Zaburi 80 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 80:1-19

Zaburi 80

Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.

180:1 Kut 25:22; 1Sam 4:4; Za 77:20; 89:1; Kum 33:2Ee Mchungaji wa Israeli tusikie,

wewe umwongozaye Yosefu kama kundi;

wewe uketiye katika kiti cha enzi

katikati ya makerubi, angaza

280:2 Hes 2:18-24; Za 35:23; 54:1; 71:2; 109:26; 116:4; 119:94mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.

Uamshe nguvu zako,

uje utuokoe.

380:3 Za 71:20; 85:4; Yer 31:18; Mao 5:21; Hes 6:25; Za 80:7, 19; 1Fal 18:37Ee Mungu, uturejeshe,

utuangazie uso wako,

ili tuweze kuokolewa.

480:4 Za 74:10; Kum 29:20Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote,

hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi

dhidi ya maombi ya watu wako?

580:5 Ay 3:24; Isa 30:20Umewalisha kwa mkate wa machozi,

umewafanya wanywe machozi bakuli tele.

680:6 Za 79:4Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu,

na adui zetu wanatudhihaki.

780:7 Za 80:3Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

utuangazie uso wako,

nasi tuweze kuokolewa.

880:8 Isa 5:1-2, 7; Yer 2:21; Mt 21:33-41; Kut 15:17; 23:28-30; Yos 13:6; Mdo 7:45; Eze 15:6Ulileta mzabibu kutoka Misri,

ukawafukuza mataifa, ukaupanda.

9Uliandaa shamba kwa ajili yake,

mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.

10Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,

matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.

1180:11 Kut 23:31; Za 72:8Matawi yake yalienea mpaka Baharini,80:11 Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.

machipukizi yake mpaka kwenye Mto.80:11 Yaani Mto Frati.

1280:12 Isa 5:5; 30:13; Za 89:40; Yer 39:8Mbona umebomoa kuta zake

ili wote wapitao karibu

wazichume zabibu zake?

1380:13 Yer 5:6Nguruwe mwitu wanauharibu

na wanyama wa kondeni hujilisha humo.

1480:14 Kum 26:15; Zek 1:12, 16, 17; Isa 63:15Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote!

Tazama chini kutoka mbinguni na uone!

Linda mzabibu huu,

1580:15 Isa 49:5mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume,

mwana uliyemlea

kwa ajili yako mwenyewe.

1680:16 Za 79:1; Kum 28:20Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto,

unapowakemea, watu wako huangamia.

1780:17 Ay 25:6; Za 89:21; 110:1; Kut 4:22; Dan 7:13, 14; Yn 5:21-27Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume,

mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.

1880:18 Za 85:6; Isa 57:15; Hos 6:2Ndipo hatutakuacha tena,

utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.

1980:19 Hes 6:25; Za 27:4, 9Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

utuangazie uso wako,

ili tuweze kuokolewa.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 80:1-19

第 80 篇

为国家复兴祈求

亚萨的诗,交给乐长,调用“作证的百合花”。

1-2以色列的牧者啊,

你像照顾羊群一样带领约瑟的子孙,

求你垂听我们的祈祷。

坐在基路伯天使之上的耶和华啊,

求你向以法莲便雅悯玛拿西发出光辉,

求你施展大能来拯救我们。

3上帝啊,求你复兴我们,

用你脸上的荣光照耀我们,

使我们得救。

4万军之上帝耶和华啊,

你因你子民的祷告而发怒,

要到何时呢?

5你使我们以泪洗面,

以哀伤果腹,

6又使我们成为邻国争夺的对象,

仇敌都嘲笑我们。

7万军之上帝啊,

求你复兴我们,

用你脸上的荣光照耀我们,

使我们得救。

8你从埃及带出一棵葡萄树,

赶走外族人,把它栽种起来。

9你为它开垦土地,

它就扎根生长,布满这片土地。

10它的树荫遮盖群山,

枝子遮蔽香柏树。

11它的枝条延伸到地中海,

嫩枝伸展到幼发拉底河。

12你为何拆毁了它的篱笆,

让路人随意摘取葡萄呢?

13林中的野猪蹂躏它,

野兽吞吃它。

14万军之上帝啊,

求你回来,

求你在天上垂顾我们这棵葡萄树,

15这棵你亲手栽种和培育的葡萄树。

16这树被砍倒,被焚烧,

愿你发怒毁灭仇敌。

17求你扶持你所拣选的人,你为自己所养育的人。

18我们必不再背弃你,

求你复兴我们,

我们必敬拜你。

19万军之上帝耶和华啊,

求你复兴我们,

用你脸上的荣光照耀我们,

使我们得救。