Zaburi 96 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 96:1-13

Zaburi 96

Mungu Mfalme Mkuu

(1 Nyakati 16:23-33)

196:1 Za 30:4; 33:3; 40:4; 98:1; 144:9; Isa 42:10; Ufu 5:9Mwimbieni Bwana wimbo mpya;

mwimbieni Bwana dunia yote.

296:2 Isa 42:10; Ufu 5:9; Za 68:4; 27:1; 71:15Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;

tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.

396:3 Za 8:1; 71:17; 15:3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

496:4 Za 48:1; 89:7; 95:3; Kum 28:58; 1Nya 16:25Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.

596:5 Mwa 1:1; Isa 42:5; 41:24; Law 19:4; Yer 10:11; 2Nya 2:12; Hab 2:18-20; Mdo 19:26; 1Kor 8:4, 5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

lakini Bwana aliziumba mbingu.

696:6 Za 21:5; 29:1; 89:17Fahari na enzi viko mbele yake;

nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.

796:7 Za 29:1; 22:27Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,

mpeni Bwana utukufu na nguvu.

896:8 Za 45:12; 51:19; 72:10; 65:4; 84:10; 92:13; 100:4Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;

leteni sadaka na mje katika nyua zake.

996:9 Kut 15:14; 23:25; Yon 1:9; Za 93:5; 114:7; 33:8Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;

dunia yote na itetemeke mbele zake.

1096:10 Za 97:1; 24:2; 78:69; 119:90; 93:1; 58:11; 67:4; 98:9Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”

Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;

atawahukumu watu kwa uadilifu.

1196:11 Ufu 12:12; Za 97:1; Isa 49:13Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;

1296:12 Isa 44:23; 55:12; Eze 17:24; Za 65:13mashamba na yashangilie,

pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;

1396:13 Ufu 19:11; Za 7:11; Mdo 17:31; Za 86:11itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,

anakuja kuihukumu dunia.

Ataihukumu dunia kwa haki,

na mataifa katika kweli yake.

Het Boek

Psalmen 96:1-13

1Zing een nieuw lied voor de Here,

laat de hele aarde maar meezingen.

2Zing een loflied voor de Here

tot eer van zijn naam,

vertel ieder over zijn uitredding, dag in, dag uit.

3Vertel alle volken hoe groot Hij is

en welke machtige wonderen Hij doet.

4De Here is immers groot en machtig?

Hij is het waard van harte te worden geprezen,

roemrucht is zijn naam.

5De goden van alle andere volken zijn maar afgoden,

de Here heeft de hemel gemaakt.

6Zijn grootheid en macht gaan voor Hem uit

en zijn kracht en eer omringen Hem.

7Laten alle mensen, van elk volk en elke generatie,

de Here eer geven.

Laten zij allemaal zijn macht en kracht prijzen.

8Prijs de grootheid van de naam van de Here.

Kom naar zijn huis en breng Hem uw offers.

9Doe uw mooiste kleren aan en buig u voor de Here neer.

Laat de hele aarde beven als Hij komt.

10Zeg tegen de volken: de Here is de grote Koning.

De wereld is stevig gefundeerd.

God zal een rechtvaardig oordeel over de volken uitspreken.

11Er is blijdschap in de hemel en de aarde jubelt het uit.

De zee bruist van vreugde, samen met alles wat erin is.

12Ook de velden en alles wat daarop leeft, verheugen zich.

De bomen in de bossen jubelen.

13Dat is voor de Here, want Hij komt

om zijn oordeel over de aarde uit te spreken.

Hij zal in oprechtheid over de wereld rechtspreken

en zijn trouw aan alle volken bekendmaken.