Zaburi 84 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 84:1-12

Zaburi 84

Kuionea Shauku Nyumba Ya Mungu

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora.

184:1 Kum 33:27; Za 27:4; 43:3; 90:1; 132:5; 26:8; 27:4; Ebr 9:23; Ufu 21:2, 3Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,

makao yako yapendeza kama nini!

284:2 Ay 19:27; Yos 3:10Nafsi yangu inatamani sana,

naam, hata kuona shauku,

kwa ajili ya nyua za Bwana;

moyo wangu na mwili wangu

vinamlilia Mungu Aliye Hai.

384:3 Za 2:6; 5:2; 43:4; Yer 44:11Hata shomoro amejipatia makao,

mbayuwayu amejipatia kiota

mahali awezapo kuweka makinda yake:

mahali karibu na madhabahu yako,

Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,

Mfalme wangu na Mungu wangu.

4Heri wale wanaokaa nyumbani mwako,

wanaokusifu wewe daima.

584:5 Za 81:1; Yer 31:6Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako,

na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.

684:6 Ay 38:26; Yoe 2:23Wanapopita katika Bonde la Baka,84:6 Yaani Bonde la Vilio.

hulifanya mahali pa chemchemi,

pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.84:6 Au: baraka.

784:7 Ay 17:9; Kum 16:16; 1Fal 8:1Huendelea toka nguvu hadi nguvu,

hadi kila mmoja afikapo

mbele za Mungu huko Sayuni.

884:8 Za 4:1Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu;

nisikilize, Ee Mungu wa Yakobo.

984:9 1Sam 16:6; Za 2:2; 59:11; 18:50; 132:17Ee Mungu, uitazame ngao yetu,

mtazame kwa wema mpakwa mafuta wako.

1084:10 1Nya 23:5Siku moja katika nyua zako ni bora

kuliko siku elfu mahali pengine;

afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu

kuliko kukaa katika mahema ya waovu.

1184:11 Isa 60:19; Yer 43:13; Ufu 21:23; Mwa 15:1; Za 34:10Kwa kuwa Bwana ni jua na ngao,

Bwana hutoa wema na heshima;

hakuna kitu chema anachowanyima

wale ambao hawana hatia.

1284:12 Za 2:12Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,

heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 84:1-12

84

1天の軍勢の主よ。

あなたの神殿は、なんと美しいことでしょう。

2この神殿の内庭に入り、

生ける神のおそば近くに出ることを、

私は夢にまで見ているのです。

3雀やつばめでさえ、

祭壇のまわりに巣を作らせてもらい、

ひなを育てています。

天の軍勢の主、私の王、私の神よ。

4神殿に住み、いつもあなたを賛美できる人は、

なんと幸せなことでしょう。

5主の力を頂き、あなたに従って歩むことを

ほかの何より願う人は幸いです。

6そのような人にとっては、

涙の谷も、祝福のわき出る泉となるでしょう。

7彼らはいよいよ溌剌として

シオンに向かい、一人一人呼ばれて、

神にお会いすることを許されるのです。

8ああ天の軍勢の神である主よ、

私の祈りを聞いてください。

9私たちを守る盾であられる神よ、

あなたが油を注いでお立てになった

王をあわれんでください。

10あなたの神殿で過ごす一日は、

ほかで過ごす千日よりもすばらしいのです。

悪の宮殿に住むよりは、

神の家の門番になりたいと思います。

11神である主は、私たちの光であり、

守り手であるからです。

主は恵みと栄光を下さる方であり、

ご自分の道を歩む者に、

良いものを下さらないことがありません。

12天の軍勢の神に信頼する人は幸いです。