Zaburi 89 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 89:1-52

Zaburi 89

Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa

Utenzi wa Ethani Mwezrahi.

189:1 Za 59:16; 36:5; 40:10Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele;

kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako

ujulikane kwa vizazi vyote.

289:2 Za 36:5Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele

na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.

389:3 Eze 34:23; Hes 3:5; Ebr 7:21; Mdo 2:30Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu,

nimemwapia mtumishi wangu Daudi,

489:4 2Sam 7:12-16; Lk 1:32, 33; Mt 1:1; Isa 9:6, 7; Rum 1:3; 1Fal 9:5; 8:16; Eze 37:24, 25; Za 132:11, 12‘Nitaimarisha uzao wako milele

na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’ ”

589:5 Za 19:1; 1:5Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako,

uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.

689:6 Mwa 1:26; Kut 9:14; Za 18:31; 113:5Kwa kuwa ni nani katika mbingu

anayeweza kulinganishwa na Bwana?

Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni

aliye kama Bwana?

789:7 Ay 5:1; Za 11:1; 47:2Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana,

anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.

889:8 Isa 6:3; Za 71:19Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,

ni nani aliye kama wewe?

Ee Bwana, wewe ni mwenye nguvu,

na uaminifu wako unakuzunguka.

989:9 Za 65:7; Ay 38:11; Nah 1:4; Mt 8:26Wewe unatawala bahari yenye msukosuko;

wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.

1089:10 Ay 9:13; Za 59:11; 68:1; 92:9; Isa 30:9Wewe ulimponda Rahabu89:10 Rahabu hapa ina maana jina la Misri kwa fumbo, yaani mwenye majivuno (lakini sio Rahabu wa Yos 2).

kama mmojawapo wa waliochinjwa;

kwa mkono wako wenye nguvu,

uliwatawanya adui zako.

1189:11 Kum 10:14; Za 24:1; 115:6; 1Nya 29:11; Mwa 1:1Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako,

uliuwekea ulimwengu msingi

pamoja na vyote vilivyomo.

1289:12 Yos 19:22; Kum 3:8; 4:48; Za 98:8; Yos 12:1; Amu 4:6Uliumba kaskazini na kusini;

Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.

1389:13 Yos 4:24Mkono wako umejaa uwezo;

mkono wako una nguvu,

mkono wako wa kuume umetukuzwa.

1489:14 Za 97:2; 85:10, 11Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi;

upendo na uaminifu vinakutangulia.

1589:15 Za 1:1; 44:3; Hes 10:10Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe,

wanaotembea katika mwanga

wa uwepo wako, Ee Bwana.

1689:16 Za 30:4; 105:3Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa,

wanafurahi katika haki yako.

1789:17 Za 18:1, 24; 75:10; 92:10; 112:9; 148:14Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao,

kwa wema wako unatukuza pembe89:17 Pembe inawakilisha nguvu. yetu.

1889:18 Hos 13:10; Za 18:2; 47:9; Isa 16:5; 33:17, 22Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana,

na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.

19Ulizungumza wakati fulani katika maono,

kwa watu wako waaminifu, ukasema:

“Nimeweka nguvu kwa shujaa,

nimemwinua kijana miongoni mwa watu.

2089:20 Mdo 13:22; Za 78:70; Kut 29:7; 1Fal 1:39; 1Sam 2:35; 2Sam 22:51Nimemwona Daudi, mtumishi wangu,

na nimemtia mafuta yangu matakatifu.

2189:21 Za 89:13; 18:35Kitanga changu kitamtegemeza,

hakika mkono wangu utamtia nguvu.

2289:22 Amu 3:15; 2Sam 7:10Hakuna adui atakayemtoza ushuru,

hakuna mtu mwovu atakayemwonea.

2389:23 Za 18:40; 2Sam 7:9Nitawaponda adui zake mbele zake

na kuwaangamiza watesi wake.

2489:24 2Sam 7:15; Za 61:7Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye,

kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.

2589:25 Za 72:8Nitauweka mkono wake juu ya bahari,

mkono wake wa kuume juu ya mito.

2689:26 Za 62:2; Yer 3:4; 2Sam 7:14; 22:47; 1Nya 22:10; Yn 5:17; Ebr 1:5Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu,

Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’

2789:27 Kol 1:18; Hes 24:7; Za 2:6, 7; Ufu 1:5; 19:16Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza,

aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.

