1 Moseboken 39 – NUB & NEN

Swedish Contemporary Bible

1 Moseboken 39:1-23

Josef kastas i fängelse

1Josef hade nu förts ner till Egypten. Potifar, faraos hovman och befälhavare för livgardet, en egypter, köpte honom av ismaeliterna som hade fört honom dit. 2Herren var med Josef, allt han gjorde lyckades väl. Han var i sin egyptiske husbondes hus, 3och denne förstod att Herren var med Josef och gav honom framgång i allt han företog sig. 4Han såg med välvilja på Josef och gjorde honom till sin närmaste man. Josef fick ansvar för hela hushållet och över allt som Potifar ägde. 5Från den dagen han gav Josef ansvaret för sitt hus och sin egendom, välsignade Herren egypterns hus på grund av Josef. Herren välsignade allt Potifar hade, såväl hemma som ute på markerna. 6Josef fick ansvaret för allt hans husbonde ägde. Det enda Potifar själv behövde bry sig om var vad han skulle äta.

Josef var välbyggd och såg bra ut. 7Efter en tid började Potifars hustru göra närmanden mot honom och föreslog att han skulle ligga med henne.

8Josef vägrade och svarade: ”Min husbonde bekymrar sig inte för någonting i sitt hus utan har lämnat allt han äger i min vård. 9Själv har han inte mer makt här än vad jag har. Han har inte undanhållit mig annat än dig, eftersom du är hans hustru. Hur skulle jag kunna göra något så ont som detta och synda mot Gud?”

10Men hon fortsatte med sina förslag dag efter dag. Josef vägrade dock att lyssna till henne och ville varken ligga med henne eller ens vara nära henne.

11En dag när han gick in i huset för att sköta sina sysslor, var ingen annan inne. 12Då kom hon och grep tag i hans kläder och krävde att han skulle ligga med henne. Men han lämnade sin mantel i hennes hand och flydde ut. 13När hon såg att han lämnade sin mantel och flydde, 14ropade hon på husfolket och sa till dem:

”Se här! Han har tagit hit den där hebreiske slaven som bara vill roa sig med oss. Han kom och ville ligga med mig, men jag skrek högt, 15och när han hörde mitt skrik, lämnade han sin mantel och sprang ut.”

16Hon behöll hans mantel och när hans husbonde kom hem på kvällen, 17berättade hon samma sak också för honom: ”Den där hebreiske slaven, som du har tagit hit, kom och ville roa sig med mig, 18men jag ropade och skrek. Då lämnade han sin mantel och flydde.”

19När husbonden hörde hustruns berättelse om hur hans slav hade uppfört sig mot henne, blev han rasande. 20Husbonden grep Josef och spärrade in honom i det fängelse där kungen hade sina fångar. Så satt alltså Josef nu i fängelse. 21Men Herren var med Josef också där och var god emot honom. Han gjorde fängelsechefen så välvilligt inställd mot Josef 22att han gav Josef ansvaret för alla de andra fångarna liksom ansvaret för allt som gjordes där.

23Fängelsechefen behövde inte bekymra sig över något av det som Josef tog hand om, för Herren var med honom och allt han gjorde lyckades väl.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 39:1-23

Yosefu Na Mke Wa Potifa

139:1 Mwa 37:36Wakati huu Yosefu alikuwa amechukuliwa mpaka Misri. Mmisri aliyeitwa Potifa aliyekuwa mmojawapo wa maafisa wa Farao, mkuu wa ulinzi, akamnunua Yosefu kutoka kwa Waishmaeli waliomleta Misri.

