Zaburi 87 – NEN & AKCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 87:1-7

Zaburi 87

Sifa Za Yerusalemu

Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.

187:1 Za 48:1Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;

287:2 Za 2:6Bwana anayapenda malango ya Sayuni

kuliko makao yote ya Yakobo.

387:3 Za 46:4; Isa 60:1Mambo matukufu yanasemwa juu yako,

ee mji wa Mungu:

487:4 Ay 9:13; 2Sam 8:1; Za 83:7; 45:12; Yoe 3:4; Isa 19:25“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu87:4 Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri. na Babeli

miongoni mwa wale wanaonikubali mimi:

Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi,87:4 Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.

nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’ ”

587:5 Eze 48:35; Mt 16:18Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,

“Huyu na yule walizaliwa humo,

naye Aliye Juu Sana mwenyewe

atamwimarisha.”

687:6 Isa 4:3; Kut 32:32; Yer 3:19; Eze 13:9; Za 22:30; 69:28; Mal 3:16Bwana ataandika katika orodha ya mataifa:

“Huyu alizaliwa Sayuni.”

787:7 Za 149:3; 36:9Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,

“Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

Akuapem Twi Contemporary Bible

Nnwom 87:1-7

Dwom 87

Koramma dwom.

1Wato ne fapem wɔ bepɔw kronkron no so;

2Awurade dɔ Sion apon no

sen Yakob atenae nyinaa.

3Wɔka wo ho anuonyamsɛm

Onyankopɔn kuropɔn:

4“Mede Rahab ne Babilonia

bɛka wɔn a wɔyɛ osetie ma me no ho,

Filistia, Tiro ne Kus nso

na maka se, ‘Wɔwoo eyinom wɔ Sion.’ ”

5Ampa ara wɔbɛka afa Sion ho se,

“Wɔwoo oyi ne ɔno wɔ no mu,

na Ɔsorosoroni no ankasa de no betim hɔ.”

6Awurade bɛkyerɛw wɔ nnipa dinkyerɛw nhoma no mu se,

“Wɔwoo oyi wɔ Sion.”

7Na wɔbɛto dwom se,

“Me ntin nyinaa wɔ wo mu.”