2889:28 Za 89:33-34; Isa 55:3Nitadumisha upendo wangu kwake milele,

na agano langu naye litakuwa imara.

2989:29 Isa 9:7; Yer 33:17; Dan 7:14; Kum 11:21; Za 89:4, 36Nitaudumisha uzao wake milele,

kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.

3089:30 2Sam 7:14; Yer 9:13“Kama wanae wataacha amri yangu

na wasifuate sheria zangu,

31kama wakihalifu maagizo yangu

na kutoshika amri zangu,

3289:32 2Sam 7:14nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo,

uovu wao kwa kuwapiga,

3389:33 2Sam 7:15lakini sitauondoa upendo wangu kwake,

wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.

3489:34 Hes 23:19Mimi sitavunja agano langu

wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.

3589:35 Za 110:4; Ebr 6:13, 17; Amo 4:2; 8:7Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu,

nami sitamdanganya Daudi:

3689:36 Za 89:4; 2Sam 7:18; Lk 1:33; Yn 12:34kwamba uzao wake utaendelea milele,

na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;

3789:37 Yer 31:35; 33:20, 21kitaimarishwa milele kama mwezi,

shahidi mwaminifu angani.”

3889:38 1Nya 28:9; Isa 22:5; Mao 2:2Lakini wewe umemkataa, umemdharau,

umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.

3989:39 Mao 5:16Umelikana agano lako na mtumishi wako,

na umeinajisi taji yake mavumbini.

4089:40 Za 80:12; Isa 22:5; Mao 2:2Umebomoa kuta zake zote,

na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.

4189:41 Amu 2:14; Za 44:13Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake;

amekuwa dharau kwa jirani zake.

4289:42 Za 13:2; 80:6Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake,

umewafanya watesi wake wote washangilie.

4389:43 Za 44:10Umegeuza makali ya upanga wake,

na hukumpa msaada katika vita.

44Umeikomesha fahari yake,

na kukiangusha kiti chake cha enzi.

4589:45 Za 39:5; 44:15; 109:29Umezifupisha siku za ujana wake,

umemfunika kwa vazi la aibu.

4689:46 Za 79:5Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele?

Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?

4789:47 Mwa 47:9; Ay 7:7; Za 39:5; 1Pet 1:24Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka.

Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!

4889:48 Mwa 5:24; Za 22:29; Ebr 11:5Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo,

au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi?89:48 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.

4989:49 2Sam 7:12; Isa 55:13Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni,

ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?

5089:50 Za 69:19Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa,

jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,

5189:51 Za 74:10dhihaka ambazo kwazo adui zako

wamenisimanga, Ee Bwana,

ambazo kwazo wamesimanga

kila hatua ya mpakwa mafuta wako.

5289:52 Za 41:13; 72:19Msifuni Bwana milele!

Amen na Amen.

Nova Versão Internacional

Salmos 89:1-52

Salmo 89

Poema do ezraíta Etã.

1Cantarei para sempre o amor do Senhor;

com minha boca anunciarei a tua fidelidade

por todas as gerações.

2Sei que firme está o teu amor para sempre,

e que firmaste nos céus a tua fidelidade.

3Tu disseste: “Fiz aliança com o meu escolhido,

jurei ao meu servo Davi:

4‘Estabelecerei a tua linhagem para sempre

e firmarei o teu trono por todas as gerações’ ”. Pausa

5Os céus louvam as tuas maravilhas, Senhor,

e a tua fidelidade na assembleia dos santos.

6Pois quem nos céus poderá comparar-se ao Senhor?

Quem entre os seres celestiais89.6 Ou deuses; ou ainda poderosos assemelha-se ao Senhor?

7Na assembleia dos santos Deus é temível,

mais do que todos os que o rodeiam.

8Ó Senhor, Deus dos Exércitos, quem é semelhante a ti?

És poderoso, Senhor, envolto em tua fidelidade.

9Tu dominas o revolto mar;

quando se agigantam as suas ondas, tu as acalmas.

10Esmagaste e mataste o Monstro dos Mares89.10 Hebraico: Raabe.;

com teu braço forte dispersaste os teus inimigos.

