Zaburi 86 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 86:1-17

Zaburi 86

Kuomba Msaada

Maombi ya Daudi.

186:1 Za 17:6Ee Bwana, sikia na unijibu,

kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.

286:2 Za 25:2; 31:14Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako,

wewe ni Mungu wangu,

mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.

386:3 Za 4:1; 9:13; 57:1; 88:9Ee Bwana, nihurumie mimi,

kwa maana ninakuita mchana kutwa.

486:4 Za 46:5; 143:8Mpe mtumishi wako furaha,

kwa kuwa kwako wewe, Ee Bwana,

ninainua nafsi yangu.

586:5 Yoe 2:13; Yon 4:2; Neh 9:17; Za 103:8; 145:8; 130:7, 8; Kut 34:6Ee Bwana, wewe ni mwema na mwenye kusamehe,

umejaa upendo kwa wote wakuitao.

686:6 Za 5:2; 17:1Ee Bwana, sikia maombi yangu,

sikiliza kilio changu unihurumie.

786:7 Za 3:4; 4:3; 27:5; 50:15; 94:13; 80:18; 91:15; Isa 30:19; 58:9; 65:24; Ay 22:27; Zek 13:9; Hab 3:16Katika siku ya shida yangu nitakuita,

kwa maana wewe utanijibu.

886:8 Ay 21:22; Za 18:31; 1Sam 2:2; Kut 8:10; 15:11; Kum 3:24; 2Sam 7:22Ee Bwana, katikati ya miungu hakuna kama wewe,

hakuna matendo ya kulinganishwa na yako.

986:9 Za 65:2; 66:4; Isa 19:21; 27:13; 49:7; Zek 8:20-22; 14:6; Ufu 15:4; Isa 43:7; 44:23; Za 95:6, 7Ee Bwana, mataifa yote uliyoyafanya

yatakuja na kuabudu mbele zako;

wataliletea utukufu jina lako.

1086:10 2Sam 7:22; Kut 3:20; Kum 6:4; Za 48:1; 71:17; 72:18; 1Kor 8:4; Isa 37:16; 43:10; Mk 12:29; Efe 4:6Kwa maana wewe ni mkuu, na unafanya mambo ya ajabu;

wewe peke yako ndiwe Mungu.

1186:11 Kut 33:13; 1Sam 12:23; Za 25:5; Eze 11:19; Za 26:3; Kum 6:24; Yer 24:7; 32:39; 1Kor 7:35Ee Bwana, nifundishe njia yako,

nami nitakwenda katika kweli yako;

nipe moyo usiositasita,

ili niweze kulicha jina lako.

1286:12 Za 9:1Ee Bwana wangu, nitakusifu kwa moyo wote;

nitaliadhimisha jina lako milele.

1386:13 Za 56:13; 116:8; 34:4; 49:15; 16:10Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu;

umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi.86:13 Yaani Kuzimu.

1486:14 Za 54:3Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia;

kundi la watu wakatili linatafuta uhai wangu:

watu wasiokuheshimu wewe.

1586:15 Za 116:5; 103:8; 111:4; 145:8; 51:1; Hes 14:18; Za 86:5; Kut 34:6; Yoe 2:13; Neh 9:17Lakini wewe, Ee Bwana, ni Mungu wa huruma na neema,

si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo na uaminifu.

1686:16 Za 6:4; 9:13; 18:1; 116:16Nigeukie na unihurumie;

mpe mtumishi wako nguvu zako,

mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.86:16 Au: mwokoe mwanao mwaminifu.

1786:17 Kut 3:12; Mt 24:3; Yn 2:11Nipe ishara ya wema wako,

ili adui zangu waione nao waaibishwe,

kwa kuwa wewe, Ee Bwana,

umenisaidia na kunifariji.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 86:1-17

第 86 篇

祈求上帝施恩

大衛的祈禱。

1耶和華啊,我窮苦無助,

求你垂聽我的禱告,應允我。

2求你保護我的性命,

因為我忠於你。

你是我的上帝,我信靠你,

求你拯救僕人。

3主啊,我終日向你呼求,

求你憐憫我。

4主啊,我的心仰望你,

求你賜我歡樂。

5主啊,你良善仁慈,樂意赦免,

以無限的慈愛待一切求告你的人。

6耶和華啊,求你聽我的禱告,

垂聽我的懇求。

7患難之時,我要向你呼求,

因為你必應允我。

8主啊,

眾神明中沒有一位能與你相比,

你的作為無與倫比。

9主啊,

你創造的萬國都要來敬拜你,

將榮耀歸給你的名。

10因為你偉大無比,行事奇妙,

唯有你是上帝。

11耶和華啊,求你教我行你的道,

我要行在你的真理中,

求你使我一心敬畏你。

12主——我的上帝啊,

我要全心全意地讚美你,

我要永遠將榮耀歸給你的名。

13因為你深愛我,

從陰間的深處拯救了我。

14上帝啊,狂傲的人攻擊我,

一群兇殘之徒要殺害我,

他們藐視你。

15但主啊,

你是有憐憫和恩典的上帝,

不輕易發怒,充滿慈愛,

無比信實。

16求你垂顧我,憐憫我,

賜力量給你的僕人,

拯救你婢女的兒子。

17求你賜下恩待我的憑據,

使那些恨我的人見狀就抱愧蒙羞,

因為你耶和華幫助我、安慰我。