Psaltaren 132 – NUB & NEN

Swedish Contemporary Bible

Psaltaren 132:1-18

Psalm 132

Davids löfte, Herrens löfte

1En vallfartssång.

2Herre, kom ihåg allt lidande som David fick utstå.

Han svor en ed inför Herren,

gav ett löfte inför Jakobs Mäktige:

3”Jag vill inte gå in i mitt hus,

och jag vill inte lägga mig i min säng,

4inte tillåta mina ögon att slutas i sömn

eller mina ögonlock att tyngas av slummer,

5förrän jag funnit en plats åt Herren,

en boning åt Jakobs Mäktige.”

6Vi hörde om den132:6 Syftar uppenbarligen på arken, se t.ex. 1 Sam 6:21—7:2 (Kirjat-Jearim där är lika med Jaar i denna vers). i Efrata

och fann den på Jaars fält.

7Låt oss gå till hans boning,

falla ner inför hans fotpall.

8Res dig, Herre, gå till din viloplats,

du och din makts ark!

9Dina präster ska vara klädda i rättfärdighet,

dina fromma ska jubla av glädje!

10För din tjänare Davids skull,

förkasta inte din smorde.

11Herren har svurit David en ed,

som han aldrig tar tillbaka:

”Dina egna ättlingar

ska jag låta sitta på din tron.

12Om dina söner håller mitt förbund

och mina befallningar som jag ger dem,

ska även deras söner för alltid sitta på din tron.”

13För Herren har utvalt Sion,

där har han velat ha sin boning.

14”Detta är min viloplats för evigt.

Här vill jag bo, det är min önskan.

15Jag ska välsigna Sion med riklig försörjning

och mätta dess fattiga med mat.

16Jag ska klä dess präster i frälsning,

och dess fromma ska jubla av glädje.

17Här vill jag låta ett horn132:17 I hela Psaltaren symboliserar horn ära, makt och styrka. växa upp åt David;

jag har satt upp en lampa åt min smorde.

18Hans fiender ska jag klä i skam,

men kronan på hans huvud ska stråla.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 132:1-18

Zaburi 132

Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni

Wimbo wa kwenda juu.

1Ee Bwana, mkumbuke Daudi

na taabu zote alizozistahimili.

2132:2 Mwa 49:24; Isa 49:26; 60:16Aliapa kiapo kwa Bwana

na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:

3132:3 2Sam 7:2, 27“Sitaingia nyumbani mwangu

au kwenda kitandani mwangu:

4132:4 Rut 3:18sitaruhusu usingizi katika macho yangu,

wala kope zangu kusinzia,

5132:5 1Fal 8:17; Mdo 7:46mpaka nitakapompatia Bwana mahali,

makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

6132:6 1Sam 7:2; 17:12; Yos 9:17; 18:1; 1Nya 13:5Tulisikia habari hii huko Efrathi,

tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:132:6 Yaani Kiriath-Yearimu.

7132:7 2Sam 15:25; Za 5:7; 122:1; 1Nya 28:2“Twendeni kwenye makao yake,

na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;

8132:8 Hes 10:35inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia,

wewe na Sanduku la nguvu zako.

9132:9 Ay 27:6; Zek 3:4; Isa 61:3, 10; Mal 3:3; Ay 29:14Makuhani wako na wavikwe haki,

watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”

10Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,

usimkatae mpakwa mafuta wako.

11132:11 Za 89:3-4, 35; 1Nya 17:11-14; Mt 1:1; Lk 3:31Bwana alimwapia Daudi kiapo,

kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua:

“Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe

katika kiti chako cha enzi,

12132:12 2Nya 6:16; Za 25:10; Lk 1:32; Mdo 2:30kama wanao watashika Agano langu

na sheria ninazowafundisha,

ndipo wana wao watarithi

kiti chako cha enzi milele na milele.”

13132:13 Kut 15:17; Za 48:1, 2; 68:16; 1Fal 18:13Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni,

amepaonea shauku pawe maskani yake:

14132:14 Za 80:1; 68:16; 2Sam 6:2“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;

hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:

15132:15 Za 107:9; 147:14Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:

nitashibisha maskini wake kwa chakula.

16132:16 2Nya 6:41; Ay 8:21; Za 149:5Nitawavika makuhani wake wokovu,

nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.

17132:17 1Sam 2:10; Za 18:28; 84:9; 92:10; Eze 29:21; Lk 1:69; 1Fal 11:36; 2Fal 8:19; 2Nya 21:7“Hapa nitamchipushia Daudi pembe,132:17 Pembe inawakilisha nguvu.

na kuweka taa kwa ajili ya masiya132:17 Masiya yaani mpakwa mafuta. wangu.

18132:18 Ay 8:22; 2Sam 12:30Adui zake nitawavika aibu,

bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”