Zaburi 81
Wimbo Wa Sikukuu
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.
181:1 Za 66:1; 81:4Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu;
mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
281:2 Kut 15:20; Za 92:3; Ay 21:12Anzeni wimbo, pigeni matari,
pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
381:3 Kut 19:13; Neh 10:33Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume
wakati wa Mwandamo wa Mwezi,
na wakati wa mwezi mpevu,
katika siku ya Sikukuu yetu;
481:4 Za 81:1; Law 23:24; Hes 10:10hii ni amri kwa Israeli,
agizo la Mungu wa Yakobo.
581:5 Kut 11:4; Za 114:1Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu
alipotoka dhidi ya Misri,
huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.
681:6 Kut 1:14; Isa 9:4; 52:2Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao;
mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.
781:7 Kut 2:23; 19:19; 17:7; Kum 33:8Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa,
nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo;
nilikujaribu katika maji ya Meriba.
881:8 Za 50:7; 78:1“Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya:
laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!
981:9 Kut 20:3Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu;
msimsujudie mungu wa kigeni.
1081:10 Kut 6:6; 13:3; 29:46; Eze 2:8; Za 107:9; 37:3; Yn 13:7Mimi ni Bwana Mungu wako,
niliyekutoa nchi ya Misri.
Panua sana kinywa chako
nami nitakijaza.
1181:11 Kut 32:1-6“Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza;
Israeli hakutaka kunitii.
1281:12 Eze 20:25; Mdo 7:42; Rum 1:24Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao
wafuate mashauri yao wenyewe.
1381:13 Kum 5:29; Isa 48:18; Yer 44:4, 5; Mt 23:37“Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza,
kama Israeli wangalifuata njia zangu,
1481:14 Za 47:3; Amo 1:8ningaliwatiisha adui zao kwa haraka,
na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!
1581:15 2Sam 22:45Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake,
na adhabu yao ingedumu milele.
1681:16 Kum 32:14Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora,
na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”
Песнь 81
Песнь Ософа.
1Всевышний возглавляет великое собрание,
среди богов81:1 Боги – слово, стоящее здесь на языке оригинала, имеет более широкое значение и в данном случае обозначает не божественных существ, а либо судей, поставленных Всевышним решать земные дела, либо ангелов, либо народ Исроила во время получения им Закона (ср. Ин. 10:34). произносит суд:
2«Как долго ещё вы будете судить несправедливо
и оказывать предпочтение нечестивым? Пауза
3Защищайте дело слабого и сироты,
угнетённому и бедному явите справедливость.
4Избавляйте слабого и нищего,
спасайте их от нечестивых.
5Ваше знание – ничто, вы ничего не понимаете.
Вы ходите во тьме.
Содрогаются все основания земли.
6Я сказал: „Вы – боги,
все вы – дети Высочайшего“.
7Но вы умрёте, как все люди,
и вы падёте, как любой из властителей».
8Восстань, Всевышний, и суди землю,
потому что Тебе принадлежат все народы!