Zaburi 97 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 97:1-12

Zaburi 97

Mungu Mtawala Mkuu

197:1 Kut 15:18; Za 93:1; 96:10; 99:1; 96:11; Isa 24:23; 52:7Bwana anatawala, nchi na ifurahi,

visiwa vyote vishangilie.

297:2 Ay 22:14; Kut 19:9; Za 89:14Mawingu na giza nene vinamzunguka,

haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.

397:3 Dan 7:10; Hab 3:5; Isa 9:19; Yoe 1:19; 2:3; Hab 3:5; 2Sam 22:9Moto hutangulia mbele zake

na huteketeza adui zake pande zote.

497:4 Ay 36:30; 2Sam 22:8; Za 18:7; 104:32; Ufu 6:12Umeme wake wa radi humulika dunia,

nchi huona na kutetemeka.

597:5 Za 46:2, 6; 22:14; Yos 3:11Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana,

mbele za Bwana wa dunia yote.

697:6 Za 50:6; 98:2; 19:1Mbingu zinatangaza haki yake,

na mataifa yote huona utukufu wake.

797:7 Kut 12:12; 20:4; Isa 37:18, 19; 42:17; Law 26:1; Kum 5:8; Yer 10:14; Ebr 1:6; Za 16:4Wote waabuduo sanamu waaibishwa,

wale wajisifiao sanamu:

mwabuduni yeye, enyi miungu yote!

897:8 Za 9:2; 48:11Sayuni husikia na kushangilia,

vijiji vya Yuda vinafurahi

kwa sababu ya hukumu zako, Ee Bwana.

997:9 Ay 34:29; Efe 1:21; Za 7:8; 47:9Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote;

umetukuka sana juu ya miungu yote.

1097:10 Ay 28:28; Mit 2:8; Za 145:20; 31:23; 101:3; 37:28, 40; 34:7; Yer 15:21; 20:13; Dan 3:28; 6:16; 1Sam 2:9; Rum 12:9; 7:15; Amo 5:15Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu,

kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake

na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.

1197:11 Ay 22:28; Za 11:5; 7:10Nuru huangaza wenye haki

na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.

1297:12 Ay 22:19; Flp 4:4; Kut 3:15; Isa 41:16; Za 99:5; 104:34Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki,

lisifuni jina lake takatifu.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 97:1-12

第 97 篇

上帝是至高的统治者

1耶和华掌权,大地要欢欣!

众海岛要快乐!

2密云和黑暗环绕在祂周围,

公义和公平是祂宝座的根基。

3烈火做祂的先锋,

烧灭祂周围的仇敌。

4祂的闪电照亮世界,

大地因此而战抖。

5在天下之主耶和华面前,

群山如蜡熔化。

6诸天述说祂的公义,

万民瞻仰祂的荣耀。

7愿一切祭拜神像,

以神像夸口的人都蒙羞。

所有的神明啊,

你们都要向耶和华下拜。

8耶和华啊,听见你的审判,

锡安就欢喜,

犹大的城邑就快乐。

9因为你耶和华是普天下的至高者,

凌驾于万神之上。

10爱耶和华的人都要憎恨罪恶,

因为祂保护敬虔人的生命,

从恶人手中拯救他们。

11光照亮义人,

正直人心中有喜乐。

12你们义人要以耶和华为乐,

称谢祂的圣名。