Zaburi 79 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 79:1-13

Zaburi 79

Maombi Kwa Ajili Ya Wokovu Wa Taifa

Zaburi ya Asafu.

179:1 Kut 34:9; Law 20:3; 2Fal 25:9; Neh 4:2; Isa 6:11; Yer 26:18Ee Mungu, mataifa yameuvamia urithi wako,

wamelinajisi Hekalu lako takatifu,

wameifanya Yerusalemu kuwa magofu.

279:2 Ufu 19:17-18; Kum 28:26; Yer 7:33Wametoa maiti za watumishi

kuwa chakula cha ndege wa angani

na nyama ya watakatifu wako

kwa wanyama wa nchi.

379:3 Ufu 11:9; Yer 25:33; 16:4Wamemwaga damu kama maji

kuzunguka Yerusalemu yote,

wala hakuna yeyote wa kuwazika.

479:4 Eze 5:14; Za 39:8; 44:13Tumekuwa kitu cha aibu kwa jirani zetu,

cha dharau na mzaha kwa wale wanaotuzunguka.

579:5 Za 74:10; 74:1; 85:5; Kum 29:20; Za 89:46; Sef 3:8; Eze 36:5Hata lini, Ee Bwana? Je, wewe utakasirika milele?

Wivu wako utawaka kama moto hadi lini?

679:6 Ufu 16:1; Za 2:5; 110:5; 14:4; 53:4; 147:20; 69:24; Yer 10:25; Isa 45:4Mwaga ghadhabu yako kwa mataifa yasiyokukubali,

juu ya falme za hao wasioliitia jina lako,

779:7 Isa 9:12; Yer 10:25kwa maana wamemrarua Yakobo

na kuharibu nchi ya makao yake.

879:8 Mwa 9:25; Yer 44:21; Za 116:6; 142:6Usituhesabie dhambi za baba zetu,

huruma yako na itujie hima,

kwa maana tu wahitaji mno.

979:9 2Nya 14:11; 25:11; 31:3; Yer 14:7; Yos 7:9Ee Mungu Mwokozi wetu, utusaidie,

kwa ajili ya utukufu wa jina lako;

tuokoe na kutusamehe dhambi zetu

kwa ajili ya jina lako.

1079:10 Za 42:3; 94:1; Ufu 6:10; Za 79:3Kwa nini mataifa waseme,

“Yuko wapi Mungu wenu?”

Mbele ya macho yetu,

dhihirisha kati ya mataifa

kwamba unalipiza kisasi damu iliyomwagwa

ya watumishi wako.

1179:11 Hes 14:17Kilio cha huzuni cha wafungwa kifike mbele zako;

kwa nguvu za mkono wako

hifadhi wale waliohukumiwa kufa.

1279:12 Isa 65:6; Yer 32:18; Mwa 4:15Walipize jirani zetu mara saba vifuani mwao

aibu walizovurumisha juu yako, Ee Bwana.

1379:13 Za 44:8; 74:1; Isa 43:21Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako,

tutakusifu milele;

toka kizazi hadi kizazi

tutasimulia sifa zako.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 79:1-13

第 79 篇

祈求上帝拯救

亞薩的詩。

1上帝啊,

外族人侵佔你的產業,

玷污你的聖殿,

使耶路撒冷淪為廢墟。

2他們把你僕人的屍體餵飛鳥,

把你忠心子民的屍體給野獸吃,

3使耶路撒冷周圍血流成河,

屍體無人埋葬。

4我們成了列國羞辱的對象,

周圍的人都嗤笑、譏諷我們。

5耶和華啊,你向我們發怒,

要到何時呢?

難道要到永遠嗎?

你的怒火要燒到何時呢?

6求你把烈怒撒向那些不承認你的列邦,

撒向那些不求告你的列國。

7因為他們吞噬了雅各

摧毀了他的家園。

8求你不要向我們追討我們祖先的罪,

願你快快地憐憫我們,

因為我們已經落入絕望中。

9拯救我們的上帝啊,

求你為了自己榮耀的名而幫助我們,

為你名的緣故拯救我們,

赦免我們的罪。

10為何讓列邦說:

「他們的上帝在哪裡?」

求你讓我們親眼看見,

也讓列邦都知道,

你為自己被害的子民伸冤。

11求你垂聽被囚之人的哀歎,

求你用大能的臂膀留住死囚的性命。

12主啊,我們的鄰邦羞辱你,

求你以七倍的羞辱來報應他們。

13這樣,你的子民,你草場上的羊必永遠稱謝你,世代稱頌你。