4 Moseboken 1 – NUB & NEN

Swedish Contemporary Bible

4 Moseboken 1:1-54

Förberedelser för vandringen

(1:1—10:10)

Den första folkräkningen

(26:1-51)

Gud ger order om en folkräkning

1Den första dagen i andra månaden året efter det att israeliterna lämnat Egypten och kommit till Sinais öken, talade Herren till Mose i uppenbarelsetältet:

2”Räkna hela Israels menighet, alla män i varje stam och familj, varje namn för sig. 3Du och Aron ska mönstra alla vapenföra Israels män från tjugo år och uppåt, häravdelning för häravdelning. 4En man från varje stam, ett familjeöverhuvud, ska hjälpa er. 5Här är namnen på männen som ska hjälpa er:

från Rubens stam Elisur, Shedeurs son,

6från Simons Shelumiel, Surishaddajs son,

7från Judas Nachshon, Amminadavs son,

8från Isaskars Netanel, Suars son,

9från Sebulons Eliav, Helons son,

10från Efraims (Josefs son) Elishama, Ammihuds son,

från Manasse (Josefs son) Gamliel, Pedasurs son,

11från Benjamins Avidan, Gidonis son,

12från Dans Achieser, Ammishaddajs son,

13från Ashers Pagiel, Okrans son,

14från Gads Eljasaf, Deguels son,

15från Naftalis stam Achira, Enans son.”

16Dessa män var utsedda av menigheten och var ledare för sina fäders stammar, de var Israels stamhövdingar.

17Mose och Aron tog dessa namngivna män 18och sammankallade hela menigheten på första dagen i andra månaden. Folket infördes i förteckningen efter sina släkter och familjer, varje namn för sig, alla män från tjugo år och uppåt 19som Herren hade befallt Mose. Så mönstrade han dem i Sinaiöknen.

20Av Rubens, Israels förstföddes, stam upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 21Av Rubens stam mönstrades 46 500 man.

22Av Simons ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 23Av Simons stam mönstrades 59 300 man.

24Av Gads ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 25Av Gads stam mönstrades 45 650 man.

26Av Judas ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 27Av Judas stam mönstrades 74 600 man.

28Av Isaskars ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 29Av Isaskars stam mönstrades 54 400 man.

30Av Sebulons ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 31Av Sebulons stam mönstrades 57 400 man.

32Av Efraims, Josefs sons, ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 33Av Efraims stam mönstrades 40 500 man.

34Av Manasses, Josefs sons, ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 35Av Manasses stam mönstrades 32 200 man.

36Av Benjamins ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 37Av Benjamins stam inmönstrades 35 400 man.

38Av Dans ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 39Av Dans stam mönstrades 62 700 man.

40Av Ashers ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 41Av Ashers stam mönstrades 41 500 man.

42Av Naftalis ättlingar upptecknades släkt för släkt, familj för familj, namn för namn alla vapenföra män från tjugo år och uppåt. 43Av Naftalis stam mönstrades 53 400 man.

44Dessa mönstrades av Mose och Aron och Israels hövdingar, tolv män som representerade var sin stamfamilj. 45Alla vapenföra israeliter från tjugo år och uppåt mönstrades alltså familjevis. 46Sammanlagt räknades 603 550 stridsdugliga män vid mönstringen.

47Leviternas fädernestam räknades dock inte i mönstringen tillsammans med de andra. 48Herren talade nämligen till Mose: 49”Du ska inte räkna Levis stam i mönstringen av israeliterna. 50Du ska ge dem i uppdrag att bära förbundstecknets boning och utföra allt som hör samman med den och alla dess redskap och sköta om dem. De måste bo nära tältet 51och när det ska flyttas är det leviternas sak att ta ner det och att sätta upp det igen vid nästa lägerplats. Om någon annan kommer nära det ska han dödas. 52Varje israelit ska slå läger tillsammans och under eget banér, efter sina häravdelningar. 53Leviternas tält ska slås upp runt förbundstecknets boning för att Guds vrede inte ska komma över Israels meninghet. Leviterna är ansvariga för den och dess skötsel.”

54Alla dessa befallningar som Herren hade gett Mose efterföljdes av israeliterna.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 1:1-54

Watu Wahesabiwa Kwa Mara Ya Kwanza

11:1 Kut 27:21; 40:2; 19:1; 6:14; 40:17; Hes 10:12Bwana alisema na Mose katika Jangwa la Sinai, katika Hema la Kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Akamwambia, 21:2 Kut 30:11-16; Hes 3:40; 26:2; 1Nya 21:2; 2Sam 24:2“Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume kwa jina lake, mmoja mmoja. 31:3 Kut 4:14; 30:14; Hes 17:3; 26:2; Yos 5:4; 1Nya 5:18Wewe na Aroni mtawahesabu kwa migawanyo yao wanaume wote katika Israeli wenye miaka ishirini na kuendelea ambao wanaweza kutumika katika jeshi. 41:4 Law 24:11; Hes 7:2; 30:1; 31:26; 34:18; Kut 18:21; Kum 1:15; Yos 22:14Mwanaume mmoja kutoka kila kabila, kila aliye kiongozi wa jamaa yake, atawasaidia. 51:5 Hes 2:10; 7:30; 10:18; 17:2; Mwa 29:32; Ufu 7:4-5Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia:

“kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;

61:6 Hes 25:14; 2:12; 7:36; 10:19kutoka Simeoni, ni Shelumieli mwana wa Surishadai;

71:7 Mwa 29:35; Za 78:68; Kut 6:23; Hes 7:12; Rut 4:20; 1Nya 2:10; Lk 3:32kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;

