Zaburi 87
Sifa Za Yerusalemu
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.
187:1 Za 48:1Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
287:2 Za 2:6Bwana anayapenda malango ya Sayuni
kuliko makao yote ya Yakobo.
387:3 Za 46:4; Isa 60:1Mambo matukufu yanasemwa juu yako,
ee mji wa Mungu:
487:4 Ay 9:13; 2Sam 8:1; Za 83:7; 45:12; Yoe 3:4; Isa 19:25“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu87:4 Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri. na Babeli
miongoni mwa wale wanaonikubali mimi:
Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi,87:4 Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.
nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’ ”
587:5 Eze 48:35; Mt 16:18Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,
“Huyu na yule walizaliwa humo,
naye Aliye Juu Sana mwenyewe
atamwimarisha.”
687:6 Isa 4:3; Kut 32:32; Yer 3:19; Eze 13:9; Za 22:30; 69:28; Mal 3:16Bwana ataandika katika orodha ya mataifa:
“Huyu alizaliwa Sayuni.”
787:7 Za 149:3; 36:9Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,
“Chemchemi zangu zote ziko kwako.”
Psalm 87
Sion
1Av Korachs ättlingar. En psalm, en sång.
Dess grund är lagd på de heliga bergen.
2Herren älskar Sions portar
mer än någon annan av Jakobs boningar.
3Härliga ting talas om dig,
Guds stad. Séla
4”Bland dem som känner mig
ska jag räkna Rahav87:4 Representerar Egypten. och Babylonien
och också Filisteen, Tyros och Kush.
Dessa är födda här.”
5Man ska säga om Sion: ”Var och en är född här.”
Den Högste har grundat denna stad.
6Herren skriver i listan över folken:
”Dessa är födda där.” Séla
7Man ska sjunga och dansa:
”Alla mina källor finns hos dig.”