Zaburi 89 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 89:1-52

Zaburi 89

Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa

Utenzi wa Ethani Mwezrahi.

189:1 Za 59:16; 36:5; 40:10Nitaimba juu ya upendo mkuu wa Bwana milele;

kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako

ujulikane kwa vizazi vyote.

289:2 Za 36:5Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele

na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.

389:3 Eze 34:23; Hes 3:5; Ebr 7:21; Mdo 2:30Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu,

nimemwapia mtumishi wangu Daudi,

489:4 2Sam 7:12-16; Lk 1:32, 33; Mt 1:1; Isa 9:6, 7; Rum 1:3; 1Fal 9:5; 8:16; Eze 37:24, 25; Za 132:11, 12‘Nitaimarisha uzao wako milele

na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’ ”

589:5 Za 19:1; 1:5Ee Bwana, mbingu zinayasifu maajabu yako,

uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.

689:6 Mwa 1:26; Kut 9:14; Za 18:31; 113:5Kwa kuwa ni nani katika mbingu

anayeweza kulinganishwa na Bwana?

Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni

aliye kama Bwana?

789:7 Ay 5:1; Za 11:1; 47:2Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana,

anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.

889:8 Isa 6:3; Za 71:19Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,

ni nani aliye kama wewe?

Ee Bwana, wewe ni mwenye nguvu,

na uaminifu wako unakuzunguka.

989:9 Za 65:7; Ay 38:11; Nah 1:4; Mt 8:26Wewe unatawala bahari yenye msukosuko;

wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.

1089:10 Ay 9:13; Za 59:11; 68:1; 92:9; Isa 30:9Wewe ulimponda Rahabu89:10 Rahabu hapa ina maana jina la Misri kwa fumbo, yaani mwenye majivuno (lakini sio Rahabu wa Yos 2).

kama mmojawapo wa waliochinjwa;

kwa mkono wako wenye nguvu,

uliwatawanya adui zako.

1189:11 Kum 10:14; Za 24:1; 115:6; 1Nya 29:11; Mwa 1:1Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako,

uliuwekea ulimwengu msingi

pamoja na vyote vilivyomo.

1289:12 Yos 19:22; Kum 3:8; 4:48; Za 98:8; Yos 12:1; Amu 4:6Uliumba kaskazini na kusini;

Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.

1389:13 Yos 4:24Mkono wako umejaa uwezo;

mkono wako una nguvu,

mkono wako wa kuume umetukuzwa.

1489:14 Za 97:2; 85:10, 11Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi;

upendo na uaminifu vinakutangulia.

1589:15 Za 1:1; 44:3; Hes 10:10Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe,

wanaotembea katika mwanga

wa uwepo wako, Ee Bwana.

1689:16 Za 30:4; 105:3Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa,

wanafurahi katika haki yako.

1789:17 Za 18:1, 24; 75:10; 92:10; 112:9; 148:14Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao,

kwa wema wako unatukuza pembe89:17 Pembe inawakilisha nguvu. yetu.

1889:18 Hos 13:10; Za 18:2; 47:9; Isa 16:5; 33:17, 22Naam, ngao yetu ni mali ya Bwana,

na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.

19Ulizungumza wakati fulani katika maono,

kwa watu wako waaminifu, ukasema:

“Nimeweka nguvu kwa shujaa,

nimemwinua kijana miongoni mwa watu.

2089:20 Mdo 13:22; Za 78:70; Kut 29:7; 1Fal 1:39; 1Sam 2:35; 2Sam 22:51Nimemwona Daudi, mtumishi wangu,

na nimemtia mafuta yangu matakatifu.

2189:21 Za 89:13; 18:35Kitanga changu kitamtegemeza,

hakika mkono wangu utamtia nguvu.

2289:22 Amu 3:15; 2Sam 7:10Hakuna adui atakayemtoza ushuru,

hakuna mtu mwovu atakayemwonea.

2389:23 Za 18:40; 2Sam 7:9Nitawaponda adui zake mbele zake

na kuwaangamiza watesi wake.

2489:24 2Sam 7:15; Za 61:7Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye,

kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.

2589:25 Za 72:8Nitauweka mkono wake juu ya bahari,

mkono wake wa kuume juu ya mito.

2689:26 Za 62:2; Yer 3:4; 2Sam 7:14; 22:47; 1Nya 22:10; Yn 5:17; Ebr 1:5Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu,

Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’

2789:27 Kol 1:18; Hes 24:7; Za 2:6, 7; Ufu 1:5; 19:16Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza,

aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.

2889:28 Za 89:33-34; Isa 55:3Nitadumisha upendo wangu kwake milele,

na agano langu naye litakuwa imara.

2989:29 Isa 9:7; Yer 33:17; Dan 7:14; Kum 11:21; Za 89:4, 36Nitaudumisha uzao wake milele,

kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.

3089:30 2Sam 7:14; Yer 9:13“Kama wanae wataacha amri yangu

na wasifuate sheria zangu,

31kama wakihalifu maagizo yangu

na kutoshika amri zangu,

3289:32 2Sam 7:14nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo,

uovu wao kwa kuwapiga,

3389:33 2Sam 7:15lakini sitauondoa upendo wangu kwake,

wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.

