Псалми 1 – NSP & NEN

New Serbian Translation

Псалми 1:1-6

Књига Прва

Псалми 1–41

Псалам 1

1Блажен човек који не следи савет опаких,

не стоји на грешничком путу,

нити седа у друштво ругача,

2већ ужива у Закону Господњем,

дан и ноћ му о Закону мисли.

3Он је као дрво усађено крај поточних вода,

које род свој даје када му је време,

а лишће му никада не вене.

Све што ради, на добро му иде.

4Нису такви опаки!

Они су као плева што је ветар носи.

5Зато опаки неће опстати на суду,

ни грешници на збору праведних.

6Јер зна Господ пут праведника,

а пут опаких води у пропаст.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 1:1-6

KITABU CHA KWANZA

(Zaburi 1–41)

Zaburi 1

Furaha Ya Kweli

11:1 Kum 33:29; Za 40:4; 26:9; 37:38; 51:13; 104:35; 26:4; 10:2-11; 128:4; 89:15; 81:12; Mwa 49:6; Isa 28:14; Hos 7:5; Ay 21:16; 11:3; 31:5; Mit 1:22; 4:14Heri mtu yule ambaye

haendi katika shauri la watu waovu,

wala hasimami katika njia ya wenye dhambi,

au kuketi katika baraza la wenye mizaha.

21:2 Za 19:7; 119:1, 16, 35; 112:1; Rum 7:22; Eze 11:20; 18:17; Mwa 24:63Bali huifurahia sheria ya Bwana,

naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.

31:3 Za 46:4; 65:9; 52:8; 92:12, 14; 128:2, 3; Yer 11:16; Zek 4:3; Hes 24:6; Ay 14:9; Eze 17:5; 47:12; Isa 1:30; 64:6; Mwa 39:3Mtu huyo ni kama mti uliopandwa

kando ya vijito vya maji,

ambao huzaa matunda kwa majira yake

na majani yake hayanyauki.

Lolote afanyalo hufanikiwa.

Huzuni Ya Waovu

41:4 Ay 13:25; Isa 40:24; Yer 13:24Sivyo walivyo waovu!

Wao ni kama makapi

yapeperushwayo na upepo.

51:5 Za 5:5; 26:12; 35:28; 82:1; 89:5; 107:32; 111:1; 149:1; Ay 19:29; 1:6; Za 37:18; 121:5; 145:20; 9:6; Nah 1:7; Law 26:38; Yn 1:41Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu,

wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.

6Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki,

bali njia ya waovu itaangamia.