81:8 Mwa 30:18; Hes 10:15; 2:5; 7:18kutoka Isakari, ni Nethaneli mwana wa Suari;

91:9 Hes 10:16; 2:7; 7:24kutoka Zabuloni, ni Eliabu mwana wa Heloni;

101:10 Hes 2:18, 20; 7:48-53; 10:22-23kutoka wana wa Yosefu:

kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi;

kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;

111:11 Hes 10:24; 2:22; 7:60; Za 68:27kutoka Benyamini, ni Abidani mwana wa Gideoni;

121:12 Hes 2:25; 7:66; 10:25kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa Amishadai;

131:13 Hes 10:26; 2:27; 7:72kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;

141:14 Hes 10:20; 2:14; 7:42kutoka Gadi, ni Eliasafu mwana wa Deueli;

151:15 Hes 10:27; 2:29; 7:78kutoka Naftali, ni Ahira mwana wa Enani.”

161:16 Kut 18:25; Hes 32:28; Mwa 6:4; 1Nya 5:24; Amu 6:15Hawa walikuwa wanaume walioteuliwa kutoka jumuiya, viongozi wa makabila ya baba zao. Walikuwa wakuu wa koo za Israeli.

17Mose na Aroni wakawachukua wanaume hao waliokuwa wamepewa majina yao, 181:18 Ezr 2:59; Ebr 7:3; Kut 30:14wakaita jumuiya yote pamoja katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Watu wakaonyesha nasaba zao kwa koo zao na jamaa zao, nao wanaume waliokuwa na miaka ishirini au zaidi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, 191:19 Kut 30:12; Hes 26:63; 31:49kama Bwana alivyomwagiza Mose. Hivyo aliwahesabu katika Jangwa la Sinai:

201:20 Mwa 10:15; 29:32; 46:9; Ufu 7:5Kutoka wazao wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 211:21 Hes 26:7Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500.

221:22 Mwa 29:33; Ufu 7:7; 2Sam 22:35; Za 60:12; Efe 6:12Kutoka wazao wa Simeoni:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi walihesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 231:23 Hes 26:14Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.

241:24 Mwa 30:11; Yos 13:24-28; Ufu 7:5Kutoka wazao wa Gadi:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 251:25 Mwa 46:16; Hes 26:18; 1Nya 5:11Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650.

261:26 Mt 1:2; Mwa 29:35; Ufu 7:5; Mwa 49:8-10; Za 78:68; Ebr 7:14Kutoka wazao wa Yuda:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 271:27 Hes 26:22Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600.

281:28 Mwa 30:18; Ufu 7:7Kutoka wazao wa Isakari:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 291:29 Mwa 30:18; Hes 26:25Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400.

301:30 Mwa 30:20; Ufu 7:8Kutoka wazao wa Zabuloni:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 311:31 Hes 26:27Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.

321:32 Mwa 49:26; 41:52; Hes 26:35-37; Za 60:7; Yer 7:15Kutoka wana wa Yosefu:

Kutoka wazao wa Efraimu:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 331:33 Hes 26:37; 1Nya 7:20Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500.

341:34 Mwa 41:51; Ufu 7:6Kutoka wazao wa Manase:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 35Idadi kutoka kabila la Manase walikuwa watu 32,200.

361:36 Mwa 35:18; 2Nya 17:17; Yer 32:44; Oba 1:19; Ufu 7:8Kutoka wazao wa Benyamini:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 371:37 Hes 26:41Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400.

381:38 Mwa 30:6; Kum 33:22Kutoka wazao wa Dani:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 391:39 Hes 26:43Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700.

401:40 Mwa 30:13; Hes 26:44; Ufu 7:6Kutoka wazao wa Asheri:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 411:41 Hes 26:47Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500.

421:42 Mwa 30:8; Ufu 7:6Kutoka wazao wa Naftali:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 431:43 Hes 26:50; Kut 1:1-4Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400.

441:44 Hes 26:64Hawa walikuwa wanaume waliohesabiwa na Mose, Aroni na viongozi kumi na wawili wa Israeli, kila mmoja akiwakilisha jamaa yake. 451:45 Hes 14:29; 2:32Wanaume wote Waisraeli waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi la Israeli walihesabiwa kufuatana na jamaa zao. 461:46 Kut 12:37; 2Sam 24:9; Mwa 13:16; Kut 38:26; Hes 26:51; 1Fal 4:20Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550.

471:47 Hes 3:17-20; 26:57; 4:3, 49; 1Nya 21:6Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine. 48Bwana alikuwa amemwambia Mose: 491:49 Hes 26:62“Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine. 501:50 Kut 31:18; 15:9; 16:34; Mdo 7:44; Hes 4:15-33Badala yake, waweke Walawi kuwa viongozi wa Maskani ya Ushuhuda, juu ya samani zake na kila kitu kilichomo ndani yake. Wao watabeba Maskani na samani zake zote; wataitunza na kupiga kambi kuizunguka. 511:51 Kut 21:12; 26:1; Hes 4:5, 15; 3:38Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa. 521:52 Hes 10:14; Za 20:4-5; Wim 2:4; 6:4Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake. 531:53 Hes 2:10; 3:23-38; 16:46; 18:2-5; Law 10:6; Kum 9:22; Kut 38:21; 1Nya 23:32; 2Nya 13:10Hata hivyo, Walawi watapiga mahema yao kuzunguka Maskani ya Ushuhuda ili ghadhabu isiipate jumuiya ya Waisraeli. Walawi watawajibika kwa utunzaji wa Maskani ya Ushuhuda.”

54Waisraeli walifanya yote haya sawasawa kama Bwana alivyomwamuru Mose.