Zekaria 4 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 4:1-14

Maono Ya Tano: Kinara Cha Taa Cha Dhahabu Na Mizeituni Miwili

14:1 Dan 8:18; Yer 31:26Kisha malaika aliyezungumza nami akarudi na kuniamsha, kama mtu aamshwavyo kutoka usingizi wake. 24:2 Yer 1:13; Kut 25:31; Ufu 1:12; 4:5Akaniuliza, “Unaona nini?”

Nikajibu, “Ninaona kinara cha taa cha dhahabu tupu, nacho kina bakuli juu yake na taa zake saba juu yake, tena iko mirija saba ya kuleta mafuta, kwenye taa zote zilizo juu yake. 34:3 Ufu 11:4; Za 1:3Pia kuna mizeituni miwili karibu yake, mmoja upande wa kuume wa bakuli na mwingine upande wa kushoto.”

4Nikamuuliza malaika aliyezungumza nami, “Hivi ni vitu gani, bwana wangu?”

54:5 Zek 1:9Akanijibu, “Hujui kuwa hivi ni vitu gani?”

Nikajibu, “Hapana, bwana wangu.”

64:6 1Nya 3:19; Ezr 5:2; 1Sam 2:9; 13:22; 1Fal 19:12; Neh 9:20; Dan 2:34; Isa 11:2-4Kisha akaniambia, “Hili ni neno la Bwana kwa Zerubabeli: ‘Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa Roho yangu,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

74:7 Za 26:12; 118:22; Yer 51:25; 1Nya 15:28; Isa 40:3-4; Mt 21:21; Ezr 3:11“Wewe ni kitu gani, ee mlima mkubwa sana? Mbele ya Zerubabeli wewe utakuwa ardhi tambarare. Kisha ataweka jiwe la juu kabisa la mwisho na watu wakipiga kelele wakisema, ‘Mungu libariki! Mungu libariki!’ ”

8Kisha neno la Bwana likanijia: 94:9 Ezr 3:11; 6:15; Zek 2:9; 6:12; 1Kor 2:4“Mikono ya Zerubabeli iliweka msingi wa Hekalu hili, mikono yake pia italimalizia. Kisha mtajua ya kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote amenituma mimi kwenu.

104:10 Hag 2:23; Ezr 5:1; Neh 12:1; Ay 38:5; 2Nya 16:9; Ufu 5:6“Ni nani anayeidharau siku ya mambo madogo? Watu watashangilia watakapoona timazi mkononi mwa Zerubabeli.

“(Hizi saba ni macho ya Bwana ambayo huzunguka duniani kote.)”

114:11 Ufu 11:4Kisha nikamuuliza yule malaika, “Hii mizeituni miwili iliyoko upande wa kuume na wa kushoto wa kinara cha taa ni nini?”

12Tena nikamuuliza, “Haya matawi mawili ya mizeituni karibu na hiyo mirija miwili ya dhahabu inayomimina mafuta ya dhahabu ni nini?”

13Akajibu, “Hujui kuwa haya ni nini?”

Nikamjibu, “Hapana, bwana wangu.”

144:14 Kut 29:7; 40:15; Za 45:7; Isa 20:3; Dan 9:24-26Kwa hiyo akasema, “Hawa ni wawili ambao wamepakwa mafuta ili kumtumikia Bwana wa dunia yote.”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Zacarías 4:1-14

El candelabro de oro y los dos olivos

1Entonces el ángel que hablaba conmigo volvió y me despertó, como a quien se despierta de su sueño. 2Y me preguntó: «¿Qué es lo que ves?» Yo le respondí: «Veo un candelabro de oro macizo, con un recipiente en la parte superior. Encima del candelabro hay siete lámparas, con siete tubos para las mismas. 3Hay también junto a él dos olivos, uno a la derecha del recipiente, y el otro a la izquierda».

4Le pregunté entonces al ángel que hablaba conmigo: «¿Qué significa todo esto, señor mío?» 5Y el ángel me respondió: «¿Acaso no sabes lo que significa?»

Tuve que admitir que no lo sabía. 6Así que el ángel me dijo: «Esta es la palabra del Señor para Zorobabel:

»“No será por la fuerza

ni por ningún poder,

sino por mi Espíritu

—dice el Señor Todopoderoso—.

7¿Quién te crees tú, gigantesca montaña?

¡Ante Zorobabel solo eres una llanura!

Y él sacará la piedra principal

entre gritos de alabanza a su belleza”».

8Entonces vino a mí la palabra del Señor:

9«Zorobabel ha puesto los cimientos de este templo,

y él mismo terminará de construirlo.

¡Así sabréis que me ha enviado a vosotros

el Señor Todopoderoso!

10Cuando vean la plomada

en las manos de Zorobabel,

se alegrarán los que menospreciaron

los días de los modestos comienzos.

¡Estos son los siete ojos del Señor,

que recorren toda la tierra!»

11Entonces le pregunté al ángel: «¿Qué significan estos dos olivos a la derecha y a la izquierda del candelabro?» 12Y también le pregunté: «¿Qué significan estas dos ramas de olivo junto a los dos tubos de oro, por los que fluye el aceite dorado?»

13El ángel me respondió: «¿Acaso no sabes lo que significan?» Y yo tuve que admitir que no lo sabía. 14Así que el ángel me explicó: «Estos son los dos ungidos que están al servicio del Señor de toda la tierra».