Zekaria 13 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 13:1-9

Kutakaswa Dhambi

113:1 Yer 17:13; Law 16:30; Za 51:2; Ebr 9:14; Isa 1:16-17; Yn 1:29; 1Kor 6:11; 1Pet 1:19; 1Yn 1:7“Katika siku hiyo, chemchemi itafunguliwa kwa nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu, kuwatakasa dhambi na unajisi.

213:2 Yer 43:12; 23:14-15; Eze 6:6; 36:25; Hos 2:17; Mik 5:13; 1Fal 22:22; Kut 23:13; 2Pet 2:1“Katika siku hiyo, nitayakatilia mbali majina ya sanamu kutoka nchi, nayo hayatakumbukwa tena,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Nitaondoa manabii wao pamoja na roho ya uchafu katika nchi. 313:3 Yer 28:16; 23:34; Kum 13:6-11; 18:20; Neh 6:14; Eze 14:9Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.

413:4 Yer 6:15; Mt 3:5; 1Fal 18:7; Isa 20:2; Eze 12:24; Mik 3:6-7“Katika siku hiyo, kila nabii ataaibika kwa maono ya unabii wake. Hatavaa vazi la kinabii la nywele ili apate kudanganya watu. 513:5 Amo 7:14Atasema, ‘Mimi sio nabii. Mimi ni mkulima; ardhi imekuwa kazi yangu tangu ujana wangu.’ 6Ikiwa mtu atamuuliza, ‘Majeraha haya yaliyo mwilini mwako ni ya nini?’ Atajibu, ‘Ni majeraha niliyoyapata katika nyumba ya rafiki zangu.’

Mchungaji Apigwa, Nao Kondoo Watawanyika

713:7 Isa 34:5; 40:11; 53:4; Yer 47:6; Eze 37:24; 2Sam 17:2; Mk 4:27; Ebr 13:20; Yn 10:20; 1:29; Mk 14:27“Amka, ee upanga, dhidi ya mchungaji wangu,

dhidi ya mtu aliye karibu nami!”

asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

“Mpige mchungaji,

nao kondoo watatawanyika,

nami nitageuza mkono wangu

dhidi ya walio wadogo,

813:8 Eze 5:2-4, 12; Zek 14:2; Rum 11:5katika nchi yote,” asema Bwana,

“theluthi mbili watapigwa na kuangamia;

hata hivyo theluthi moja watabaki ndani yake.

913:9 Isa 4:4; 33:14; 30:16; 44:5; Mal 3:2; Za 12:6; 50:15; 86:7; Dan 11:35; 1Pet 1:6-7; Ay 6:29; Yer 6:27; 29:12; 30:22; Law 26:16; Eze 20:38; Isa 48:10; Za 66:10Hii theluthi moja nitaileta katika moto;

nitawasafisha kama fedha isafishwavyo

na kuwajaribu kama dhahabu.

Wataliitia Jina langu

nami nitawajibu;

nitasema, ‘Hawa ni watu wangu,’

nao watasema, ‘Bwana ni Mungu wetu.’ ”

Hoffnung für Alle

Sacharja 13:1-9

Der Herr beendet Götzendienst und falsche Prophetie

1Der Herr sagt: »An jenem Tag wird in Jerusalem eine Quelle entspringen. Ihr Wasser wird alle Sünde und Unreinheit von den Nachkommen Davids und den Einwohnern Jerusalems abwaschen.

2Ich, der Herr, der allmächtige Gott, vernichte dann alle Götzen im Land, ihre Namen sollen in Vergessenheit geraten.

Auch die falschen Propheten, die – von einem fremden Geist besessen – in meinem Namen Lügen verbreiten, dulde ich in diesem Land nicht mehr! 3Und wenn sich doch noch jemand als Prophet ausgibt, werden sein Vater und seine Mutter zu ihm sagen: ›Du hast dein Leben verwirkt! Deine Prophetie war nichts als Lüge, und dabei hast du dich auch noch auf den Herrn berufen.‹ Ja, seine eigenen Eltern werden ihn töten, weil er sich als Prophet ausgegeben hat. 4An jenem Tag werden die falschen Propheten sich hüten, den Menschen von ihren Visionen zu erzählen. Keiner von ihnen zieht mehr einen Mantel aus Fell an, denn sie wollen nicht mehr als Propheten gelten. 5Wird einer zur Rede gestellt, dann beteuert er: ›Ich bin kein Prophet, ich bin ein Bauer. Von Jugend an habe ich nichts anderes gemacht.13,5 Oder: Schon in meiner Jugend wurde ich von einem anderen Mann als Sklave gekauft.6Wenn jemand ihn fragt: ›Woher kommen dann die Striemen auf deiner Brust?‹,13,6 Bei heidnischen Propheten war es üblich, sich selbst zu verletzen. Vgl. 1. Könige 18,28. wird er antworten: ›Ich habe mich mit meinen Freunden geprügelt.‹«

Feuerprobe für die Überlebenden

7So spricht der Herr, der allmächtige Gott: »Schwert, schlag zu! Töte den Hirten, den Mann, der mir nahesteht, damit die Schafe auseinanderlaufen! Ja, das Schwert soll selbst die Kleinen und Schwachen aus meiner Herde treffen. 8Ich, der HERR, sage euch: Im ganzen Land werden zwei Drittel der Menschen umkommen, nur ein Drittel bleibt am Leben. 9Doch auch dieser Rest muss die Feuerprobe bestehen. Ich werde die Menschen läutern wie Silber im Ofen, wie Gold im Feuer. Sie werden zu mir um Hilfe rufen, und ich werde sie erhören! Dann sage ich zu ihnen: ›Ihr seid mein Volk!‹, und sie antworten: ›Du, Herr, bist unser Gott!‹«