Zaburi 73 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 73:1-28

KITABU CHA TATU

(Zaburi 73–89)

Zaburi 73

Haki Ya Mungu

Zaburi ya Asafu.

173:1 Za 24:4; 5:8Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli,

kwa wale ambao mioyo yao ni safi.

273:2 Kum 32:35; Za 69:2; Efe 4:27Bali kwangu mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza;

nilikuwa karibu mguu wangu kuachia uliposimama.

373:3 Mit 3:31; 23:17; 24:1-2; Ay 9:24; 21:7; Yer 12:1; Mal 3:15Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna

nilipoona kufanikiwa kwa waovu.

4Wao hawana taabu,73:4 Tafsiri nyingine zinasema: hawana maumivu katika kufa kwao.

miili yao ina afya na nguvu.

573:5 Za 73:12; Eze 23:42Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine,

wala hawapati mapigo kama wanadamu wengine.

673:6 Law 26:19; Mwa 6:11; 41:42; Wim 4:9; Eze 16:11; Mit 4:17; Mhu 8:11Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao,

wamejivika jeuri.

773:7 Za 7:10Uovu hutoka katika mioyo yao iliyokufa ganzi,

majivuno maovu kutoka mioyoni mwao hauna kikomo.

873:8 Za 10:7; 12:5; 41:5; Eze 25:15; Kol 3:8; 2Pet 2:18; Yud 16Hudhihaki na kusema kwa ukorofi,

katika majivuno yao wanatishia kutesa.

973:9 Ufu 13:6Vinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu,

nazo ndimi zao humiliki duniani.

10Kwa hiyo watu wao huwageukia

na kunywa maji tele.73:10 Au: na kupokea yote wasemayo.

1173:11 Ay 22:13; Za 94:7Wanasema, “Mungu awezaje kujua?

Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”

1273:12 Za 73:5; 49:6Hivi ndivyo walivyo waovu:

siku zote hawajali,

wanaongezeka katika utajiri.

1373:13 Ay 9:29-31; 21:15; Za 24:4; Mal 3:14; Mwa 44:16; Ebr 10:19-22Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure,

ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.

1473:14 Za 73:5Mchana kutwa nimetaabika,

nimeadhibiwa kila asubuhi.

15Kama ningesema, “Nitasema hivi,”

ningelikuwa nimewasaliti watoto wako.

1673:16 Mhu 8:17Nilipojaribu kuelewa haya yote,

yalikuwa magumu kwangu kuelewa.

1773:17 Kut 15:17; Ay 8:13; Flp 3:19; Za 15:1; 77:13Mpaka nilipoingia patakatifu pa Mungu,

ndipo nilipotambua mwisho wao.

1873:18 Kum 32:35; Za 35:6; 17:13Hakika unawaweka mahali pa utelezi,

unawaangusha chini kwa uharibifu.

1973:19 Kum 28:20; Mit 24:22; Isa 47:11; Mwa 19:15Tazama jinsi wanavyoangamizwa ghafula,

wanatoweshwa kabisa na vitisho!

2073:20 Za 78:65; Isa 29:8; Ay 20:8; Mit 12:11; 28:19Kama ndoto mtu aamkapo,

hivyo wakati uinukapo, Ee Bwana,

utawatowesha kama ndoto.

21Wakati moyo wangu ulipohuzunishwa,

na roho yangu ilipotiwa uchungu,

2273:22 Za 49:10; 92:6; 49:12, 20; Mhu 3:18; 9:12nilikuwa mpumbavu na mjinga,

nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.

2373:23 Mwa 48:13Hata hivyo niko pamoja nawe siku zote,

umenishika mkono wangu wa kuume.

2473:24 Za 48:14; 1Fal 22:5; Isa 58:8; Yn 14:3; 2Kor 5:1Unaniongoza kwa shauri lako,

hatimaye utaniingiza katika utukufu.

2573:25 Za 16:2; Flp 3:8Nani niliye naye mbinguni ila wewe?

Dunia haina chochote ninachokitamani ila wewe.

2673:26 Kum 32:9; Za 18:1; 84:2; 31:10; 40:12Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa,

bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu

na fungu langu milele.

