Zaburi 80 – NEN & NSP

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 80:1-19

Zaburi 80

Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.

180:1 Kut 25:22; 1Sam 4:4; Za 77:20; 89:1; Kum 33:2Ee Mchungaji wa Israeli tusikie,

wewe umwongozaye Yosefu kama kundi;

wewe uketiye katika kiti cha enzi

katikati ya makerubi, angaza

280:2 Hes 2:18-24; Za 35:23; 54:1; 71:2; 109:26; 116:4; 119:94mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.

Uamshe nguvu zako,

uje utuokoe.

380:3 Za 71:20; 85:4; Yer 31:18; Mao 5:21; Hes 6:25; Za 80:7, 19; 1Fal 18:37Ee Mungu, uturejeshe,

utuangazie uso wako,

ili tuweze kuokolewa.

480:4 Za 74:10; Kum 29:20Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote,

hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi

dhidi ya maombi ya watu wako?

580:5 Ay 3:24; Isa 30:20Umewalisha kwa mkate wa machozi,

umewafanya wanywe machozi bakuli tele.

680:6 Za 79:4Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu,

na adui zetu wanatudhihaki.

780:7 Za 80:3Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

utuangazie uso wako,

nasi tuweze kuokolewa.

880:8 Isa 5:1-2, 7; Yer 2:21; Mt 21:33-41; Kut 15:17; 23:28-30; Yos 13:6; Mdo 7:45; Eze 15:6Ulileta mzabibu kutoka Misri,

ukawafukuza mataifa, ukaupanda.

9Uliandaa shamba kwa ajili yake,

mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.

10Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,

matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.

1180:11 Kut 23:31; Za 72:8Matawi yake yalienea mpaka Baharini,80:11 Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.

machipukizi yake mpaka kwenye Mto.80:11 Yaani Mto Frati.

1280:12 Isa 5:5; 30:13; Za 89:40; Yer 39:8Mbona umebomoa kuta zake

ili wote wapitao karibu

wazichume zabibu zake?

1380:13 Yer 5:6Nguruwe mwitu wanauharibu

na wanyama wa kondeni hujilisha humo.

1480:14 Kum 26:15; Zek 1:12, 16, 17; Isa 63:15Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote!

Tazama chini kutoka mbinguni na uone!

Linda mzabibu huu,

1580:15 Isa 49:5mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume,

mwana uliyemlea

kwa ajili yako mwenyewe.

1680:16 Za 79:1; Kum 28:20Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto,

unapowakemea, watu wako huangamia.

1780:17 Ay 25:6; Za 89:21; 110:1; Kut 4:22; Dan 7:13, 14; Yn 5:21-27Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume,

mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.

1880:18 Za 85:6; Isa 57:15; Hos 6:2Ndipo hatutakuacha tena,

utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.

1980:19 Hes 6:25; Za 27:4, 9Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

utuangazie uso wako,

ili tuweze kuokolewa.

New Serbian Translation

Псалми 80:1-19

Псалам 80

Хоровођи. Према „Љиљанима“. Сведочења. Псалам Асафов.

1О, Пастиру Израиља, чуј нас!

Ти што Јосифа си водио ко стадо!

Заблистај ти, што седиш над херувимима!

2Устани у сили својој пред Јефремом, Венијамином и Манасијом.

Дођи и избави нас.

3Обнови нас, о, Боже!

Озари лице своје

да бисмо се избавили.

4О, Господе, Боже над војскама,

до када ћеш срдит бити,

а твој ти се народ моли?

5Сузним хлебом ти их храниш,

сузама из чанка појиш.

6Од нас си направио раздор међу комшијама нашим,

међу собом шегаче се душмани са нама.

7О, Боже над војскама, поврати нас!

Озари лице своје

да бисмо се избавили.

8Чокот си из Египта искоренио

и народе отерао да би га усадио.

9Пред њиме си раскрчио и он се укоренио,

свуд по земљи пружио је жиле.

10Хлад је његов брда засенио,

а лозама Божије кедрове.

11До мора су се гранале његове лозе,

изданци његови све до Еуфрата.

12Зашто си му срушио ограде

да га бере свако ко пролази путем?

13Ровари га дивљи вепар,

глође га све што се по пољу миче.

14Боже над војскама, молимо те, врати се!

Са небеса погледај и види,

побрини се за чокот овај;

15за корен што си га десницом својом усадио

и младице што си себи ојачао.

16Ето, сажежен је ватром и посечен,

они гину од прекорног лица твога.

17Нека рука твоја буде над човеком деснице твоје,

над потомком људи којега си себи ојачао.

18Тада се од тебе више одвратити нећемо.

Ти нас оживи, ми име твоје призивамо!

19Обнови нас Господе, Боже над војскама!

Озари лице своје

да бисмо се избавили.