Zaburi 97
Mungu Mtawala Mkuu
197:1 Kut 15:18; Za 93:1; 96:10; 99:1; 96:11; Isa 24:23; 52:7Bwana anatawala, nchi na ifurahi,
visiwa vyote vishangilie.
297:2 Ay 22:14; Kut 19:9; Za 89:14Mawingu na giza nene vinamzunguka,
haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.
397:3 Dan 7:10; Hab 3:5; Isa 9:19; Yoe 1:19; 2:3; Hab 3:5; 2Sam 22:9Moto hutangulia mbele zake
na huteketeza adui zake pande zote.
497:4 Ay 36:30; 2Sam 22:8; Za 18:7; 104:32; Ufu 6:12Umeme wake wa radi humulika dunia,
nchi huona na kutetemeka.
597:5 Za 46:2, 6; 22:14; Yos 3:11Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana,
mbele za Bwana wa dunia yote.
697:6 Za 50:6; 98:2; 19:1Mbingu zinatangaza haki yake,
na mataifa yote huona utukufu wake.
797:7 Kut 12:12; 20:4; Isa 37:18, 19; 42:17; Law 26:1; Kum 5:8; Yer 10:14; Ebr 1:6; Za 16:4Wote waabuduo sanamu waaibishwa,
wale wajisifiao sanamu:
mwabuduni yeye, enyi miungu yote!
897:8 Za 9:2; 48:11Sayuni husikia na kushangilia,
vijiji vya Yuda vinafurahi
kwa sababu ya hukumu zako, Ee Bwana.
997:9 Ay 34:29; Efe 1:21; Za 7:8; 47:9Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote;
umetukuka sana juu ya miungu yote.
1097:10 Ay 28:28; Mit 2:8; Za 145:20; 31:23; 101:3; 37:28, 40; 34:7; Yer 15:21; 20:13; Dan 3:28; 6:16; 1Sam 2:9; Rum 12:9; 7:15; Amo 5:15Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu,
kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake
na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.
1197:11 Ay 22:28; Za 11:5; 7:10Nuru huangaza wenye haki
na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.
1297:12 Ay 22:19; Flp 4:4; Kut 3:15; Isa 41:16; Za 99:5; 104:34Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki,
lisifuni jina lake takatifu.
第 97 篇
上帝是至高的统治者
1耶和华掌权,大地要欢欣!
众海岛要快乐!
2密云和黑暗环绕在祂周围,
公义和公平是祂宝座的根基。
3烈火做祂的先锋,
烧灭祂周围的仇敌。
4祂的闪电照亮世界,
大地因此而战抖。
5在天下之主耶和华面前,
群山如蜡熔化。
6诸天述说祂的公义,
万民瞻仰祂的荣耀。
7愿一切祭拜神像,
以神像夸口的人都蒙羞。
所有的神明啊,
你们都要向耶和华下拜。
8耶和华啊,听见你的审判,
锡安就欢喜,
犹大的城邑就快乐。
9因为你耶和华是普天下的至高者,
凌驾于万神之上。
10爱耶和华的人都要憎恨罪恶,
因为祂保护敬虔人的生命,
从恶人手中拯救他们。
11光照亮义人,
正直人心中有喜乐。
12你们义人要以耶和华为乐,
称谢祂的圣名。