Zaburi 83
Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli
Wimbo. Zaburi ya Asafu.
183:1 Za 28:1; 35:22; Isa 42:14; 57:11; 62:1; 64:12Ee Mungu, usinyamaze kimya,
usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.
283:2 Za 2:1; Isa 17:12; Amu 8:28Tazama watesi wako wanafanya fujo,
jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.
383:3 Kut 1:10; Za 31:13; 17:14Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako,
wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.
483:4 Es 3:6; Yer 33:24; 11:19; 2Sam 10:6; 2Nya 20:1Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa,
ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”
583:5 Za 2:2Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja,
wanafanya muungano dhidi yako,
683:6 Za 137:7; Isa 34:5; Yer 49:7; Amo 1:11; 2Nya 20:1; Mwa 25:16mahema ya Edomu na Waishmaeli,
ya Wamoabu na Wahagari,
783:7 Yos 13:5; Mwa 19:38; 14:7; Kut 17:14; 15:14; Isa 23:3; Eze 27:3Gebali,83:7 Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti). Amoni na Amaleki,
Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.
883:8 Mwa 10:11; Kum 2:9Hata Ashuru wameungana nao
kuwapa nguvu wazao wa Loti.
983:9 Hes 31:7, 8; Isa 9:4; Yos 11:1; Amu 4:2, 15, 23, 24; 7:1, 2, 3; Mwa 25:2Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani,
na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini
hapo kijito cha Kishoni,
1083:10 1Sam 28:7; 2Fal 9:37; Isa 5:25; Yer 8:2; 9:22; 16:4; 25:33; Sef 1:17ambao waliangamia huko Endori
na wakawa kama takataka juu ya nchi.
1183:11 Amu 7:25; 8:5Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu,
watawala wao kama Zeba na Salmuna,
1283:12 2Nya 20:11; Eze 35:10ambao walisema, “Na tumiliki nchi
ya malisho ya Mungu.”
1383:13 Ay 13:25Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli,
kama makapi yapeperushwayo na upepo.
1483:14 Kum 32:22; Isa 9:13Kama vile moto uteketezavyo msitu
au mwali wa moto unavyounguza milima,
1583:15 Za 50:3; Ay 9:17wafuatilie kwa tufani yako
na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
1683:16 Za 34:5; 109:29; 132:18Funika nyuso zao kwa aibu
ili watu walitafute jina lako, Ee Bwana.
1783:17 2Fal 19:26; Za 35:4Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele,
na waangamie kwa aibu.
1883:18 Za 68:4; 7:8; 18:13Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Bwana,
kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.
第 83 篇
祈求上帝击败仇敌
亚萨的诗。
1上帝啊,求你不要缄默无声,
一言不发。
2看啊,你的敌人在喧嚷,
恨你的人趾高气扬。
3他们用诡计害你的子民,
他们一起谋害你所疼爱的人。
4他们说:
“来吧,让我们铲除以色列,
让他们亡国,被人遗忘。”
5他们串通一气,
勾结起来抵挡你。
6他们是以东人、以实玛利人、摩押人、夏甲人、
7迦巴勒人、亚扪人、亚玛力人、非利士人和泰尔人。
8亚述也跟他们勾结,
要助罗得的后代一臂之力。(细拉)
9求你对付他们,
如同对付米甸人和基顺河边的西西拉与耶宾。
10他们在隐·多珥灭亡,
成了地上的粪土。
11求你使他们的首领得到俄立和西伊伯那样的下场,
使他们的王侯得到西巴和撒慕拿那样的下场。
12他们曾说:
“让我们夺取上帝的草场吧。”
13我的上帝啊,求你把他们驱散,
如同狂风吹散尘土和碎秸。
14烈火怎样烧毁森林,
火焰怎样吞没山岭,
15求你也照样用狂风追赶他们,
用暴雨恐吓他们。
16耶和华啊,
求你使他们满面羞愧,
这样他们才会来寻求你。
17愿他们永远羞愧惊恐,
愿他们在耻辱中灭亡。
18让他们知道你是耶和华,
唯有你是普天下的至高者。