Zaburi 98
Mungu Mtawala Wa Dunia
Zaburi.
198:1 Za 30:4; 96:1, 3; 44:3; Kut 15:1, 6; Lk 1:51; Yos 4:24; Ay 40:9; Isa 52:10; 53:1; 63:5; 12:5; 51:9; 59:16Mwimbieni Bwana wimbo mpya,
kwa maana ametenda mambo ya ajabu;
kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu
umemfanyia wokovu.
298:2 Za 67:2; Lk 2:30; 3:6; Rum 3:25; Isa 52:10; 62:2Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane
na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.
398:3 1Nya 16:15; Mwa 49:10; Za 48:10; 50:23; Kum 4:31; Mik 7:20; Isa 49:6; Lk 1:54; 3:6; Mdo 13:47Ameukumbuka upendo wake
na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli;
miisho yote ya dunia imeuona
wokovu wa Mungu wetu.
498:4 Za 20:5; Isa 12:6; 44:23; 52:9; 54:1; 55:12Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote,
ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;
598:5 Za 33:2; 92:3; 147:7; Isa 51:3mwimbieni Bwana kwa kinubi,
kwa kinubi na sauti za kuimba,
698:6 Hes 10:2; 10:10; 2Sam 6:15; Kut 19:13; Isa 12:6; Za 2:6; 47:7; 20:5; 100:1; 1Nya 15:28; 2Nya 29:27kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume:
shangilieni kwa furaha mbele za Bwana, aliye Mfalme.
798:7 Za 93:3; 24:1Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake,
dunia na wote wakaao ndani yake.
898:8 2Fal 11:12; Za 148:9; 44:23Mito na ipige makofi,
milima na iimbe pamoja kwa furaha,
998:9 Za 96:10vyote na viimbe mbele za Bwana,
kwa maana yuaja kuhukumu dunia.
Atahukumu dunia kwa haki
na mataifa kwa haki.
98
1主のめざましい働きをたたえる、
新しい歌をささげましょう。
その御力ときよさが、
すばらしい勝利を主にもたらしたからです。
2-3神はこの勝利を全世界に知らしめました。
イスラエルを恵むという約束の実現によって。
全世界は、神がご自分の民を救われる様子を
目の当たりにしました。
4だからこそ、大地は大声を上げてほめたたえ、
感きわまって歌うのです。
5竪琴の音色に合わせて、賛美の歌を歌いましょう。
6角笛とラッパの音を高らかに響かせなさい。
主である王の前で、
喜びに満ちたシンフォニーをかなでなさい。
7広大な海と、その中のすべてのものは、
鳴りとどろいて賛美しなさい。
地と、そこに住むものはみな、
「神様に栄光があるように」と叫びなさい。
8-9海の波は楽しげに手を打ち鳴らし、
山々は、喜びの歌を合唱しなさい。
正義を貫いて世界をさばくために、
主はおいでになるのです。