Zaburi 83 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 83:1-18

Zaburi 83

Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli

Wimbo. Zaburi ya Asafu.

183:1 Za 28:1; 35:22; Isa 42:14; 57:11; 62:1; 64:12Ee Mungu, usinyamaze kimya,

usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.

283:2 Za 2:1; Isa 17:12; Amu 8:28Tazama watesi wako wanafanya fujo,

jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.

383:3 Kut 1:10; Za 31:13; 17:14Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako,

wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.

483:4 Es 3:6; Yer 33:24; 11:19; 2Sam 10:6; 2Nya 20:1Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa,

ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”

583:5 Za 2:2Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja,

wanafanya muungano dhidi yako,

683:6 Za 137:7; Isa 34:5; Yer 49:7; Amo 1:11; 2Nya 20:1; Mwa 25:16mahema ya Edomu na Waishmaeli,

ya Wamoabu na Wahagari,

783:7 Yos 13:5; Mwa 19:38; 14:7; Kut 17:14; 15:14; Isa 23:3; Eze 27:3Gebali,83:7 Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti). Amoni na Amaleki,

Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.

883:8 Mwa 10:11; Kum 2:9Hata Ashuru wameungana nao

kuwapa nguvu wazao wa Loti.

983:9 Hes 31:7, 8; Isa 9:4; Yos 11:1; Amu 4:2, 15, 23, 24; 7:1, 2, 3; Mwa 25:2Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani,

na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini

hapo kijito cha Kishoni,

1083:10 1Sam 28:7; 2Fal 9:37; Isa 5:25; Yer 8:2; 9:22; 16:4; 25:33; Sef 1:17ambao waliangamia huko Endori

na wakawa kama takataka juu ya nchi.

1183:11 Amu 7:25; 8:5Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu,

watawala wao kama Zeba na Salmuna,

1283:12 2Nya 20:11; Eze 35:10ambao walisema, “Na tumiliki nchi

ya malisho ya Mungu.”

1383:13 Ay 13:25Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli,

kama makapi yapeperushwayo na upepo.

1483:14 Kum 32:22; Isa 9:13Kama vile moto uteketezavyo msitu

au mwali wa moto unavyounguza milima,

1583:15 Za 50:3; Ay 9:17wafuatilie kwa tufani yako

na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.

1683:16 Za 34:5; 109:29; 132:18Funika nyuso zao kwa aibu

ili watu walitafute jina lako, Ee Bwana.

1783:17 2Fal 19:26; Za 35:4Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele,

na waangamie kwa aibu.

1883:18 Za 68:4; 7:8; 18:13Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Bwana,

kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 83:1-18

83

1ああ神よ、私たちが祈っているのに、じっと黙って、

何もしないでいることがありませんように。

祈りに答え、救い出してください。

2あの、敵の興奮して騒ぎ立てる声が、

御耳に入らないのですか。

主を憎む者どもの目に余る行為が、

御目に留まらないのですか。

3彼らは悪知恵を働かせて策略を練り、

あなたにとってかけがえのない人たちを

殺そうとしています。

4「さあ、イスラエルを抹殺しよう。

そんな国があったという

痕跡さえ残らないようにするのだ。」

5これが、彼らの首領たちの

一致した意見でした。

全能の神を敵に回して、彼らは同盟を結んだのです。

6こうして、イシュマエル人、エドム人、

モアブ人、ハガル人、

7ゲバル、アモン、アマレク、

ペリシテ、ツロの住民たち、

8それにアッシリヤも加わって、

このロトの子孫たちとの連合軍ができました。

9どうか彼らを、あのミデヤンと

同じような目に会わせてください。

もしくは、キション川でのシセラやヤビンと

同じ敗北を、なめさせてください。

10また、朽ちた死体が土地の肥やしとなった

エン・ドルでの敵のようにしてください。

11権力者の貴族たちには、

オレブとゼエブのような死に方をさせてください

(士師7・25参照)。

また高官たちも、

ゼバフとツァルムナのように葬り去ってください

(士師8・21参照)。

12この二人は、「神の牧場をそっくり頂いて、

われわれのものにしよう」と企んだ連中です。

13ああ神よ、砂ぼこりやもみがらのように、

彼らを吹き飛ばしてください。

14森林をなめ尽くす山火事のように襲ってください。

15猛烈な嵐や竜巻で、追い払ってください。

16ああ主よ、彼らがあなたの力と御名を

認めるようになるまで、

徹底的に恥をかかせてください。

17彼らがしようとすることを、

すべて失敗に終わらせてください。

そうして深く恥じ入り、おじけづき、

18ついには、全地を支配する神が

あなたおひとりであることを、

思い知るようにしてください。