Псалом 112
1Аллилуйя!
Воздайте хвалу Господу, слуги Господни,
воздайте хвалу имени Господа!
2Да будет прославлено имя Господне
отныне и вовеки!
3От востока и до запада112:3 Букв.: «От восхода солнца и до заката».
да будет прославлено имя Господне!
4Господь превознесен над всеми народами,
и слава Его выше небес.
5Кто подобен Господу, нашему Богу,
восседающему на троне в вышине?
6Он склоняется, чтобы взирать
на происходящее на небе и на земле.
7Он поднимает бедного из праха
и возвышает нищего из грязи,
8чтобы посадить их с вождями,
с вождями их народа.
9Бесплодную женщину вселяет в дом
счастливой матерью.
Аллилуйя!
Zaburi 112112 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
Baraka Za Mwenye Haki
1112:1 Za 33:2; 103:1; 150:1; 1:1, 2; Ay 1:8; Za 103:11; 115:13; 128:1; 1:2; 119:14, 16, 47, 92Msifuni Bwana.
Heri mtu yule amchaye Bwana,
mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
2112:2 Za 25:13; 37:26; 128:2-4Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,
kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
3112:3 Kum 8:18; Za 37:6; 111:3Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,
haki yake hudumu milele.
4112:4 Za 18:28; 5:12Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,
yule mwenye rehema, huruma na haki.
5112:5 Za 37:21, 26; Lk 6:35Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,
anayefanya mambo yake kwa haki.
6112:6 Za 15:5; 55:22; Mit 10:7; Mhu 2:16Hakika hatatikisika kamwe,
mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
7112:7 Za 57:7; 108:1; 28:7; 56:3-4; Isa 12:2Hataogopa habari mbaya,
moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
8112:8 Za 3:6; 27:1; 54:7; 56:11; Mit 1:33; Isa 12:2Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,
mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
9112:9 Lk 19:8; Mdo 9:36; 2Kor 9:9; Za 111:3; 75:10Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;
haki yake hudumu milele;
pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
10112:10 Za 86:17; 34:21; 37:12; Mt 8:12; Ay 8:13Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,
atasaga meno yake na kutoweka,
kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.