Откровение 5 – NRT & NEN

New Russian Translation

Откровение 5:1-14

Свиток и Ягненок

1Потом я увидел в правой руке Сидящего на троне свиток, исписанный с обеих сторон и запечатанный семью печатями. 2Я увидел могучего ангела, который громко спрашивал:

– Кто достоин снять печати и раскрыть свиток?

3Но никто ни на небе, ни на земле, ни под землей не мог раскрыть свиток и посмотреть, что внутри. 4Я горько плакал, потому что не нашлось достойного, кто бы мог раскрыть свиток и посмотреть, что там. 5Тогда один из старцев сказал мне:

– Не плачь! Смотри, победил Лев из рода Иуды5:5 См. Быт. 49:9-10., Корень Давида!5:5 См. Ис. 11:1, 10. Или: «росток Давида». По пророчеству Христос должен был быть потомком Давида (см. Иер. 23:5-6). Он может раскрыть свиток с семью печатями!

6И я увидел в самом центре трона, в окружении четырех живых существ и старцев, Ягненка, выглядевшего так, будто Его принесли в жертву. У Него было семь рогов а также семь глаз5:6 Семь рогов – символ всемогущества; семь глаз – символ всеведения., которые есть семь духов Бога, посланных по всей земле. 7Он подошел и взял свиток из правой руки Сидящего на троне. 8И когда Он его взял, четыре живых существа и двадцать четыре старца пали перед Ягненком. У каждого из них в руках было по арфе и по золотому сосуду, полному благовоний – это молитвы святых. 9И они поют новую песнь:

– Ты достоин взять свиток

и снять с него печати!

Ведь Ты был принесен в жертву

и Своей кровью выкупил людей для Бога:

людей из всех родов, языков, народов и племен!

10Ты сделал их царством и священниками для Бога,

и они будут царствовать на земле!

11Потом я посмотрел и услышал голос множества ангелов, окружавших трон, живых существ и старцев, их были тьмы тем и тысячи тысяч5:11 См. Дан. 7:10.. 12Они громко пели:

Достоин Ягненок, Который был принесен в жертву,

принять власть, богатство, мудрость, силу,

честь, славу и хвалу!

13Потом я услышал, как все существа на небе, на земле, под землей, на море, и все, что в них, говорили:

– Сидящему на троне и Ягненку

да будет хвала, честь, слава и власть вовеки!

14Четыре живых существа говорили: «Аминь!» И старцы упали и поклонились.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 5:1-14

Kitabu Na Mwana-Kondoo

15:1 Ufu 4:2, 9; Eze 2:9-10; Isa 29:11; Dan 12:4Kisha nikaona katika mkono wake wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa nje, kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba. 25:2 Ufu 10:1Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kuu, akisema, “Ni nani anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua kitabu?” 35:3 Ufu 5:13Lakini hapakuwa na yeyote mbinguni wala duniani au chini ya dunia aliyeweza kukifungua hicho kitabu wala hata kutazama ndani yake. 4Nikalia sana sana kwa sababu hakuonekana yeyote anayestahili kukifungua hicho kitabu wala kutazama ndani yake. 55:5 Mwa 49:9; Isa 11:1, 10; Rum 15:12Kisha, mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa Uzao wa Daudi, ameshinda. Yeye ndiye anayeweza kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba.”

65:6 Yn 1:29; Zek 4:10Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba5:6 Roho saba za Mungu hapa inamaanisha Roho wa Mungu katika ukamilifu wa utendaji wake. za Mungu zilizotumwa duniani pote. 75:7 Ufu 4:2Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi. 85:8 Ufu 14:2; Za 141:2Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu. 95:9 Za 149:1; Ufu 14:3-4; 4:11; Ebr 9:12; 1Kor 6:20Nao wakaimba wimbo mpya, wakisema:

“Wewe unastahili kukitwaa kitabu

na kuzivunja lakiri zake,

kwa sababu ulichinjwa

na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu

kutoka kila kabila, kila lugha,

kila jamaa na kila taifa.

105:10 1Pet 5:5Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani

wa kumtumikia Mungu wetu,

nao watatawala duniani.”

115:11 Dan 7:10; Yud 14Kisha nikatazama, nikasikia sauti za malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne. Idadi yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ya maelfu. 125:12 Ufu 4:11Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema:

“Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa,

kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu

na heshima na utukufu na sifa!”

135:13 Flp 2:10; Mal 1:6; Rum 11:36Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba:

“Sifa na heshima na utukufu na uweza

ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi

na kwa Mwana-Kondoo,

milele na milele!”

145:14 Ufu 4:9-10; 19:4Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee ishirini na wanne wakaanguka kifudifudi wakaabudu.