Zekaria 7 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 7:1-14

Haki Na Rehema, Sio Kufunga

17:1 Ezr 5:1; Neh 1:1Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu. 27:2 Yer 26:19; Zek 8:21; Hag 2:10-14Watu wa Betheli walikuwa wamemtuma Shareza na Regem-Meleki pamoja na watu wao, kumsihi Bwana 37:3 Zek 12:12-14; 2Fal 25:9; Yer 52:12-14; Kum 17:9; Mal 2:7kwa kuwauliza makuhani wa nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote na manabii, “Je, imempasa kuomboleza na kufunga katika mwezi wa tano, kama ambavyo nimekuwa nikifanya kwa miaka mingi?”

4Kisha neno la Bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia kusema: 57:5 Isa 58:5; 2Fal 25:25; Dan 9:2; Zek 1:12; Mt 6:16; Rum 14:6“Waulize watu wote wa nchi na makuhani, ‘Je, mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba kwa miaka sabini iliyopita, mlifunga kweli kwa ajili yangu? 67:6 Isa 43:23Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu? 77:7 Isa 1:11-20; Yer 22:21; 17:26; 44:4-5Je, haya sio maneno ya Bwana aliyosema kupitia manabii waliotangulia, wakati Yerusalemu pamoja na miji inayoizunguka ilipokuwa katika hali ya utulivu na ya mafanikio, wakati Negebu na Shefala zikiwa zimekaliwa na watu?’ ”

8Neno la Bwana likamjia tena Zekaria: 97:9 Yer 22:3; 42:5; Zek 8:16; Kum 22:1“Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Fanyeni hukumu za haki, onyesheni rehema na huruma ninyi kwa ninyi. 107:10 Yer 49:11; Kut 22:21-22; Law 25:17; Isa 1:23; Ay 35:8; Eze 45:9; Mik 6:8Msimwonee mjane wala yatima, mgeni wala maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu ninyi kwa ninyi.’

117:11 Isa 9:9; Yer 32:33; 11:10; 17:23; 8:5; Eze 5:6“Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao. 127:12 Yer 5:3; 17:1; 42:21; Eze 11:19; Neh 9:29; Dan 9:12Wakaifanya mioyo yao migumu kama jiwe gumu na hawakuisikiliza sheria au maneno ambayo Bwana Mwenye Nguvu Zote aliyatuma kwa njia ya Roho wake kupitia manabii waliotangulia. Kwa hiyo Bwana Mwenye Nguvu Zote alikasirika sana.

137:13 Yer 7:27; 11:11; 14:12; Mit 1:28; Isa 1:15; Mao 3:44; Eze 20:31“ ‘Wakati nilipoita, hawakusikiliza, kwa hiyo walipoita, sikusikiliza,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. 147:14 Kum 4:27; 28:64-67; Law 26:33; Yer 7:34; 23:19; 44:6; Za 44:11; Isa 33:8; Eze 12:19‘Niliwatawanya kwa upepo wa kisulisuli miongoni mwa mataifa yote, mahali ambapo walikuwa wageni. Nchi ikaachwa ukiwa nyuma yao kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuingia au kutoka. Hivi ndivyo walivyoifanya ile nchi iliyokuwa imependeza kuwa ukiwa.’ ”

New Russian Translation

Захария 7:1-14

Пост лицемеров

1На четвертом году правления царя Дария, в четвертый день девятого месяца, месяца кислева7:1 7 декабря 518 г. до н. э., было слово Господне к Захарии. 2Народ Вефиля послал Сарецера и Регем-Мелеха вместе с их людьми искать у Господа расположения 3и спросить у священников дома Господа Сил и у пророков: «Скорбеть ли мне и поститься ли в пятом месяце, как я делаю это уже много лет?».

4И было ко мне слово Господне:

5– Спроси у всего народа страны и у священников: «Когда вы постились и скорбели последние семьдесят лет в пятом и седьмом месяце, то для Меня ли вы постились? 6А когда вы ели и пили, то не для самих ли себя вы пировали? 7Не те ли это слова, которыми Господь взывал через прежних пророков, когда Иерусалим с окрестными городами был населен и покоился в мире и Негев с западными предгорьями был обитаем?»

8И было к Захарии слово Господне:

9– Так говорит Господь Сил: «Судите справедливо; будьте милостивы и сострадательны друг к другу. 10Не притесняйте вдову и сироту, чужеземца и бедняка. Не замышляйте зло друг против друга».

11Но они отказались внимать; они упрямо повернулись спиной и заткнули уши, чтобы не слышать. 12Они сделали свои сердца твердыми, как кремень, чтобы не слушать Закона и слов, которые Господь Сил посылал Своим Духом через прежних пророков. И поэтому Господь Сил сильно разгневался. 13«Когда Я7:13 Букв.: «Он». звал их, они не слушали; поэтому, когда они будут звать, Я тоже не стану слушать, – говорит Господь Сил. – 14Я ураганом развеял их среди народов, которых они не знали. Страна после них осталась в таком запустении, что через нее перестали ездить. Так они привели прекрасную землю в запустение».