3489:34 Hes 23:19Mimi sitavunja agano langu

wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.

3589:35 Za 110:4; Ebr 6:13, 17; Amo 4:2; 8:7Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu,

nami sitamdanganya Daudi:

3689:36 Za 89:4; 2Sam 7:18; Lk 1:33; Yn 12:34kwamba uzao wake utaendelea milele,

na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;

3789:37 Yer 31:35; 33:20, 21kitaimarishwa milele kama mwezi,

shahidi mwaminifu angani.”

3889:38 1Nya 28:9; Isa 22:5; Mao 2:2Lakini wewe umemkataa, umemdharau,

umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.

3989:39 Mao 5:16Umelikana agano lako na mtumishi wako,

na umeinajisi taji yake mavumbini.

4089:40 Za 80:12; Isa 22:5; Mao 2:2Umebomoa kuta zake zote,

na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.

4189:41 Amu 2:14; Za 44:13Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake;

amekuwa dharau kwa jirani zake.

4289:42 Za 13:2; 80:6Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake,

umewafanya watesi wake wote washangilie.

4389:43 Za 44:10Umegeuza makali ya upanga wake,

na hukumpa msaada katika vita.

44Umeikomesha fahari yake,

na kukiangusha kiti chake cha enzi.

4589:45 Za 39:5; 44:15; 109:29Umezifupisha siku za ujana wake,

umemfunika kwa vazi la aibu.

4689:46 Za 79:5Hata lini, Ee Bwana? Utajificha milele?

Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?

4789:47 Mwa 47:9; Ay 7:7; Za 39:5; 1Pet 1:24Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka.

Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!

4889:48 Mwa 5:24; Za 22:29; Ebr 11:5Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo,

au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi?89:48 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.

4989:49 2Sam 7:12; Isa 55:13Ee Bwana, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni,

ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?

5089:50 Za 69:19Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa,

jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,

5189:51 Za 74:10dhihaka ambazo kwazo adui zako

wamenisimanga, Ee Bwana,

ambazo kwazo wamesimanga

kila hatua ya mpakwa mafuta wako.

5289:52 Za 41:13; 72:19Msifuni Bwana milele!

Amen na Amen.

La Bible du Semeur

Psaumes 89:1-53

Où sont les grâces d’autrefois ?

1Méditation89.1 Sens incertain. d’Etân89.1 Voir 1 R 5.11 ; 1 Ch 6.16-29 ; 15.16-19. l’Ezrahite.

2Je veux chanter à jamais ╵les bontés de l’Eternel

et proclamer d’âge en âge ╵sa fidélité.

3En effet, je peux le dire : ╵ta bonté est établie ╵pour l’éternité.

Dans les cieux tu as ancré ╵ta fidélité.

4Tu as déclaré : ╵« J’ai contracté une alliance ╵avec mon élu ;

à David, mon serviteur, ╵j’ai fait un serment :

5J’affermis ta descendance ╵pour l’éternité,

et j’établirai ton trône ╵aux siècles des siècles89.5 Voir 2 S 7.12-16 ; 1 Ch 17.11-14 ; Ps 132.11-12.. »

Pause

6O Eternel, les cieux chantent ╵tes prodiges.

L’assemblée des saints célèbre ╵ta fidélité.

7Qui dans les nuées ╵est égal à l’Eternel ?

Qui est comparable à l’Eternel ╵parmi les êtres célestes ?

8Car c’est un Dieu redoutable ╵au conseil des saints89.8 Très certainement les anges.,

il est grand, impressionnant ╵au-dessus de tous ceux qui l’entourent.

9Qui, ô Eternel, ╵ô Dieu des armées célestes, ╵qui est puissant comme toi ? ╵Qui, ô Eternel ?

Ta fidélité rayonne ╵tout autour de toi.

10Oui, c’est toi seul qui maîtrises ╵l’orgueil de la mer.

Quand ses vagues se déchaînent, ╵toi, tu les apaises.

11C’est toi qui as écrasé Rahav, ╵le dragon d’Egypte, ╵le blessant à mort89.11 Voir Ps 87.4 et la note..

Par ton bras puissant ╵tu as dispersé tes ennemis.

12A toi appartient le ciel ╵et à toi la terre,

le monde avec tout ce qui s’y trouve, ╵c’est toi qui les as fondés.

13Le nord et le sud, ╵tu les as créés.

Le mont Thabor et l’Hermon89.13 Sommets imposants du nord d’Israël., ╵avec joie, t’acclament.

14Ton bras est armé de force,

ta main est puissante, ╵tu as levé ta main droite89.14 Signe de puissance (le dieu Baal était souvent représenté avec la main droite levée)..

15Les assises de ton trône ╵sont justice et droit.

L’amour et la vérité ╵marchent devant toi.

16Oh ! qu’il est heureux, le peuple ╵qui sait t’acclamer.

Eternel, à ta lumière, ╵il chemine.

