1 Samuel 8 – NVI & NEN

Nueva Versión Internacional

1 Samuel 8:1-22

Los israelitas piden un rey

1Cuando Samuel entró en años, puso a sus hijos como líderes de Israel, 2con sede en Berseba. El hijo mayor se llamaba Joel y el segundo, Abías. 3Pero ninguno de los dos siguió el ejemplo de su padre, sino que ambos se dejaron guiar por la avaricia, aceptando sobornos y pervirtiendo la justicia.

4Por eso se reunieron todos los jefes de Israel y fueron a Ramá para hablar con Samuel. 5Le dijeron: «Tú has envejecido ya, y tus hijos no siguen tu ejemplo. Mejor danos un rey que nos gobierne, como lo tienen todas las naciones».

6Cuando dijeron que querían tener un rey, Samuel se disgustó. Entonces se puso a orar al Señor, 7pero el Señor dijo: «Hazle caso al pueblo en todo lo que te diga. En realidad, no te han rechazado a ti, sino a mí, pues no quieren que yo reine sobre ellos. 8Te están tratando del mismo modo que me han tratado a mí desde el día en que los saqué de Egipto hasta hoy. Me han abandonado para servir a otros dioses. 9Así que hazles caso, pero adviérteles claramente cómo el rey los tratará».

10Samuel comunicó entonces el mensaje del Señor a la gente que estaba pidiendo un rey. 11Les explicó:

—Así es como el rey va a gobernarlos: Les quitará a sus hijos para que se hagan cargo de los carros militares y de la caballería, y para que abran paso al carro real. 12Los hará comandantes de miles y de cincuenta, y los pondrá a arar y a cosechar, y a fabricar armamentos y pertrechos para sus carros de guerra. 13También les quitará a sus hijas para emplearlas como perfumistas, cocineras y panaderas. 14Se apoderará de sus mejores campos, viñedos y olivares, y se los dará a sus ministros. 15Además, les exigirá a ustedes una décima parte de sus cosechas y vendimias para entregársela a sus funcionarios y ministros. 16Incluso, les quitará sus criados y criadas, así como sus mejores jóvenes8:16 jóvenes (TM); bueyes (LXX). y asnos de manera que trabajen para él. 17Les exigirá una décima parte de sus rebaños y ustedes mismos le servirán como esclavos. 18Cuando llegue aquel día, clamarán por causa del rey que hayan escogido, pero el Señor no les responderá.

19El pueblo, sin embargo, no hizo caso a Samuel, sino que dijo:

—¡De ninguna manera! Queremos un rey que nos gobierne. 20Así seremos como las otras naciones, con un rey que nos gobierne y que marche al frente de nosotros cuando vayamos a la guerra.

21Después de oír lo que el pueblo quería, Samuel se lo comunicó al Señor.

22—Hazles caso —respondió el Señor—; dales un rey.

Entonces Samuel dijo a los israelitas:

—¡Regresen a sus pueblos!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Samweli 8:1-22

Israeli Waomba Mfalme

18:1 Kum 16:18-19; Amu 10:4; 12:14Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli. 28:2 1Nya 6:28; Mwa 22; 19; 1Fal 19:3; Amo 5:4-5Mzaliwa wa kwanza alikuwa Yoeli, na la wa pili lilikuwa Abiya, nao wakatumika huko Beer-Sheba. 38:3 1Sam 2:12; Neh 9:29; Ay 34:27; Za 14:3; 58:3; Isa 53:6; Kut 23:8; 1Sam 12:3; Mit 17:23; Kut 23:2; Kum 16:19Lakini wanawe hawakuenenda katika njia zake. Waliziacha wakageukia faida za udanganyifu nao wakapokea rushwa na kupotosha haki.

48:4 Amu 11:11; 1Sam 11:3; 7:17Basi wazee wote wa Israeli wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli huko Rama. 58:5 Kum 17:14-20; 1Sam 10:19; 12:12-13; 3:20; 12:2; Hos 13:11Wakamwambia, “Wewe umekuwa mzee, nao wanao hawaenendi katika njia zako, sasa tuteulie mfalme wa kutuongoza, kama ilivyo kwa mataifa mengine yote.”

