Zekaria 14 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 14:1-21

Bwana Yuaja Kutawala

114:1 Isa 13:6; 23:18; Yoe 1:15; Mal 4:1Siku ya Bwana inakuja ambayo nyara zilizotekwa kwenu zitagawanywa miongoni mwenu.

214:2 Isa 2:3; Zek 12:3; 13:8; Eze 5:8; Mwa 34:29; Mao 5:11; Isa 13:6; Yoe 3:2Nitayakusanya mataifa yote huko Yerusalemu kupigana dhidi yake, mji utatekwa, nyumba zitavamiwa na kuporwa na wanawake watanajisiwa. Nusu ya mji watakwenda uhamishoni, lakini watakaobaki hawataondolewa kutoka mjini.

314:3 Zek 9:14-15; 8:9; Isa 8:9Kisha Bwana atatoka na kupigana dhidi ya watu wa yale mataifa, kama apiganavyo siku ya vita. 414:4 Eze 11:23; Hes 16:31; Mdo 1:11-12; Yoe 3:12Siku hiyo miguu yake itasimama juu ya Mlima wa Mizeituni, mashariki mwa Yerusalemu, nao Mlima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili kuanzia mashariki hadi magharibi, ukifanya bonde kubwa, nusu ya mlima ukisogea kuelekea kaskazini na nusu kuelekea kusini. 514:5 Isa 29:6; 66:15-16; Mt 16:27; 25:31; Yud 14; Mt 24:30; Yoe 3:11Nanyi mtakimbia kupitia katika bonde hilo la mlima wangu kwa kuwa litaenea hadi Aseli. Mtakimbia kama mlivyokimbia tetemeko la ardhi katika siku za Uzia mfalme wa Yuda. Kisha Bwana Mungu wangu atakuja na watakatifu wote pamoja naye.

614:6 Isa 13:10; Yer 4:23Siku hiyo hakutakuwepo nuru, baridi wala theluji. 714:7 Yer 30:7; Ufu 21:23-25; 22:5; Isa 13:10; 30:26Itakuwa siku ya kipekee, isiyo na mchana wala usiku, siku ijulikanayo na Bwana. Jioni inapofika nuru itakuwepo.

814:8 Eze 47:1-12; Yn 7:38; Ufu 22:1-2; Isa 30:25; Yoe 2:20; Mwa 8:22Siku hiyo, maji yaliyo hai yatatiririka kutoka Yerusalemu, nusu kwenda kwenye bahari ya mashariki,14:8 Yaani Bahari ya Chumvi au Bahari Mfu. na nusu kwenda kwenye bahari ya magharibi14:8 Yaani Bahari ya Mediterania. wakati wa kiangazi na wakati wa masika.

914:9 Za 22:28; 47:7; Oba 1:21; Kum 6:4; Isa 45:24; Ufu 15:1; Hab 2:14; Efe 4:5-6; Za 2:8Bwana atakuwa mfalme juu ya dunia yote. Katika siku hiyo atakuwepo Bwana mmoja na jina lake litakuwa jina pekee.

1014:10 1Fal 15:22; Yos 15:32; Isa 2:2; Yer 20:2; 30:18; Amo 9:11; Zek 12:6; 2Fal 14:13; Neh 3:1Nchi yote kuanzia Geba, kaskazini mwa Yuda, hadi Rimoni, kusini mwa Yerusalemu, itakuwa kama Araba.14:10 Araba maana yake Nchi tambarare. Lakini Yerusalemu utainuliwa juu na kubaki mahali pake, toka Lango la Benyamini hadi mahali pa Lango la Kwanza, mpaka kwenye Lango la Pembeni na kutoka Mnara wa Hananeli hadi kwenye mashinikizo ya divai ya mfalme. 1114:11 Zek 2:4; Za 48:8; Eze 34:25-28; Yer 31:40Utakaliwa na watu, kamwe hautaharibiwa tena, Yerusalemu utakaa salama.

1214:12 Isa 11:4; Law 26:16; Kum 28:22; Ay 18:13Hii ndiyo tauni ambayo Bwana atapiga nayo mataifa yote ambayo yalipigana dhidi ya Yerusalemu: Nyama ya miili yao itaoza wangali wamesimama kwa miguu yao, macho yao yataoza kwenye matundu yake na ndimi zao zitaoza vinywani mwao. 1314:13 Mwa 35:5; Amu 7:22; Zek 11:6; 1Sam 14:15Katika siku hiyo Bwana atawatia wanaume hofu kuu. Kila mwanaume atakamata mkono wa mwenzake nao watashambuliana. 1414:14 Zek 12:2; Isa 23:18Yuda pia atapigana katika Yerusalemu. Utajiri wa mataifa yote yanayoizunguka Yerusalemu utakusanywa, wingi wa dhahabu, fedha na nguo. 15Tauni ya aina iyo hiyo itapiga farasi na nyumbu, ngamia na punda, nao wanyama wote walioko kwenye kambi za adui.

