Zekaria 3 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 3:1-10

Maono Ya Nne: Mavazi Safi Kwa Ajili Ya Kuhani Mkuu

13:1 Ezr 2:2; Zek 6:11; 2Sam 24:1; 2Nya 18:21; Za 109:6; Mt 4:10; Ay 1:6; Ufu 12:10Kisha akanionyesha Yoshua,3:1 Yoshua kwa Kiebrania ni Yeshua, maana yake ni Yehova ni wokovu. kuhani mkuu, akiwa amesimama mbele ya malaika wa Bwana, naye Shetani amesimama upande wake wa kuume ili amshtaki. 23:2 Yud 9, 23; Isa 14:1; 7:4; Za 109:31; Mt 4:10; Lk 22:31; Rum 16:20; 8:33; 11:5Bwana akamwambia Shetani, “Bwana akukemee Shetani! Bwana, ambaye ameichagua Yerusalemu, akukemee! Je, mtu huyu siyo kijinga kinachowaka kilichonyakuliwa kwenye moto?”

33:3 Isa 64:6Wakati huu, Yoshua alikuwa amevaa nguo chafu alipokuwa amesimama mbele ya malaika. 43:4 2Sam 12:13; Eze 36:25; Mik 7:18; Mwa 41:42; Za 132:9; Ufu 19:8; Isa 52:1Malaika akawaambia wale waliokuwa wamesimama mbele yake, “Mvueni hizo nguo zake chafu.”

Kisha akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeiondoa dhambi yako, nami nitakuvika mavazi ya kitajiri.”

53:5 Kut 29:6Kisha nikasema, “Mvike kilemba kilicho safi kichwani mwake.” Kwa hiyo wakamvika kilemba safi kichwani na kumvika yale mavazi mengine, wakati malaika wa Bwana akiwa amesimama karibu.

6Malaika wa Bwana akamwamuru Yoshua: 73:7 Law 8:35; Kum 17:8-113:7 Eze 44:15-16; 2Nya 23:6; Yer 15:19; Zek 6:15“Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ikiwa utakwenda katika njia zangu na kushika masharti yangu, basi utaitawala nyumba yangu na kuwa na amri juu ya nyua zangu, nami nitakupa nafasi miongoni mwa hawa wasimamao hapa.

83:8 Kum 28:46; Eze 12:11; Isa 4:2; 49:3“ ‘Sikiliza, ee Yoshua kuhani mkuu, pamoja na wenzako walioketi mbele yako, ambao ni watu walio ishara ya mambo yatakayokuja: Ninakwenda kumleta mtumishi wangu, Tawi. 9Tazama, jiwe nililoliweka mbele ya Yoshua! Kuna macho saba juu ya jiwe lile moja, nami nitachora maandishi juu yake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitaiondoa dhambi ya nchi hii kwa siku moja.

103:10 Ay 11:18; Hes 16:14; 1Fal 4:25; Mik 4:4“ ‘Katika siku hiyo kila mmoja wenu atamwalika jirani yake akae chini ya mzabibu wake na mtini wake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

撒迦利亚书 3:1-10

约书亚大祭司

1耶和华又让我看见约书亚大祭司站在祂的天使面前,撒旦站在约书亚的右边要控诉他。 2耶和华对撒旦说:“撒旦啊,耶和华斥责你!拣选耶路撒冷的耶和华斥责你!这人岂不像从火中抽出来的一根柴吗?” 3那时,约书亚穿着污秽的衣服站在天使面前。 4天使对侍立在周围的说:“脱掉他污秽的衣服。”他又对约书亚说:“看啊,我已除掉你的罪,我要给你穿上华美的衣服。”

5我说:“要给他戴上洁净的礼冠。”他们便给他戴上洁净的礼冠、穿上华美的衣服。那时,耶和华的天使站在旁边。

6耶和华的天使告诫约书亚7“万军之耶和华说,‘你若遵行我的道,谨守我的吩咐,便可以管理我的家,看守我的院宇。我必让你在这些侍立的天使中间自由出入。 8约书亚大祭司啊,你和坐在你面前的同伴们听着,你们都是将来之事的预兆——我将使我仆人大卫的苗裔兴起。 9看啊,这是我在约书亚面前安置的石头,它有七眼3:9 ”或作“面”。,我要在上面刻上字,并在一天之内除掉这地方的罪。这是万军之耶和华说的。 10到那天,你们将各自邀请邻居坐在葡萄树和无花果树下。这是万军之耶和华说的。’”