Zaburi 89
Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa
Utenzi wa Ethani Mwezrahi.
189:1 Za 59:16; 36:5; 40:10Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele;
kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako
ujulikane kwa vizazi vyote.
289:2 Za 36:5Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele
na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.
389:3 Eze 34:23; Hes 3:5; Ebr 7:21; Mdo 2:30Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu,
nimemwapia mtumishi wangu Daudi,
489:4 2Sam 7:12-16; Lk 1:32, 33; Mt 1:1; Isa 9:6, 7; Rum 1:3; 1Fal 9:5; 8:16; Eze 37:24, 25; Za 132:11, 12‘Nitaimarisha uzao wako milele
na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’ ”
589:5 Za 19:1; 1:5Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako,
uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.
689:6 Mwa 1:26; Kut 9:14; Za 18:31; 113:5Kwa kuwa ni nani katika mbingu
anayeweza kulinganishwa na Bwana?
Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni
aliye kama Bwana?
789:7 Ay 5:1; Za 11:1; 47:2Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana,
anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.
889:8 Isa 6:3; Za 71:19Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,
ni nani aliye kama wewe?
Ee Bwana, wewe ni mwenye nguvu,
na uaminifu wako unakuzunguka.
989:9 Za 65:7; Ay 38:11; Nah 1:4; Mt 8:26Wewe unatawala bahari yenye msukosuko;
wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.
1089:10 Ay 9:13; Za 59:11; 68:1; 92:9; Isa 30:9Wewe ulimponda Rahabu89:10 Rahabu hapa ina maana jina la Misri kwa fumbo, yaani mwenye majivuno (lakini sio Rahabu wa Yos 2).
kama mmojawapo wa waliochinjwa;
kwa mkono wako wenye nguvu,
uliwatawanya adui zako.
1189:11 Kum 10:14; Za 24:1; 115:6; 1Nya 29:11; Mwa 1:1Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako,
uliuwekea ulimwengu msingi
pamoja na vyote vilivyomo.
1289:12 Yos 19:22; Kum 3:8; 4:48; Za 98:8; Yos 12:1; Amu 4:6Uliumba kaskazini na kusini;
Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.
1389:13 Yos 4:24Mkono wako umejaa uwezo;
mkono wako una nguvu,
mkono wako wa kuume umetukuzwa.
1489:14 Za 97:2; 85:10, 11Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi;
upendo na uaminifu vinakutangulia.
1589:15 Za 1:1; 44:3; Hes 10:10Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe,
wanaotembea katika mwanga
wa uwepo wako, Ee Bwana.
1689:16 Za 30:4; 105:3Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa,
wanafurahi katika haki yako.
1789:17 Za 18:1, 24; 75:10; 92:10; 112:9; 148:14Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao,
kwa wema wako unatukuza pembe89:17 Pembe inawakilisha nguvu. yetu.
1889:18 Hos 13:10; Za 18:2; 47:9; Isa 16:5; 33:17, 22Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana,
na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.
19Ulizungumza wakati fulani katika maono,
kwa watu wako waaminifu, ukasema:
“Nimeweka nguvu kwa shujaa,
nimemwinua kijana miongoni mwa watu.
2089:20 Mdo 13:22; Za 78:70; Kut 29:7; 1Fal 1:39; 1Sam 2:35; 2Sam 22:51Nimemwona Daudi, mtumishi wangu,
na nimemtia mafuta yangu matakatifu.
2189:21 Za 89:13; 18:35Kitanga changu kitamtegemeza,
hakika mkono wangu utamtia nguvu.
2289:22 Amu 3:15; 2Sam 7:10Hakuna adui atakayemtoza ushuru,
hakuna mtu mwovu atakayemwonea.
2389:23 Za 18:40; 2Sam 7:9Nitawaponda adui zake mbele zake
na kuwaangamiza watesi wake.
2489:24 2Sam 7:15; Za 61:7Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye,
kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.
2589:25 Za 72:8Nitauweka mkono wake juu ya bahari,
mkono wake wa kuume juu ya mito.
2689:26 Za 62:2; Yer 3:4; 2Sam 7:14; 22:47; 1Nya 22:10; Yn 5:17; Ebr 1:5Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu,
Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’
2789:27 Kol 1:18; Hes 24:7; Za 2:6, 7; Ufu 1:5; 19:16Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza,
aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.
