Иеремия 43 – NRT & NEN

New Russian Translation

Иеремия 43:1-13

1Когда Иеремия закончил говорить народу все слова Господа, их Бога, все, о чем Господь послал его сказать им, 2Азария, сын Гошаи, Иоханан, сын Кареаха, и все гордецы сказали Иеремии:

– Ты лжешь! Господь, наш Бог, не посылал тебя говорить: «Не ходите в Египет, чтобы поселиться там». 3Это Барух, сын Нирии, подстрекает тебя против нас, чтобы отдать нас в руки халдеев, чтобы они перебили нас или угнали в плен в Вавилон.

4Так Иоханан, сын Кареаха, все полководцы и весь народ не послушались воли Господа остаться в земле иудейской. 5Иоханан, сын Кареаха, и все полководцы увели весь остаток Иудеи, вернувшийся, чтобы жить в земле иудейской из земель народов, среди которых он был рассеян. 6Они увели всех мужчин, женщин, детей и царских дочерей, которых Невузарадан, начальник царской охраны, оставил с Гедалией, сыном Ахикама, внуком Шафана, и пророка Иеремию с Барухом, сыном Нирии. 7Они вошли в Египет, ослушавшись Господа, и добрались до Тахпанхеса.

8В Тахпанхесе к Иеремии было слово Господа:

9– Возьми несколько больших камней и схорони их в глине дорожного покрытия у входа во дворец фараона в Тахпанхесе на глазах иудеев. 10Скажи им: «Так говорит Господь Сил, Бог Израиля: Я пошлю за Моим слугой Навуходоносором, царем Вавилона, и Я поставлю его престол над этими камнями, которые Я здесь схоронил, и он раскинет над ними свой царский шатер. 11Он явится и нападет на Египет, неся смерть обреченным на смерть, плен обреченным на плен и меч обреченным на меч. 12Царь Вавилона подожжет храмы египетских богов; он сожжет их храмы и пленит их богов. Как пастух укутывается в свою одежду, так и царь Вавилона окутает землю Египта и покинет ее невредимым. 13Он сокрушит каменные столбы в храме солнца43:13 Или: «в Гелиополе»., что в земле Египта, и сожжет храмы египетских богов».

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 43:1-13

Yeremia Apelekwa Misri

143:1 Yer 26:8; 42:9-22Yeremia alipomaliza kuwaambia watu maneno yote ya Bwana Mungu wao, yaani kila kitu Bwana alichokuwa amemtuma kuwaambia, 243:2 Yer 40:16; 42:1-2; 41:16; Za 12:4; 2The 2:10-12; Neh 9:29; 1Kor 4:18-21; Mwa 19:14; 2Kor 11:31; Kum 13:3; Kut 24:7; Eze 37:18Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! Bwana Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’ 343:3 Yer 38:4; 52:30; 32:12; 41:18Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili ututie mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au watuchukue uhamishoni Babeli.”

443:4 2Nya 25:16; Yer 42:5-6, 10; 41:16Basi Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi, na watu wote wakakataa kutii amri ya Bwana ya kukaa katika nchi ya Yuda. 543:5 Yer 40:12Badala yake, Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi kuishi katika nchi ya Yuda kutoka mataifa yote ambayo walikuwa wametawanywa. 643:6 Yer 6:12; 32:12Pia wakawaongoza wanaume wote, wanawake na watoto, na binti za mfalme ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha na Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, na nabii Yeremia, na Baruku mwana wa Neria. 743:7 2Fal 25:26; Yer 2:16; 46:14; Eze 30:18Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii Bwana, wakaenda mpaka Tahpanhesi.

843:8 Za 139:7; Yer 2:16Huko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema: 943:9 Mwa 31:45-53; Yos 4:1-7; 1Fal 18:31-32; Mwa 47:14“Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi. 1043:10 Dan 2:21; Isa 44:22; Eze 29:18-20; Yer 25:9; 27:6; 46:13; 49:38; Za 18; 11Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtumania mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe niliyoyazika hapa, naye atatandaza hema yake ya ufalme juu yake. 1143:11 Yer 46:13-26; Zek 11:9; Eze 32:11; 2Tim 1:7; Eze 29:19-20; Mit 11:19; Rum 6:23; Za 49:14Atakuja na kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa kuuawa, awateke mateka wale waliokusudiwa kutekwa, na upanga kwa wale waliokusudiwa upanga. 1243:12 Kut 12:12; Zek 13:2; Za 109:18-19; 104:2; Yos 7:15; 1Fal 16:32; Isa 2:18; Yer 46:25; Eze 30:13; Dan 11:8Atachoma moto mahekalu yao ya miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji ajizungushiavyo vazi lake ndivyo atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali hapo bila kudhurika. 13Humo ndani ya hekalu la jua43:13 Yaani Heliopoli (Mji wa Jua). nchini ya Misri atabomoa nguzo za ibada, na kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Misri.’ ”