2773:27 Za 34:21; Law 6:2; Yer 5:11; Hos 4:12; 9:1Wale walio mbali nawe wataangamia,

unawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.

2873:28 Sef 3:2; Yak 4:8; Za 40:5; 26:7; 9:9; Ebr 10:22Lakini kwangu mimi,

ni vyema kuwa karibu na Mungu.

Nimemfanya Bwana Mwenyezi kimbilio langu;

nami nitayasimulia matendo yako yote.

La Bible du Semeur

Psaumes 73:1-28

Troisième livre

Pourquoi les méchants réussissent-ils ?

1Psaume d’Asaph73.1 Voir note 50.1..

Oui, Dieu est bon pour Israël,

pour tous ceux qui ont le cœur pur.

2Pourtant, il s’en fallut de peu ╵que mes pieds ne trébuchent,

un rien de plus, et je tombais.

3J’étais jaloux des arrogants

en voyant la tranquillité ╵des gens méchants.

4Car ils sont exempts de tourments ; ╵jusqu’à leur mort73.4 jusqu’à leur mort: en coupant autrement les mots hébreux, on comprend : ils ont la santé.

et ont de l’embonpoint.

5Ils passent à côté des peines ╵qui sont le lot commun des hommes.

Ils ne subissent pas les maux ╵qui frappent les humains.

6Aussi s’ornent-ils d’arrogance ╵comme on porte un collier,

ils s’enveloppent de violence ╵comme d’un vêtement,

7leurs yeux sont pétillants ╵dans leur visage plein de graisse,

les mauvais désirs de leur cœur ╵débordent sans mesure.

8Ils sont moqueurs, ╵ils parlent méchamment

et, sur un ton hautain, ╵menacent d’opprimer.

9Leur bouche s’en prend au ciel même,

leur langue sévit sur la terre.

10Aussi le peuple les suit-il,

buvant à longs traits leurs paroles,

11tout en disant : « Dieu ? Que sait-il ?

Celui qui est là-haut ╵connaît-il quelque chose ? »

12Voilà comment sont les méchants :

toujours tranquilles, ╵ils accumulent les richesses.

13Alors, c’est donc en vain ╵que je suis resté pur ╵au fond de moi,

que j’ai lavé mes mains ╵pour les conserver innocentes !

14Tous les jours, je subis des coups,

je suis châtié chaque matin !

15Si je disais : « Parlons comme eux »,

alors je trahirais tes fils.

16Je me suis mis à réfléchir : ╵pour tenter de comprendre ;

cela était pour moi ╵un sujet de tourment,

17jusqu’à ce que je me rende au sanctuaire de Dieu73.17 Autres traductions : dans le sanctuaire, ou dans le dessein, les secrets, les mystères de Dieu..

Alors j’ai réfléchi ╵au sort qui les attend.

18Car, en fait, tu les mets ╵sur un terrain glissant,

tu les entraînes vers la ruine.

19Comme soudain ╵les voilà dévastés !

Ils sont détruits ╵et emportés par l’épouvante.

20Comme les images du rêve ╵s’évanouissant au réveil,

Seigneur, quand tu interviendras, ╵tu feras d’eux bien peu de cas.

21Oui, quand j’avais le cœur amer

et que je me tourmentais intérieurement,

22j’étais un sot, un ignorant,

je me comportais avec toi ╵comme une bête.

23Mais je suis toujours avec toi,

et tu m’as saisi la main droite,

24par ton conseil, tu me conduis,

puis tu me prendras dans la gloire.

25Qui ai-je au ciel, si ce n’est toi ?

Et que désirer d’autre ╵sur cette terre ╵car je suis avec toi ?

26Mon corps peut s’épuiser ╵et mon cœur défaillir,

Dieu reste mon rocher, ╵et mon bien précieux pour toujours.

27Qui t’abandonne se perdra,

et tu anéantiras ╵tous ceux qui te sont infidèles.

28Tandis que mon bonheur à moi, ╵c’est d’être près de Dieu.

J’ai pris le Seigneur, l’Eternel, ╵comme refuge

et je raconterai toutes ses œuvres.