2889:28 Za 89:33-34; Isa 55:3Nitadumisha upendo wangu kwake milele,
na agano langu naye litakuwa imara.
2989:29 Isa 9:7; Yer 33:17; Dan 7:14; Kum 11:21; Za 89:4, 36Nitaudumisha uzao wake milele,
kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.
3089:30 2Sam 7:14; Yer 9:13“Kama wanae wataacha amri yangu
na wasifuate sheria zangu,
31kama wakihalifu maagizo yangu
na kutoshika amri zangu,
3289:32 2Sam 7:14nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo,
uovu wao kwa kuwapiga,
3389:33 2Sam 7:15lakini sitauondoa upendo wangu kwake,
wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.
3489:34 Hes 23:19Mimi sitavunja agano langu
wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.
3589:35 Za 110:4; Ebr 6:13, 17; Amo 4:2; 8:7Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu,
nami sitamdanganya Daudi:
3689:36 Za 89:4; 2Sam 7:18; Lk 1:33; Yn 12:34kwamba uzao wake utaendelea milele,
na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;
3789:37 Yer 31:35; 33:20, 21kitaimarishwa milele kama mwezi,
shahidi mwaminifu angani.”
3889:38 1Nya 28:9; Isa 22:5; Mao 2:2Lakini wewe umemkataa, umemdharau,
umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.
3989:39 Mao 5:16Umelikana agano lako na mtumishi wako,
na umeinajisi taji yake mavumbini.
4089:40 Za 80:12; Isa 22:5; Mao 2:2Umebomoa kuta zake zote,
na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.
4189:41 Amu 2:14; Za 44:13Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake;
amekuwa dharau kwa jirani zake.
4289:42 Za 13:2; 80:6Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake,
umewafanya watesi wake wote washangilie.
4389:43 Za 44:10Umegeuza makali ya upanga wake,
na hukumpa msaada katika vita.
44Umeikomesha fahari yake,
na kukiangusha kiti chake cha enzi.
4589:45 Za 39:5; 44:15; 109:29Umezifupisha siku za ujana wake,
umemfunika kwa vazi la aibu.
4689:46 Za 79:5Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele?
Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?
4789:47 Mwa 47:9; Ay 7:7; Za 39:5; 1Pet 1:24Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka.
Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!
4889:48 Mwa 5:24; Za 22:29; Ebr 11:5Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo,
au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi?89:48 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
4989:49 2Sam 7:12; Isa 55:13Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni,
ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?
5089:50 Za 69:19Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa,
jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,
5189:51 Za 74:10dhihaka ambazo kwazo adui zako
wamenisimanga, Ee Bwana,
ambazo kwazo wamesimanga
kila hatua ya mpakwa mafuta wako.
5289:52 Za 41:13; 72:19Msifuni Bwana milele!
Amen na Amen.
Salmo 89
Poema do ezraíta Etã.
1Cantarei para sempre o amor do Senhor;
com minha boca anunciarei a tua fidelidade
por todas as gerações.
2Sei que firme está o teu amor para sempre,
e que firmaste nos céus a tua fidelidade.
3Tu disseste: “Fiz aliança com o meu escolhido,
jurei ao meu servo Davi:
4‘Estabelecerei a tua linhagem para sempre
e firmarei o teu trono por todas as gerações’ ”. Pausa
5Os céus louvam as tuas maravilhas, Senhor,
e a tua fidelidade na assembleia dos santos.
6Pois quem nos céus poderá comparar-se ao Senhor?
Quem entre os seres celestiais89.6 Ou deuses; ou ainda poderosos assemelha-se ao Senhor?
7Na assembleia dos santos Deus é temível,
mais do que todos os que o rodeiam.
8Ó Senhor, Deus dos Exércitos, quem é semelhante a ti?
És poderoso, Senhor, envolto em tua fidelidade.
9Tu dominas o revolto mar;
quando se agigantam as suas ondas, tu as acalmas.
10Esmagaste e mataste o Monstro dos Mares89.10 Hebraico: Raabe.;
com teu braço forte dispersaste os teus inimigos.
