Zaburi 99 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 99:1-9

Zaburi 99

Mungu Mfalme Mkuu

199:1 1Nya 16:30, 31; Za 97:1; 2Sam 6:2; Kut 15:14; 25:22Bwana anatawala,

mataifa na yatetemeke;

anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi,

dunia na itikisike.

299:2 Za 48:1; 148:13; 2:6; 46:10; 97:9; 113:4; Kut 15:1Bwana ni mkuu katika Sayuni;

ametukuzwa juu ya mataifa yote.

399:3 Za 103:1; 33:21; 97:12; 76:1; 30:4; 106:47; 111:9; 145:21; 148:5; Kut 15:11Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa:

yeye ni mtakatifu!

499:4 1Fal 10:9; Za 98:9; Mwa 18:19, 25; Ufu 15:3; Ay 36:5; Kum 32:3, 4; Isa 11:3-5; Yer 23:5; Za 2:6Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki,

wewe umethibitisha adili;

katika Yakobo umefanya

yaliyo haki na sawa.

599:5 Isa 66:1; Kut 15:2; 1Nya 28:2; Za 132:7Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,

na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake;

yeye ni mtakatifu.

699:6 Kut 24:6; 28:1; 1Sam 7:5; Za 4:3; 91:15Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,

Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake;

walimwita Bwana,

naye aliwajibu.

799:7 Kut 13:21; 19:9; Hes 11:25; 12:5Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu;

walizishika sheria zake na amri alizowapa.

899:8 Hes 14:20; Sef 3:7; Kum 9:20; Kut 22:27; Law 26:18Ee Bwana, wetu,

ndiwe uliyewajibu,

kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe,

ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.

9Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,

mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu,

kwa maana Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.

Bibelen på hverdagsdansk

Salmernes Bog 99:1-9

Herren er en god og retfærdig konge

1Herren er konge, og alle folkeslag bæver.

Han sidder på en trone af keruber,

og hele jorden skælver.

2Han sidder som konge på Zions bjerg,

han hersker over alle jordens folkeslag.

3De skal ære hans store og herlige navn.

Hans navn er helligt.

4Du store konge, som elsker retfærdighed,

du har sørget for lighed og retfærdighed i Israel.

5Lovpris Herren, vor hellige Gud,

bøj jer ned for hans fødder,

for han er hellig.

6Moses og Aron var hans præster,

Samuel en profet, der bad til Gud.

De påkaldte Herren, og han svarede dem.

7Han talte til dem fra skysøjlen,

og de fulgte den vejledning, han gav dem,

adlød hans bud og befalinger.

8Herre, vor Gud, du svarede dem og var villig til at tilgive,

selv om du måtte straffe dem for deres synder.

9Lovpris Herren, vor Gud,

tilbed ham på hans hellige bjerg.

Hellig er Herren.