Псалтирь 10 – NRT & NEN

New Russian Translation

Псалтирь 10:1-7

Псалом 10

1Дирижеру хора. Псалом Давида.

В Господе я нахожу приют.

Как вы можете говорить мне:

«Улетай на гору, как птица!»10:1 Так в некоторых древних переводах; букв.: «Улетай на ваши горы, о птица!»

2Вот, нечестивые уже натянули лук,

положили стрелу на тетиву,

чтобы во тьме стрелять в правых сердцем.

3Когда устои распались,

что может сделать праведный?

4Господь в святом храме Своем,

Господь на небесном троне Своем.

Он наблюдает за всем,

глаза Его испытывают смертных.

5Господь испытывает праведных,

а нечестивых и тех10:5 Или: «Господь испытывает и праведных и злодеев, а тех … », кто любит насилие,

ненавидит Его душа.

6Он на нечестивых прольет дождем

раскаленные угли с горящей серой;

палящий ветер – их участь.

7Господь справедлив и любит праведный суд;

праведники увидят Его лицо.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 10:1-18

Zaburi 1010 Zaburi hii ikiunganishwa na ya 9 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Sala Kwa Ajili Ya Haki

110:1 Za 13:1; 22:1, 11; 35:22; 38:21; 71:12Kwa nini, Ee Bwana, unasimama mbali?

Kwa nini unajificha wakati wa shida?

210:2 Ay 20:19; Mit 5:22; 10:3; Za 49:6; 94:4; Yer 48:30; Ay 1:5Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,

waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.

3Hujivunia tamaa za moyo wake;

humbariki mlafi na kumtukana Bwana.

410:4 Za 12:3-5; 36:1; 2Fal 18:35; Ay 21:15Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,

katika mawazo yake yote

hakuna nafasi ya Mungu.

510:5 Za 18:27; 105:5; Mit 6:17; Isa 13:11; Yer 48:29Njia zake daima hufanikiwa;

hujivuna na amri zako ziko mbali naye,

huwacheka kwa dharau adui zake wote.

610:6 Ufu 18:7Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,

daima nitakuwa na furaha,

kamwe sitakuwa na shida.”

710:7 Mhu 4:1; Rum 3:14; Isa 30:12; Ay 20:12; Za 73:8; 119:134Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;

shida na ubaya viko chini ya ulimi wake.

810:8 Za 37:32; 59:3; 71:10; Mit 1:11; Yer 5:26; Mik 7:2; Hos 6:9Huvizia karibu na vijiji;

kutoka mafichoni huwanasa wasio na hatia,

akivizia wapitaji.

910:9 Ay 18:8Huvizia kama simba aliye mawindoni;

huvizia kumkamata mnyonge,

huwakamata wanyonge na kuwaburuza

katika wavu wake.

1010:10 Ay 9:17Mateka wake hupondwa, huzimia;

wanaanguka katika nguvu zake.

1110:11 Ay 22:13; 22:14; Za 42:9; 77:9Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,

huficha uso wake na haoni kabisa.”

1210:12 Za 3:7; 9:12, 13; 17:7; 20:6; 106:26; Isa 26:11; Mik 5:9Inuka Bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu.

Usiwasahau wanyonge.

1310:13 Ay 31:14Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?

Kwa nini anajiambia mwenyewe,

“Hataniita nitoe hesabu?”

1410:14 Za 22:11; 37:5; Kum 33:29Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,

umekubali kuyapokea mkononi mwako.

Mhanga anajisalimisha kwako,

wewe ni msaada wa yatima.

1510:15 Ay 31:22Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,

mwite atoe hesabu ya maovu yake

ambayo yasingejulikana.

1610:16 Kut 15:18; Kum 8:20Bwana ni Mfalme milele na milele,

mataifa wataangamia watoke nchini mwake.

1710:17 Za 9:12; Kut 22:23Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa,

wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,

1810:18 Kum 24:17; Za 146:9; 9:9ukiwatetea yatima na walioonewa,

ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.