11Os céus são teus, e tua também é a terra;

fundaste o mundo e tudo o que nele existe.

12Tu criaste o Norte e o Sul;

o Tabor e o Hermom cantam de alegria pelo teu nome.

13O teu braço é poderoso;

a tua mão é forte, exaltada é tua mão direita.

14A retidão e a justiça são os alicerces do teu trono;

o amor e a fidelidade vão à tua frente.

15Como é feliz o povo que aprendeu a aclamar-te, Senhor,

e que anda na luz da tua presença!

16Sem cessar exultam no teu nome,

e alegram-se na tua retidão,

17pois tu és a nossa glória e a nossa força89.17 Hebraico: a glória do seu poder.,

e pelo teu favor exaltas a nossa força89.17 Hebraico: chifre; também no versículo 24..

18Sim, Senhor, tu és o nosso escudo89.18 Ou soberano,

ó Santo de Israel, tu és o nosso rei.

19Numa visão falaste um dia,

e aos teus fiéis disseste:

“Cobri de forças um guerreiro,

exaltei um homem escolhido dentre o povo.

20Encontrei o meu servo Davi;

ungi-o com o meu óleo sagrado.

21A minha mão o susterá,

e o meu braço o fará forte.

22Nenhum inimigo o sujeitará a tributos;

nenhum injusto o oprimirá.

23Esmagarei diante dele os seus adversários

e destruirei os seus inimigos.

24A minha fidelidade e o meu amor o acompanharão,

e pelo meu nome aumentará o seu poder.

25A sua mão dominará até o mar;

sua mão direita, até os rios.

26Ele me dirá: ‘Tu és o meu Pai,

o meu Deus, a Rocha que me salva’.

27Também o nomearei meu primogênito,

o mais exaltado dos reis da terra.

28Manterei o meu amor por ele para sempre,

e a minha aliança com ele jamais se quebrará.

29Firmarei a sua linhagem para sempre,

e o seu trono durará enquanto existirem céus.

30“Se os seus filhos abandonarem a minha lei

e não seguirem as minhas ordenanças,

31se violarem os meus decretos

e deixarem de obedecer aos meus mandamentos,

32com a vara castigarei o seu pecado,

e a sua iniquidade com açoites;

33mas não afastarei dele o meu amor;

jamais desistirei da minha fidelidade.

34Não violarei a minha aliança

nem modificarei as promessas dos meus lábios.

35De uma vez para sempre jurei pela minha santidade

e não mentirei a Davi,

36que a sua linhagem permanecerá para sempre,

e o seu trono durará como o sol;

37será estabelecido para sempre como a lua,

a fiel testemunha no céu.” Pausa

38Mas tu o rejeitaste, recusaste-o

e te enfureceste com o teu ungido.

39Revogaste a aliança com o teu servo

e desonraste a sua coroa, lançando-a ao chão.

40Derrubaste todos os seus muros

e reduziste a ruínas as suas fortalezas.

41Todos os que passam o saqueiam;

tornou-se objeto de zombaria para os seus vizinhos.

42Tu exaltaste a mão direita dos seus adversários

e encheste de alegria todos os seus inimigos.

43Tiraste o fio da sua espada

e não o apoiaste na batalha.

44Deste fim ao seu esplendor

e atiraste ao chão o seu trono.

45Encurtaste os dias da sua juventude;

com um manto de vergonha o cobriste. Pausa

46Até quando, Senhor? Para sempre te esconderás?

Até quando a tua ira queimará como fogo?

47Lembra-te de como é passageira a minha vida.

Terás criado em vão todos os homens?

48Que homem pode viver e não ver a morte,

ou livrar-se do poder da sepultura89.48 Hebraico: Sheol. Essa palavra também pode ser traduzida por profundezas, ou morte.? Pausa

49Ó Senhor, onde está o teu antigo amor,

que com fidelidade juraste a Davi?

50Lembra-te, Senhor, das afrontas que o teu servo tem89.50 Ou teus servos têm sofrido,

das zombarias que no íntimo tenho que suportar de todos os povos,

51das zombarias dos teus inimigos, Senhor,

com que afrontam a cada passo o teu ungido.

52Bendito seja o Senhor para sempre!

Amém e amém.