11Os céus são teus, e tua também é a terra;
fundaste o mundo e tudo o que nele existe.
12Tu criaste o Norte e o Sul;
o Tabor e o Hermom cantam de alegria pelo teu nome.
13O teu braço é poderoso;
a tua mão é forte, exaltada é tua mão direita.
14A retidão e a justiça são os alicerces do teu trono;
o amor e a fidelidade vão à tua frente.
15Como é feliz o povo que aprendeu a aclamar-te, Senhor,
e que anda na luz da tua presença!
16Sem cessar exultam no teu nome,
e alegram-se na tua retidão,
17pois tu és a nossa glória e a nossa força89.17 Hebraico: a glória do seu poder.,
e pelo teu favor exaltas a nossa força89.17 Hebraico: chifre; também no versículo 24..
18Sim, Senhor, tu és o nosso escudo89.18 Ou soberano,
ó Santo de Israel, tu és o nosso rei.
19Numa visão falaste um dia,
e aos teus fiéis disseste:
“Cobri de forças um guerreiro,
exaltei um homem escolhido dentre o povo.
20Encontrei o meu servo Davi;
ungi-o com o meu óleo sagrado.
21A minha mão o susterá,
e o meu braço o fará forte.
22Nenhum inimigo o sujeitará a tributos;
nenhum injusto o oprimirá.
23Esmagarei diante dele os seus adversários
e destruirei os seus inimigos.
24A minha fidelidade e o meu amor o acompanharão,
e pelo meu nome aumentará o seu poder.
25A sua mão dominará até o mar;
sua mão direita, até os rios.
26Ele me dirá: ‘Tu és o meu Pai,
o meu Deus, a Rocha que me salva’.
27Também o nomearei meu primogênito,
o mais exaltado dos reis da terra.
28Manterei o meu amor por ele para sempre,
e a minha aliança com ele jamais se quebrará.
29Firmarei a sua linhagem para sempre,
e o seu trono durará enquanto existirem céus.
30“Se os seus filhos abandonarem a minha lei
e não seguirem as minhas ordenanças,
31se violarem os meus decretos
e deixarem de obedecer aos meus mandamentos,
32com a vara castigarei o seu pecado,
e a sua iniquidade com açoites;
33mas não afastarei dele o meu amor;
jamais desistirei da minha fidelidade.
34Não violarei a minha aliança
nem modificarei as promessas dos meus lábios.
35De uma vez para sempre jurei pela minha santidade
e não mentirei a Davi,
36que a sua linhagem permanecerá para sempre,
e o seu trono durará como o sol;
37será estabelecido para sempre como a lua,
a fiel testemunha no céu.” Pausa
38Mas tu o rejeitaste, recusaste-o
e te enfureceste com o teu ungido.
39Revogaste a aliança com o teu servo
e desonraste a sua coroa, lançando-a ao chão.
40Derrubaste todos os seus muros
e reduziste a ruínas as suas fortalezas.
41Todos os que passam o saqueiam;
tornou-se objeto de zombaria para os seus vizinhos.
42Tu exaltaste a mão direita dos seus adversários
e encheste de alegria todos os seus inimigos.
43Tiraste o fio da sua espada
e não o apoiaste na batalha.
44Deste fim ao seu esplendor
e atiraste ao chão o seu trono.
45Encurtaste os dias da sua juventude;
com um manto de vergonha o cobriste. Pausa
46Até quando, Senhor? Para sempre te esconderás?
Até quando a tua ira queimará como fogo?
47Lembra-te de como é passageira a minha vida.
Terás criado em vão todos os homens?
48Que homem pode viver e não ver a morte,
ou livrar-se do poder da sepultura89.48 Hebraico: Sheol. Essa palavra também pode ser traduzida por profundezas, pó ou morte.? Pausa
49Ó Senhor, onde está o teu antigo amor,
que com fidelidade juraste a Davi?
50Lembra-te, Senhor, das afrontas que o teu servo tem89.50 Ou teus servos têm sofrido,
das zombarias que no íntimo tenho que suportar de todos os povos,
51das zombarias dos teus inimigos, Senhor,
com que afrontam a cada passo o teu ungido.
52Bendito seja o Senhor para sempre!
Amém e amém.