Zaburi 96 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 96:1-13

Zaburi 96

Mungu Mfalme Mkuu

(1 Nyakati 16:23-33)

196:1 Za 30:4; 33:3; 40:4; 98:1; 144:9; Isa 42:10; Ufu 5:9Mwimbieni Bwana wimbo mpya;

mwimbieni Bwana dunia yote.

296:2 Isa 42:10; Ufu 5:9; Za 68:4; 27:1; 71:15Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;

tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.

396:3 Za 8:1; 71:17; 15:3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

496:4 Za 48:1; 89:7; 95:3; Kum 28:58; 1Nya 16:25Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.

596:5 Mwa 1:1; Isa 42:5; 41:24; Law 19:4; Yer 10:11; 2Nya 2:12; Hab 2:18-20; Mdo 19:26; 1Kor 8:4, 5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

lakini Bwana aliziumba mbingu.

696:6 Za 21:5; 29:1; 89:17Fahari na enzi viko mbele yake;

nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.

796:7 Za 29:1; 22:27Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,

mpeni Bwana utukufu na nguvu.

896:8 Za 45:12; 51:19; 72:10; 65:4; 84:10; 92:13; 100:4Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;

leteni sadaka na mje katika nyua zake.

996:9 Kut 15:14; 23:25; Yon 1:9; Za 93:5; 114:7; 33:8Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;

dunia yote na itetemeke mbele zake.

1096:10 Za 97:1; 24:2; 78:69; 119:90; 93:1; 58:11; 67:4; 98:9Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”

Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;

atawahukumu watu kwa uadilifu.

1196:11 Ufu 12:12; Za 97:1; Isa 49:13Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;

1296:12 Isa 44:23; 55:12; Eze 17:24; Za 65:13mashamba na yashangilie,

pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;

1396:13 Ufu 19:11; Za 7:11; Mdo 17:31; Za 86:11itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,

anakuja kuihukumu dunia.

Ataihukumu dunia kwa haki,

na mataifa katika kweli yake.

Swedish Contemporary Bible

Psaltaren 96:1-13

Psalm 96

Herren är kung

(1 Krön 16:23-33)

1Sjung en ny sång till Herrens ära,

sjung till Herrens ära, hela jorden!

2Sjung till Herrens ära!

Välsigna hans namn!

Ropa ut hans räddning varje dag!

3Förkunna hans härlighet bland folken,

berätta för alla människor om hans under!

4För Herren är stor och högt prisad,

värd att frukta, mer än alla gudar.

5Folkens alla gudar är avgudar,

men Herren har gjort himlen.

6Majestät och prakt omger honom,

kraft och skönhet finns i hans helgedom.

7Ge Herren ära, alla folkslag,

erkänn hans majestät och kraft!

8Ge Herrens höga namn ära,

kom med era offer till hans förgårdar!

9Tillbe Herren i helig skrud,

darra inför honom, hela jorden!

10Säg bland folken: ”Herren regerar!”

Världen står fast, den kan inte rubbas.

Han dömer folken med rättvisa.

11Låt himlen vara glad och jorden jubla,

låt havet brusa och allt som finns i det!

12Låt fälten glädjas och allt som växer på dem!

Skogens alla träd ska susa av lovsånger

13inför Herren, ty han kommer för att döma jorden.

Han ska döma världen i rättfärdighet

och folken med trofasthet.