Zaburi 73 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 73:1-28

KITABU CHA TATU

(Zaburi 73–89)

Zaburi 73

Haki Ya Mungu

Zaburi ya Asafu.

173:1 Za 24:4; 5:8Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli,

kwa wale ambao mioyo yao ni safi.

273:2 Kum 32:35; Za 69:2; Efe 4:27Bali kwangu mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza;

nilikuwa karibu mguu wangu kuachia uliposimama.

373:3 Mit 3:31; 23:17; 24:1-2; Ay 9:24; 21:7; Yer 12:1; Mal 3:15Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna

nilipoona kufanikiwa kwa waovu.

4Wao hawana taabu,73:4 Tafsiri nyingine zinasema: hawana maumivu katika kufa kwao.

miili yao ina afya na nguvu.

573:5 Za 73:12; Eze 23:42Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine,

wala hawapati mapigo kama wanadamu wengine.

673:6 Law 26:19; Mwa 6:11; 41:42; Wim 4:9; Eze 16:11; Mit 4:17; Mhu 8:11Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao,

wamejivika jeuri.

773:7 Za 7:10Uovu hutoka katika mioyo yao iliyokufa ganzi,

majivuno maovu kutoka mioyoni mwao hauna kikomo.

873:8 Za 10:7; 12:5; 41:5; Eze 25:15; Kol 3:8; 2Pet 2:18; Yud 16Hudhihaki na kusema kwa ukorofi,

katika majivuno yao wanatishia kutesa.

973:9 Ufu 13:6Vinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu,

nazo ndimi zao humiliki duniani.

10Kwa hiyo watu wao huwageukia

na kunywa maji tele.73:10 Au: na kupokea yote wasemayo.

1173:11 Ay 22:13; Za 94:7Wanasema, “Mungu awezaje kujua?

Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”

1273:12 Za 73:5; 49:6Hivi ndivyo walivyo waovu:

siku zote hawajali,

wanaongezeka katika utajiri.

1373:13 Ay 9:29-31; 21:15; Za 24:4; Mal 3:14; Mwa 44:16; Ebr 10:19-22Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure,

ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.

1473:14 Za 73:5Mchana kutwa nimetaabika,

nimeadhibiwa kila asubuhi.

15Kama ningesema, “Nitasema hivi,”

ningelikuwa nimewasaliti watoto wako.

1673:16 Mhu 8:17Nilipojaribu kuelewa haya yote,

yalikuwa magumu kwangu kuelewa.

1773:17 Kut 15:17; Ay 8:13; Flp 3:19; Za 15:1; 77:13Mpaka nilipoingia patakatifu pa Mungu,

ndipo nilipotambua mwisho wao.

1873:18 Kum 32:35; Za 35:6; 17:13Hakika unawaweka mahali pa utelezi,

unawaangusha chini kwa uharibifu.

1973:19 Kum 28:20; Mit 24:22; Isa 47:11; Mwa 19:15Tazama jinsi wanavyoangamizwa ghafula,

wanatoweshwa kabisa na vitisho!

2073:20 Za 78:65; Isa 29:8; Ay 20:8; Mit 12:11; 28:19Kama ndoto mtu aamkapo,

hivyo wakati uinukapo, Ee Bwana,

utawatowesha kama ndoto.

21Wakati moyo wangu ulipohuzunishwa,

na roho yangu ilipotiwa uchungu,

2273:22 Za 49:10; 92:6; 49:12, 20; Mhu 3:18; 9:12nilikuwa mpumbavu na mjinga,

nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.

2373:23 Mwa 48:13Hata hivyo niko pamoja nawe siku zote,

umenishika mkono wangu wa kuume.

2473:24 Za 48:14; 1Fal 22:5; Isa 58:8; Yn 14:3; 2Kor 5:1Unaniongoza kwa shauri lako,

hatimaye utaniingiza katika utukufu.

2573:25 Za 16:2; Flp 3:8Nani niliye naye mbinguni ila wewe?

Dunia haina chochote ninachokitamani ila wewe.

2673:26 Kum 32:9; Za 18:1; 84:2; 31:10; 40:12Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa,

bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu

na fungu langu milele.

2773:27 Za 34:21; Law 6:2; Yer 5:11; Hos 4:12; 9:1Wale walio mbali nawe wataangamia,

unawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.

