Zaburi 85
Maombi Kwa Ajili Ya Ustawi Wa Taifa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
185:1 Kum 30:3; Za 14:7; Yer 30:18; Eze 39:25Ee Bwana, ulionyesha wema kwa nchi yako.
Ulimrejeshea Yakobo baraka zake.85:1 Au: Uliwarudisha mateka wa Yakobo.
285:2 Hes 14:19; Kut 32:30; Za 78:38Ulisamehe uovu wa watu wako,
na kufunika dhambi zao zote.
385:3 Za 78:38; 106:23; Dan 9:16; Kut 32:12; Yn 3:9; Kum 13:17Uliweka kando ghadhabu yako yote
na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.
485:4 Za 71:20; 65:5Ee Mungu Mwokozi wetu, uturejeshe tena,
nawe uiondoe chuki yako juu yetu.
585:5 Za 50:21Je, utatukasirikia milele?
Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?
685:6 Za 80:18; Flp 3:1; Hab 3:2Je, hutatuhuisha tena,
ili watu wako wakufurahie?
785:7 Za 6:4; 27:1Utuonyeshe upendo wako usiokoma, Ee Bwana,
utupe wokovu wako.
885:8 Law 26:6; Isa 60:17; Yn 14:27; 2The 3:16; Mit 26:11; 27:22; Hab 2:1; Zek 9:10; 2Pet 2:20Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye Bwana;
anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake:
lakini nao wasirudie upumbavu.
985:9 Za 27:1; Kut 29:43; Isa 43:3; 45:8; 46:13; 62:11; 51:5; 56:1; 60:19; Hag 2:9; Zek 2:5Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao,
ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.
1085:10 Isa 32:17; Mit 3:3; Lk 2:14; Yn 1:17; 14:27; Za 89:14; 115:1; 72:2, 3; Mik 7:20Upendo na uaminifu hukutana pamoja,
haki na amani hubusiana.
1185:11 Isa 45:8Uaminifu huchipua kutoka nchi,
haki hutazama chini kutoka mbinguni.
1285:12 Za 67:6; 84:11; Yak 1:17; Law 26:4; Zek 8:12Naam, hakika Bwana atatoa kilicho chema,
nayo nchi yetu itazaa mavuno yake.
13Haki itatangulia mbele yake
na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.
85
1主よ、あなたは驚くべき恵みをこの国に注がれました。
イスラエルの繁栄を回復し、
2民の罪を赦し、そのいっさいを水に流されたのです。
3こうして、神の激しい怒りは、
きれいに消え去りました。
4ああ神よ、あなたを愛していた昔に
私たちを戻してください。
そうすれば、二度とお怒りを買うこともないでしょう。
5それとも、子々孫々に至るまで、
いつまでもお怒りがやまないのでしょうか。
6私たちを生き返らせてください。
そうなれば、神の民は、
再びあなたを喜ぶようになります。
7主よ、私たちに愛と恵みを注いで、救ってください。
8私は、神である主の口から出ることばを
ひと言も聞きもらすまいと、耳をそばだてています。
神の民である聖徒たちが罪を離れさえすれば、
平和を告げられるからです。
9救いは、主を敬う人たちのすぐそばにあるのです。
私たちの国は、やがて
主の栄光で満ちあふれるようになるでしょう。
10恵みと真実は出会いました。
厳正な正義と平和は口づけしました。
11真実は地に生い茂り、
神の公正は天からほほ笑みます。
12主から祝福されて、この国には豊作が続きます。
13正義は主の前を進んで、道を踏み固めます。