17Grâce à toi, ╵il se réjouit sans cesse,

grâce à ta justice, ╵il s’élève !

18Car c’est toi qui fais ╵sa gloire et sa force,

et c’est grâce à ta faveur ╵que nous triomphons.

19Oui, de l’Eternel dépend ╵notre protecteur,

notre roi est dans la main ╵du Saint d’Israël.

20Autrefois, tu as parlé ╵dans une révélation ╵à ceux qui sont attachés à toi. ╵Tu as dit :

« J’ai prêté secours ╵à un homme valeureux ;

au milieu du peuple, ╵j’ai élevé un jeune homme ╵à une haute fonction :

21j’ai trouvé mon serviteur David89.21 Voir 1 S 13.14 et Ac 13.22. ;

de mon huile sainte, ╵je lui ai donné l’onction89.21 Voir 1 S 16.12-13..

22Je le soutiendrai ╵de ma forte main,

et mon bras le rendra fort.

23Ses ennemis ne pourront ╵jamais le surprendre,

aucun homme inique ╵ne pourra le maltraiter.

24J’écraserai devant lui ╵tous ses adversaires,

et je frapperai ╵ceux qui le haïssent.

25Toujours mon fidèle amour ╵l’accompagnera.

Grâce à moi, ╵il relèvera le front.

26J’étendrai jusqu’à la mer ╵sa domination.

J’établirai son empire ╵jusque sur les fleuves89.26 La mer est la Méditerranée, les fleuves l’Euphrate et ses divers bras ou canaux ; c’étaient les limites des domaines promis à David et à Salomon..

27Il m’invoquera ╵par ces mots : ╵“Toi, tu es mon Père,

et mon Dieu, ╵le rocher ╵où je trouve le salut.”

28Et moi, je ferai de lui ╵mon fils premier-né,

le plus élevé ╵des rois de la terre89.28 Voir Col 1.15..

29Je lui garderai toujours ╵toute ma faveur,

et maintiendrai fermement ╵mon alliance avec lui.

30Je ferai subsister pour toujours ╵sa postérité,

et son trône durera ╵autant que les cieux.

31S’il arrivait que ses fils ╵délaissent ma Loi,

s’ils ne se conduisaient plus ╵selon mes décrets,

32s’ils venaient à transgresser ╵mes commandements,

et s’ils n’obéissaient plus ╵à mes ordonnances,

33je châtierais leur péché ╵avec le bâton,

et leur faute par des coups.

34Mais je ne renierai pas ╵mon amour pour lui.

Je ne démentirai pas ╵ma fidélité ;

35non, car je ne trahirai ╵jamais mon alliance

et je ne reviendrai pas ╵sur ce que j’ai dit.

36Un jour, j’ai fait le serment ╵par ma sainteté :

Non, je ne pourrai jamais ╵mentir à David.

37Sa lignée subsistera ╵éternellement,

et son trône devant moi ╵sera comme le soleil.

38Comme la lune, à toujours, ╵il se maintiendra.

Là-haut, le témoin céleste ╵en est le garant. »

Pause

39Pourtant, tu l’as délaissé, ╵tu l’as rejeté,

et tu t’es mis en colère ╵contre celui qui avait reçu ╵l’onction de ta part.

40Tu as dédaigné l’alliance ╵faite avec ton serviteur,

et tu as profané sa couronne, ╵la jetant à terre.

41Tu as fait de larges brèches ╵dans tous ses remparts,

et ses fortifications, ╵tu les as détruites.

42Tous les passants l’ont pillé,

ses voisins le raillent.

43Tu as affermi ses adversaires

et tu as rempli de joie ╵tous ses ennemis.

44Tu as même fait dévier ╵les coups de son glaive.

Tu ne l’as pas soutenu ╵pendant le combat.

45Tu as éteint sa splendeur,

jeté bas son trône,

46tu as abrégé ╵sa jeunesse,

et tu l’as couvert de honte.

Pause

47Jusques à quand, Eternel, ╵te cacheras-tu sans cesse

et laisseras-tu flamber ╵ta fureur ?

48Veuille tenir compte ╵de la brièveté de ma vie,

as-tu donc créé ╵pour le néant tous les hommes ?

49Quel homme vivra ╵sans voir le trépas ?

Qui échappera ╵au séjour des morts ?

Pause

50Seigneur, où donc sont restées ╵tes faveurs d’antan

que, dans ta fidélité, ╵tu avais promises ╵par un serment à David ?

51Pense, Seigneur, à l’opprobre ╵de tes serviteurs89.51 Plusieurs manuscrits hébreux, l’ancienne version grecque et la version syriaque ont : ton serviteur.,

et pense à ces nombreux peuples ╵dont je suis chargé89.51 Autre traduction : Considère, Seigneur, de quel opprobre tes serviteurs sont affligés par de nombreux peuples et quelle souffrance il me cause..

52Pense, Eternel, aux outrages ╵de tes ennemis,

aux outrages qu’ils déversent ╵sur les pas de l’homme ╵qui a reçu l’onction de ta part.

53Béni soit l’Eternel pour l’éternité !

Amen et amen !