1614:16 2Fal 19:31; Za 22:29; 86:9; Isa 19:21; 60:6-9; Oba 1:21; Kut 23:16; Isa 66:23; 1Tim 6:15; Law 23:34; Neh 8:14; Hos 12:9Kisha walionusurika katika mataifa yote ambayo yaliushambulia Yerusalemu watakuwa wakipanda Yerusalemu kila mwaka kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote na kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda. 1714:17 2Nya 32:23; Yer 14:4; Amo 4:7; Isa 60:12Ikiwa taifa lolote la dunia hawatakwenda Yerusalemu kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote, mvua haitanyesha kwao. 1814:18 Mwa 27:29Ikiwa watu wa Misri nao hawatakwenda kushiriki, hawatapata mvua. Bwana ataleta juu yao tauni ile ambayo itawapiga mataifa yale ambayo hayatakwenda kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda. 1914:19 Ezr 3:4Hii itakuwa adhabu ya Misri na adhabu ya mataifa yote yale ambayo hayatakwenda Yerusalemu kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.

2014:20 Kut 39:30; Eze 46:20; Zek 9:15Katika siku hiyo, kengele zilizofungwa kwenye farasi zitaandikwa maneno haya: Takatifu kwa Bwana, navyo vyungu vya kupikia katika nyumba ya Bwana vitakuwa kama bakuli takatifu mbele ya madhabahu. 2114:21 Yer 31:40; Rum 14:6-7; 1Kor 10:31; Neh 8:10; 11:1; Eze 44:9; Kol 3:17; Isa 35:8; Ufu 21:27; Efe 2:19Kila chungu kilichoko Yerusalemu na Yuda kitakuwa kitakatifu kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote na wote wanaokuja kutoa dhabihu watachukua baadhi ya vyungu hivyo na kupikia. Katika siku hiyo hatakuwepo tena mfanyabiashara katika nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote.

New Russian Translation

Захария 14:1-21

Правление Царя в обновленном Иерусалиме

1Смотрите, наступает день Господа, когда награбленное у вас будут делить на ваших глазах.

2Я соберу все народы под Иерусалимом, чтобы воевать с ним. Город будет захвачен, дома разграблены, а женщины обесчещены. Половина горожан пойдет в плен, но половина останется в городе.

3Тогда Господь выйдет и сразится с этими народами, как сражается Он в день битвы. 4В тот день Его ноги встанут на Оливковой горе, что к востоку от Иерусалима, и Оливковая гора расколется надвое, с востока на запад, открыв огромную долину, и половина горы отодвинется на север, а половина на юг. 5Вы побежите по долине Моих гор, потому что долина между горами протянется до Ацеля. Вы будете бежать, как бежали от землетрясения во дни Уззии, царя Иудеи. И тогда явится Господь, мой Бог, и с Ним все святые.

6В тот день не будет света, и погаснут небесные светила14:6 Или: «В тот день не будет ни света, ни холода, ни стужи». Смысл этого места в еврейском тексте неясен.. 7Этот день будет небывалым (ведомый только Господу): ни день, ни ночь, а когда настанет вечер явится свет.

8В тот день из Иерусалима потекут потоки живой воды: половина их к восточному морю14:8 То есть к Мертвому морю., а половина – к западному14:8 То есть к Средиземному морю.; так будет и летом, и зимой.

9Господь будет Царем над всей землей. В тот день Господь будет един, и имя Его – едино.

10Вся эта земля, от Гевы до Риммона, что к югу от Иерусалима, станет равниной. Иерусалим будет вознесен и останется на своем месте, от ворот Вениамина до Первых ворот, до Угловых ворот, и от башни Хананела до царских виноградных давилен. 11Он будет населен; никогда впредь его не разрушат. Иерусалим будет жить в безопасности.

12А вот бедствие, которое Господь нашлет на все народы, что воевали с Иерусалимом: их плоть сгниет, когда они будут еще стоять на ногах, глаза их сгниют в глазницах, а языки – во рту. 13В тот день их охватит великий ужас от Господа. Все они схватят друг друга за руки и набросятся друг на друга. 14Но и сам Иуда будет сражаться в Иерусалиме. Будет собрано богатство окрестных народов – золото, серебро и одежды в огромном количестве. 15То же бедствие поразит коней и мулов, верблюдов и ослов и весь скот в их лагерях.

16Кто уцелеет из всех народов, воевавших с Иерусалимом, тот будет из года в год приходить, чтобы поклоняться Царю, Господу Сил, и отмечать праздник Шалашей14:16 Праздник Шалашей – иудейский праздник в память о попечении Бога во время скитаний в пустыне (см. Лев. 23:33-43; Чис. 29:12-39; Втор. 16:13-17).. 17Если какой-нибудь народ земли не пойдет в Иерусалим поклониться Царю, Господу Сил, то у него не будет дождя. 18Если египтяне не отправятся в путь и не явятся, то их постигнет бедствие, которым Господь поразит народы, что не придут отмечать праздник Шалашей. 19Так будет наказан Египет и все народы, которые не пойдут отмечать праздник Шалашей.

20В тот день на бубенцах конской сбруи будет написано: «Святыня Господня». Кухонные горшки в доме Господнем будут священными, как чаши перед жертвенником. 21Любая утварь в Иерусалиме и Иудее будет святыней Господу Сил, и все, кто придет принести жертву, будут брать и готовить в ней. В тот день в доме Господа Сил больше не будет ни одного хананея14:21 Здесь наблюдается игра слов. Слово, стоящее в оригинале, одновременно может означать и хананея, и торговца..