2Bwana alikuwa pamoja na Yosefu, naye akastawi, Yosefu akaishi nyumbani kwa bwana wake Mmisri. 339:3 Mwa 21:22; Za 1:3Potifa alipoona kuwa Bwana alikuwa pamoja na Yosefu na kwamba Bwana alimfanikisha kwa kila kitu alichokifanya, 439:4 1Fal 11:28Yosefu alipata kibali machoni pa Potifa, akamfanya mhudumu wake. Potifa akamweka kuwa msimamizi wa nyumba yake, naye akamkabidhi kuwa mwangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho. 539:5 2Sam 6:11; Za 128:4Kuanzia wakati huo Potifa alipomweka Yosefu kuwa msimamizi wa nyumba na mali zake zote alizokuwa nazo, Bwana aliibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu. Baraka ya Bwana ilikuwa juu ya kila kitu alichokuwa nacho Potifa, nyumbani na shambani. 6Kwa hiyo Potifa akamwachia Yosefu uangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho, Yosefu alipokuwa katika uongozi, Potifa hakuwa na sababu ya kujishughulisha na kitu chochote isipokuwa chakula alichokula.

Yosefu alikuwa mwenye umbo zuri na sura ya kuvutia; 7baada ya kitambo mke wa Potifa akamtamani Yosefu, akamwambia, “Njoo, ukutane nami kimwili!”

839:8 Mit 6:23-24Lakini Yosefu akakataa. Akamwambia yule mwanamke, “Mimi nikiwa katika uongozi, bwana wangu hahusiki na kitu chochote katika nyumba hii, kila kitu alicho nacho amenikabidhi. 939:9 Hes 22:34Hapa nyumbani hakuna aliye mkuu kuliko mimi. Bwana wangu hakunizuilia kitu chochote isipokuwa wewe, kwa kuwa wewe ni mke wake. Nitawezaje basi kufanya uovu huu na kutenda dhambi dhidi ya Mungu?” 10Ingawa yule mwanamke aliendelea kumshawishi Yosefu siku baada ya siku, Yosefu alikataa kukutana naye kimwili wala kukaa karibu naye.

1139:11 Kut 18:20Siku moja Yosefu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi zake, wala hapakuwepo na mfanyakazi yeyote ndani ya nyumba. 1239:12 Mit 7:13; 2Tim 2:22Mke wa Potifa akashika vazi Yosefu alilokuwa amevaa, akamwambia, “Njoo tukutane kimwili!” Lakini Yosefu akaacha vazi lake mkononi mwa huyo mwanamke, akatoka nje ya nyumba akikimbia.

13Yule mwanamke alipoona kwamba Yosefu amemwachia vazi lake mkononi na kukimbilia nje ya nyumba, 1439:14 Kum 22:24, 27akawaita watumishi wake wa nyumbani, akawaambia, “Tazameni! Huyu Mwebrania ameletwa hapa kutudhihaki! Aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili, lakini nikapiga kelele. 15Aliposikia kelele za kuomba msaada, akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia nje.”

16Yule mwanamke akaliweka lile vazi karibu naye mpaka Potifa aliporudi nyumbani. 1739:17 Kut 20:16; Mwa 14:13Ndipo akamweleza kisa hiki, akisema: “Yule mtumwa wa Kiebrania uliyetuletea alinijia ili kunidhihaki. 18Lakini mara nilipopiga kelele kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu akakimbia nje ya nyumba.”

19Potifa aliposikia kisa hiki mkewe alichomweleza, akisema, “Hivi ndivyo mtumwa wako alivyonitenda.” Hasira ya Potifa ikawaka. 2039:20 Za 105:18Potifa akamchukua Yosefu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa.

Lakini wakati Yosefu alipokuwa huko gerezani, 2139:21 Kut 3:21; Mit 16:7Bwana alikuwa pamoja naye, akamhurumia na kumpa kibali mbele ya msimamizi wa gereza. 22Kwa hiyo msimamizi wa gereza akamweka Yosefu awe mkuu wa wafungwa pamoja na kusimamia yote ambayo yalitendeka mle gerezani. 2339:23 Mwa 21:20; Hes 14:43Msimamizi wa gereza hakujishughulisha tena na kitu chochote kilichokuwa chini ya uangalizi wa Yosefu, kwa sababu Bwana alikuwa pamoja na Yosefu akimfanikisha kwa kila alichofanya.