Zekaria 2 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 2:1-13

Maono Ya Tatu: Mtu Mwenye Kamba Ya Kupimia

1Kisha nikatazama juu: pale mbele yangu alikuwepo mtu mwenye kamba ya kupimia mkononi mwake! 22:2 Eze 40:3; Zek 1:16; Ufu 21:15Nikamuuliza, “Unakwenda wapi?”

Akanijibu, “Kupima Yerusalemu, kupata urefu na upana wake.”

3Kisha malaika aliyekuwa akizungumza nami akaondoka, malaika mwingine akaja kukutana naye 42:4 Eze 38:11; Isa 49:20; Yer 30:19; 33:22; Zek 14:11; Eze 36:10na kumwambia: “Kimbia, umwambie yule kijana, ‘Yerusalemu utakuwa mji usio na kuta kwa sababu ya wingi wa watu na mifugo iliyomo. 52:5 Isa 10:17; 11:10; 24:23; 26:1; Eze 38:14; 42:20; Za 46:5; 85:9; 125:2; Ufu 21:23; Isa 4:5Mimi mwenyewe nitakuwa ukuta wa moto kuuzunguka,’ asema Bwana, ‘nami nitakuwa utukufu wake ndani yake.’

62:6 Za 44:11; Eze 17:21; 37:9; Mt 24:31; Mk 13:27; Kum 28:64“Njooni! Njooni! Kimbieni mtoke katika nchi ya kaskazini,” asema Bwana, “Kwa kuwa nimewatawanya kwenye pande nne za mbingu,” asema Bwana.

72:7 Isa 42:7; 48:20; Yer 3:18“Njoo, ee Sayuni! Kimbia, wewe ukaaye ndani ya Binti Babeli!” 82:8 Kum 32:10; 2The 1:6Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Baada ya yeye kuniheshimu na kunituma mimi dhidi ya mataifa yaliyokuteka nyara, kwa kuwa yeyote awagusaye ninyi, anaigusa mboni ya jicho lake, 92:9 Isa 14:2; 48:16; Yer 12:14; Hab 2:8; Zek 4:9; 6:15hakika nitauinua mkono wangu dhidi yao ili watumwa wao wawateke nyara. Ndipo mtakapojua ya kwamba Bwana Mwenye Nguvu Zote amenituma.

102:10 Sef 3:14; Isa 23:12; Kut 25:8; Hes 23:21; Law 26:12; Zek 8:3; 9:9; Ufu 21:3; 2Kor 6:16“Piga kelele na ufurahie, ee Binti Sayuni, kwa maana ninakuja, nami nitaishi miongoni mwenu,” asema Bwana. 112:11 Yer 23:7; Mik 4:2; Zek 8:8, 20-22; Isa 2:2-3; Kut 12:49; Eze 33:33“Mataifa mengi yataunganishwa na Bwana siku hiyo, nao watakuwa watu wangu. Nitaishi miongoni mwenu nanyi mtajua kwamba Bwana Mwenye Nguvu Zote amenituma kwenu. 122:12 Kut 34:9; Za 33:12; Yer 10:16; 40:5; Kum 12:5; Isa 14:1; Kum 32:9Bwana atairithi Yuda kama fungu lake katika nchi takatifu na atachagua tena Yerusalemu. 132:13 Kut 14:14; Isa 41:1; Kum 26:15; Za 46:10; Hab 2:20; Rum 3:19Tulieni mbele za Bwana, enyi watu wote, kwa sababu ameinuka kutoka makao yake matakatifu.”

Het Boek

Zacharia 2:1-13

God kiest Jeruzalem als woonplaats

1Toen ik om mij heen keek, zag ik een man met een meetlat in zijn hand. 2‘Waar gaat u heen?’ vroeg ik. ‘Ik ga Jeruzalem opmeten,’ zei hij. ‘Ik ga de stad opmeten om te zien hoe groot ze moet worden.’ 3Daarna liep de engel die met mij sprak, een andere engel tegemoet die zijn richting opkwam. 4‘Ga die jongeman vertellen,’ zei de andere engel, ‘dat Jeruzalem eens zó vol zal zijn dat er niet voor iedereen plaats is! Velen zullen buiten de stadsmuren wonen met hun grote kudden vee en toch zullen zij veilig zijn. 5Want de Here Zelf zal als een muur van vuur rondom hen en de stad zijn. En Hij zal met zijn macht en majesteit in haar wonen.’

6‘Gauw, vooruit, vlucht weg uit Babel,’ spoort de Here alle ballingen daar aan. ‘Ik heb u uiteengejaagd naar alle vier de windstreken, 7maar zal u weer bij elkaar brengen. Vooruit, vlucht nu naar Sion!’ 8De Here van de hemelse legers, vol macht en majesteit, heeft mij naar de volken gestuurd door wie u werd onderdrukt. Want wie u aanraakt, raakt zijn oogappel aan. 9Ik zal hen onder mijn vuist verpletteren en zij zullen een prooi worden voor hun knechten. Dan zult u weten dat de Here van de hemelse legers mij heeft gestuurd.

10‘Zing van vreugde, Jeruzalem! Want Ik kom in uw midden wonen,’ zegt de Here. 11‘In die tijd zullen talloze volken zich tot Mij bekeren en ook zij zullen mijn volk zijn en Ik zal bij hen wonen.’ Dan zult u weten dat de Here van de hemelse legers mij naar u heeft gestuurd. 12En Juda zal de erfenis van de Here in het heilige land zijn, want God zal er nogmaals voor kiezen Jeruzalem te troosten en allen die in haar wonen, te zegenen. 13Wees stil voor de Here, al wat leeft, want Hij gaat zijn heilige woning verlaten.