajili ya nani,

nami kwa nini ninajinyima kufurahia?”

Hili pia ni ubatili,

ni shughuli yenye taabu!

9Wawili ni afadhali kuliko mmoja,

kwa sababu wana malipo mazuri kwa kazi yao:

10Kama mmoja akianguka,

mwenzake atamwinua.

Lakini ni jambo la kuhuzunisha

kwa mtu yule aangukaye

naye hana wa kumwinua!

11Pia, kama wawili wakilala pamoja

watapashana joto.

Lakini ni vipi mtu aweza

kujipasha joto mwenyewe?

12Ingawa mtu mmoja aweza kushindwa,

watu wawili wanaweza

kumkabili adui na kumshinda.

Kamba ya nyuzi tatu

haikatiki kwa urahisi.

Maendeleo Ni Ubatili

13Afadhali kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo. 14Kijana huyo angeweza kutokea gerezani akapata ufalme, au angeweza kuwa amezaliwa katika umaskini kwenye huo ufalme. 15Nikaona kwamba wote walioishi na kutembea chini ya jua walimfuata kijana, aliyepokea ufalme. 16Hapakuwa na kikomo cha watu wote aliowatawala. Lakini wale waliokuja baadaye hawakufurahia kazi ya yule aliyepokea ufalme. Hili nalo pia ni ubatili, ni kukimbiza upepo.