Zekaria 3 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 3:1-10

Maono Ya Nne: Mavazi Safi Kwa Ajili Ya Kuhani Mkuu

13:1 Ezr 2:2; Zek 6:11; 2Sam 24:1; 2Nya 18:21; Za 109:6; Mt 4:10; Ay 1:6; Ufu 12:10Kisha akanionyesha Yoshua,3:1 Yoshua kwa Kiebrania ni Yeshua, maana yake ni Yehova ni wokovu. kuhani mkuu, akiwa amesimama mbele ya malaika wa Bwana, naye Shetani amesimama upande wake wa kuume ili amshtaki. 23:2 Yud 9, 23; Isa 14:1; 7:4; Za 109:31; Mt 4:10; Lk 22:31; Rum 16:20; 8:33; 11:5Bwana akamwambia Shetani, “Bwana akukemee Shetani! Bwana, ambaye ameichagua Yerusalemu, akukemee! Je, mtu huyu siyo kijinga kinachowaka kilichonyakuliwa kwenye moto?”

33:3 Isa 64:6Wakati huu, Yoshua alikuwa amevaa nguo chafu alipokuwa amesimama mbele ya malaika. 43:4 2Sam 12:13; Eze 36:25; Mik 7:18; Mwa 41:42; Za 132:9; Ufu 19:8; Isa 52:1Malaika akawaambia wale waliokuwa wamesimama mbele yake, “Mvueni hizo nguo zake chafu.”

Kisha akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeiondoa dhambi yako, nami nitakuvika mavazi ya kitajiri.”

53:5 Kut 29:6Kisha nikasema, “Mvike kilemba kilicho safi kichwani mwake.” Kwa hiyo wakamvika kilemba safi kichwani na kumvika yale mavazi mengine, wakati malaika wa Bwana akiwa amesimama karibu.

6Malaika wa Bwana akamwamuru Yoshua: 73:7 Law 8:35; Kum 17:8-113:7 Eze 44:15-16; 2Nya 23:6; Yer 15:19; Zek 6:15“Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ikiwa utakwenda katika njia zangu na kushika masharti yangu, basi utaitawala nyumba yangu na kuwa na amri juu ya nyua zangu, nami nitakupa nafasi miongoni mwa hawa wasimamao hapa.

83:8 Kum 28:46; Eze 12:11; Isa 4:2; 49:3“ ‘Sikiliza, ee Yoshua kuhani mkuu, pamoja na wenzako walioketi mbele yako, ambao ni watu walio ishara ya mambo yatakayokuja: Ninakwenda kumleta mtumishi wangu, Tawi. 9Tazama, jiwe nililoliweka mbele ya Yoshua! Kuna macho saba juu ya jiwe lile moja, nami nitachora maandishi juu yake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitaiondoa dhambi ya nchi hii kwa siku moja.

103:10 Ay 11:18; Hes 16:14; 1Fal 4:25; Mik 4:4“ ‘Katika siku hiyo kila mmoja wenu atamwalika jirani yake akae chini ya mzabibu wake na mtini wake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Zacarías 3:1-10

Ropas limpias para el sumo sacerdote

1Entonces me mostró a Josué, el sumo sacerdote, que estaba de pie ante el ángel del Señor, y a Satanás, que estaba a su mano derecha como parte acusadora. 2El ángel del Señor le dijo a Satanás:

«¡Que te reprenda el Señor,

que ha escogido a Jerusalén!

¡Que el Señor te reprenda, Satanás!

¿Acaso no es este hombre

un tizón rescatado del fuego?»

3Josué estaba vestido con ropas sucias en presencia del ángel. 4Así que el ángel les dijo a los que estaban allí, dispuestos a servirle: «¡Quitadle las ropas sucias!» Y a Josué le dijo: «Como puedes ver, ya te he liberado de tu culpa, y ahora voy a vestirte con ropas espléndidas».

5Entonces dije yo: «¡Ponedle también un turbante limpio en la cabeza!» Y le pusieron en la cabeza un turbante limpio, y le vistieron, mientras el ángel del Señor permanecía de pie. 6Luego el ángel del Señor le hizo esta advertencia a Josué: 7«Así dice el Señor Todopoderoso:

»“Si andas en mis caminos

y cumples como sacerdote,

entonces gobernarás mi templo

y te harás cargo de mis atrios.

¡Yo te concederé un lugar

entre estos que están aquí!

8»”Escucha, Josué, sumo sacerdote,

y que lo oigan tus compañeros,

que se sientan en tu presencia

y que son un buen presagio:

Voy a traer a mi siervo,

voy a traer al Renuevo.

9¡Mira, Josué, la piedra

que ante ti he puesto!

Hay en ella siete ojos,3:9 ojos. Alt. caras.

y en ella pondré una inscripción.

¡En un solo día borraré

el pecado de esta tierra!

—afirma el Señor Todopoderoso—.

10»”En aquel día, cada uno de vosotros invitará a su vecino a sentarse debajo de su vid y de su higuera, afirma el Señor Todopoderoso”».