KITABU CHA NNE
(Zaburi 90–106)
Zaburi 90
Umilele Wa Mungu Na Udhaifu Wa Mwanadamu
Maombi ya Mose, mtu wa Mungu.
190:1 Kum 33:27; Efe 2:22; Ufu 21:3Bwana, wewe umekuwa makao yetu
katika vizazi vyote.
290:2 Ay 38:4, 5; 10:5; 15:7; Mwa 21:33; Isa 9:6; 57:15; Za 102:24-27; Mit 8:23-26Kabla ya kuzaliwa milima
au hujaumba dunia na ulimwengu,
wewe ni Mungu tangu milele hata milele.
390:3 Mwa 2:7; 3:9; Ay 7:21; 34:15; 1Kor 15:47; Mhu 12:7Huwarudisha watu mavumbini,
ukisema, “Rudini mavumbini, enyi wanadamu.”
490:4 Ebr 13:8; 2Pet 3:8; Ay 10:5Kwa maana kwako miaka elfu
ni kama siku moja iliyokwisha pita,
au kama kesha la usiku.
590:5 Mwa 19:15; Isa 40:6Unawatowesha wanadamu katika usingizi wa kifo,
nao ni kama majani machanga ya asubuhi:
690:6 Isa 40:6-8; Ay 14:2; Za 92:7ingawa asubuhi yanachipua,
ifikapo jioni huwa yamenyauka na kukauka.
7Tumeangamizwa kwa hasira yako
na tumetishwa kwa ghadhabu yako.
890:8 2Kor 4:2; Efe 5:12; Ebr 4:13; 4:12, 13; Za 19:12; 50:21; Yer 16:17; Mit 5:21; Mhu 12:14; Rum 2:16; 1Kor 4:5Umeyaweka maovu yetu mbele yako,
dhambi zetu za siri katika nuru ya uwepo wako.
990:9 Za 78:33Tumeishi siku zetu zote chini ya ghadhabu yako,
tunamaliza miaka yetu kwa kuomboleza.
1090:10 Isa 23:15, 17; 2Sam 19:35; Ay 5:7; 20:8; 34:15; Yer 25:11Siku zetu za kuishi ni miaka sabini,
au miaka themanini ikiwa tuna nguvu,
lakini yote ni ya shida na taabu,
nazo zapita haraka, nasi twatoweka.
1190:11 Za 7:11; 76:7Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako?
Kwa maana ghadhabu yako ni kubwa
kama hofu tunayopaswa kuwa nayo kwako.
1290:12 Za 39:4; 139:16; Mit 16:9; 20:24; Kum 32:29Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri,
ili tujipatie moyo wa hekima.
1390:13 Za 6:3; Kum 32:36Ee Bwana, uwe na huruma! Utakawia hata lini?
Wahurumie watumishi wako.
1490:14 Za 103:5; 107:9; 145:16, 19; 31:7; 77:8; 143:8Tushibishe asubuhi kwa upendo wako usiokoma,
ili tuweze kuimba kwa shangwe na kufurahi siku zetu zote.
15Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu,
kulingana na miaka tuliyotaabika.
1690:16 Za 44:1; Hab 3:2Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako,
utukufu wako kwa watoto wao.
1790:17 Isa 26:12; 2The 2:16, 17Wema wa Bwana Mungu wetu uwe juu yetu;
uzithibitishe kazi za mikono yetu:
naam, uzithibitishe kazi za mikono yetu.
卷四:詩篇90—106
第 90 篇
上帝與世人
上帝的僕人摩西的祈禱。
1主啊,
你是我們世世代代的居所。
2群山尚未誕生,
大地和世界還未形成,
從亙古到永遠,你是上帝。
3你叫人歸回塵土,
說:「世人啊,歸回塵土吧。」
4在你眼中,
千年如一日,又如夜裡的一更。
5你像急流一般把世人沖走,
叫他們如夢消逝。
他們像清晨的嫩草,
6清晨還生機盎然,
傍晚就凋謝枯萎。
7你的怒氣使我們滅亡,
你的憤怒使我們戰抖。
8你知道我們的罪惡,
對我們隱秘的罪瞭若指掌。
9我們活在你的烈怒之下,
一生就像一聲歎息飛逝而去。
10我們一生七十歲,
強壯的可活八十歲,
但人生最美好的時光也充滿勞苦和愁煩,
生命轉瞬即逝,
我們便如飛而去。
11誰明白你憤怒的威力?
有誰因為明白你的烈怒而對你心存敬畏呢?
12求你教導我們明白人生有限,
使我們做有智慧的人。
13耶和華啊,我還要苦候多久呢?
求你憐憫你的僕人。
14求你在清晨以慈愛來滿足我們,
使我們一生歡喜歌唱。
15你使我們先前經歷了多少苦難和不幸的歲月,
求你也賜給我們多少歡樂的歲月。
16求你讓僕人們看見你的作為,
讓我們的後代看見你的威榮。
17願主——我們的上帝恩待我們,
使我們所做的亨通,
使我們所做的亨通。