68:6 Hos 13:10; 1Sam 12:17; 15:11; 16:1Lakini wao waliposema, “Tupe mfalme wa kutuongoza,” hili lilimchukiza Samweli, hivyo akamwomba Bwana. 78:7 1Sam 12:1; Hes 11:20; Kut 16:8; Mt 10:24-25; Lk 10:16; Yn 13:16; 1Sam 10:19Naye Bwana akamwambia: “Sikiliza yale yote watu wanakuambia. Si wewe ambaye wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme wao. 88:8 1Sam 12:10; 2Fal 21:22; Yer 2:17Kama vile walivyofanya tangu siku nilipowapandisha kutoka Misri mpaka siku hii ya leo; wakiniacha mimi na kutumikia miungu mingine, ndivyo wanavyokufanyia wewe. 98:9 Kum 17:14-20; 1Sam 8:11-18; 10:25Sasa wasikilize, lakini waonye kwa makini na uwafahamishe yale watakayotendewa na mfalme atakayewatawala.”

108:10 Kut 19:7Samweli akawaambia wale watu waliokuwa wakiomba wapewe mfalme maneno yote ya Bwana. 118:11 1Sam 10:25; 14:52; Mwa 41:46; Kum 17:16; 2Sam 15:1; 2Nya 1:14; 9:25; Wim 3:7; 1Nya 1:5Akasema, “Hivi ndivyo atakavyowatendea mfalme atakayewatawala. Atawachukua wana wenu na kuwafanya watumike kwa magari yake ya vita na farasi, nao watakimbia mbele ya magari yake. 128:12 Kum 1:15; 1Sam 22:7Baadhi yao atawaweka kuwa majemadari wa jeshi wa maelfu na majemadari wa jeshi wa hamsini, wengine kulima mashamba yake na kuvuna mavuno yake, pia na wengine kutengeneza silaha za vita na vifaa kwa ajili ya magari yake. 13Atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi na waokaji. 148:14 1Sam 28:6; Ay 27:9; 35:12-13; Za 18:41; 66:18; Mit 1:28; Isa 58:4; 59:2; Yer 14:12; Eze 8:18; Mik 3:4; 1Sam 10:25; 1Fal 12:4Atayachukua mashamba yenu yaliyo mazuri, mashamba ya mizabibu na mashamba yenu ya mizeituni na kuwapa watumishi wake. 158:15 Mwa 41:34; 1Sam 17:25Ataichukua sehemu ya kumi ya nafaka yenu na ya zabibu zenu na kuwapa maafisa wake na watumishi wake. 16Atawachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike, na ngʼombe wenu walio wazuri sana na punda kwa matumizi yake mwenyewe. 17Atachukua sehemu ya kumi ya makundi yenu ya kondoo na mbuzi, na ninyi wenyewe mtakuwa watumwa wake. 188:18 1Sam 28:6; Ay 27:9; 35:12-13; Za 18:41; 66:18; Mit 1:28; Isa 58:4; 59:2; Yer 14:12; Eze 8:18; Mik 3:4; 1Sam 10:25; 1Fal 12:4Siku ile itakapowadia, mtalia kwa kutaka msaada kutokana na mfalme mliyemchagua, naye Bwana hatawajibu.”

198:19 Mit 1:24; Isa 50:2; 66:4; Yer 7:13; 8; 12; 13; 10; 44:16; Mdo 13:21Lakini watu wakakataa kumsikiliza Samweli wakasema, “Hapana! Tunataka mfalme wa kututawala. 20Kisha tutakuwa kama mataifa mengine yote, tukiwa na mfalme wa kutuongoza na kwenda mbele yetu na kutupigania vita vyetu.”

218:21 Amu 11:11Samweli aliposikia yote watu waliyosema, akarudia kuyasema mbele za Bwana. 228:22 Hos 13:11Bwana akamjibu, “Wasikilize na uwape mfalme.”

Kisha Samweli akawaambia watu wa Israeli, “Kila mmoja arudi mjini kwake.”