Zaburi 84
Kuionea Shauku Nyumba Ya Mungu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora.
184:1 Kum 33:27; Za 27:4; 43:3; 90:1; 132:5; 26:8; 27:4; Ebr 9:23; Ufu 21:2, 3Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,
makao yako yapendeza kama nini!
284:2 Ay 19:27; Yos 3:10Nafsi yangu inatamani sana,
naam, hata kuona shauku,
kwa ajili ya nyua za Bwana;
moyo wangu na mwili wangu
vinamlilia Mungu Aliye Hai.
384:3 Za 2:6; 5:2; 43:4; Yer 44:11Hata shomoro amejipatia makao,
mbayuwayu amejipatia kiota
mahali awezapo kuweka makinda yake:
mahali karibu na madhabahu yako,
Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,
Mfalme wangu na Mungu wangu.
4Heri wale wanaokaa nyumbani mwako,
wanaokusifu wewe daima.
584:5 Za 81:1; Yer 31:6Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako,
na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.
684:6 Ay 38:26; Yoe 2:23Wanapopita katika Bonde la Baka,84:6 Yaani Bonde la Vilio.
hulifanya mahali pa chemchemi,
pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.84:6 Au: baraka.
784:7 Ay 17:9; Kum 16:16; 1Fal 8:1Huendelea toka nguvu hadi nguvu,
hadi kila mmoja afikapo
mbele za Mungu huko Sayuni.
884:8 Za 4:1Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu;
nisikilize, Ee Mungu wa Yakobo.
984:9 1Sam 16:6; Za 2:2; 59:11; 18:50; 132:17Ee Mungu, uitazame ngao yetu,
mtazame kwa wema mpakwa mafuta wako.
1084:10 1Nya 23:5Siku moja katika nyua zako ni bora
kuliko siku elfu mahali pengine;
afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu
kuliko kukaa katika mahema ya waovu.
1184:11 Isa 60:19; Yer 43:13; Ufu 21:23; Mwa 15:1; Za 34:10Kwa kuwa Bwana ni jua na ngao,
Bwana hutoa wema na heshima;
hakuna kitu chema anachowanyima
wale ambao hawana hatia.
1284:12 Za 2:12Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote,
heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.
84
1天の軍勢の主よ。
あなたの神殿は、なんと美しいことでしょう。
2この神殿の内庭に入り、
生ける神のおそば近くに出ることを、
私は夢にまで見ているのです。
3雀やつばめでさえ、
祭壇のまわりに巣を作らせてもらい、
ひなを育てています。
天の軍勢の主、私の王、私の神よ。
4神殿に住み、いつもあなたを賛美できる人は、
なんと幸せなことでしょう。
5主の力を頂き、あなたに従って歩むことを
ほかの何より願う人は幸いです。
6そのような人にとっては、
涙の谷も、祝福のわき出る泉となるでしょう。
7彼らはいよいよ溌剌として
シオンに向かい、一人一人呼ばれて、
神にお会いすることを許されるのです。
8ああ天の軍勢の神である主よ、
私の祈りを聞いてください。
9私たちを守る盾であられる神よ、
あなたが油を注いでお立てになった
王をあわれんでください。
10あなたの神殿で過ごす一日は、
ほかで過ごす千日よりもすばらしいのです。
悪の宮殿に住むよりは、
神の家の門番になりたいと思います。
11神である主は、私たちの光であり、
守り手であるからです。
主は恵みと栄光を下さる方であり、
ご自分の道を歩む者に、
良いものを下さらないことがありません。
12天の軍勢の神に信頼する人は幸いです。