2873:28 Sef 3:2; Yak 4:8; Za 40:5; 26:7; 9:9; Ebr 10:22Lakini kwangu mimi,

ni vyema kuwa karibu na Mungu.

Nimemfanya Bwana Mwenyezi kimbilio langu;

nami nitayasimulia matendo yako yote.

Hoffnung für Alle

Psalm 73:1-28

Drittes Buch

(Psalm 73–89)

Geht es den Menschen ohne Gott besser?

1Ein Lied von Asaf.

Gott ist gut zu Israel, zu allen, die ein reines Herz haben.

Das kann niemand bestreiten!

2Ich aber wäre beinahe gestrauchelt;

es fehlte nicht viel, und ich wäre zu Fall gekommen.

3Denn ich beneidete die überheblichen Menschen:

Ihnen geht es so gut, obwohl Gott ihnen gleichgültig ist.

4Ihr Leben lang haben sie keine Schmerzen,

sie strotzen vor Gesundheit und Kraft.

5Sie müssen sich nicht abplagen wie andere Menschen,

und die täglichen Sorgen sind ihnen ganz und gar fremd.

6Wie ein Schmuckstück tragen sie ihren Stolz zur Schau,

ja, sie prahlen sogar mit ihren Gewalttaten.

7In ihren feisten Gesichtern

spiegelt sich die Bosheit ihres Herzens wider.

8Mit Verachtung schauen sie auf andere herab und verhöhnen sie,

mit zynischen Worten setzen sie jeden unter Druck.

9Sie tun, als kämen ihre Worte vom Himmel;

sie meinen, ihre Sprüche seien für die ganze Menschheit wichtig.

10Darum läuft sogar Gottes Volk ihnen nach,

gierig saugt es ihre Worte auf wie frisches Wasser.73,10 Wörtlich: Darum wendet sich sein Volk ihnen zu. Wasser in Fülle wird bei ihnen ausgetrunken.

11Denn diese eingebildeten Leute sagen:

»Gott kümmert sich um nichts – wie sollte er auch?

Er thront weit oben und weiß nicht, was sich hier unten abspielt!«

12Selbstsicher und sorglos leben sie in den Tag hinein,

ihr Vermögen und ihre Macht werden immer größer.

13War es denn völlig umsonst, dass ich mir ein reines Gewissen bewahrte

und mir nie etwas zuschulden kommen ließ?

14Jeder Tag wird mir zur Qual,

eine Strafe ist er schon am frühen Morgen!

15Hätte ich mir vorgenommen:

»Ich will genauso vermessen reden wie sie!«,

dann hätte ich dein ganzes Volk verraten.

16Also versuchte ich zu begreifen,

warum es dem Gottlosen gut und dem Frommen schlecht geht,

aber es war viel zu schwer für mich.

17Schließlich ging ich in dein Heiligtum,

und dort wurde mir auf einmal klar:

Entscheidend ist, wie ihr Leben endet!

18Du stellst sie auf schlüpfrigen Boden

und wirst sie ins Verderben stürzen.

19Ganz plötzlich wird sie das Entsetzen packen,

sie werden ein Ende mit Schrecken nehmen.

20Wie ein Traum beim Erwachen verschwindet,

so vergehen sie, wenn du dich erhebst, o Herr.

21Als ich verbittert war

und mich vor Kummer verzehrte,

22da war ich dumm wie ein Stück Vieh,

ich hatte nichts begriffen.

23Jetzt aber bleibe ich immer bei dir,

und du hältst mich bei der Hand.

24Du führst mich nach deinem Plan

und nimmst mich am Ende in Ehren auf.

25Herr, wenn ich nur dich habe,

bedeuten Himmel und Erde mir nichts.

26Selbst wenn meine Kräfte schwinden und ich umkomme,

so bist du, Gott, doch allezeit meine Stärke –

ja, du bist alles, was ich brauche73,26 Wörtlich: so bist du der Fels meines Herzens und mein Erbteil für immer.!

27Eines ist sicher: Wer dich ablehnt, wird zugrunde gehen;

du vernichtest jeden, der dir die Treue bricht.

28Ich aber darf dir immer nahe sein, das ist mein ganzes Glück!

Dir vertraue ich, Herr, mein Gott;

von deinen großen Taten will ich allen erzählen.