Zaburi 71 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 71:1-24

Zaburi 71

Kuomba Ulinzi Na Msaada Siku Zote Za Maisha

171:1 Kum 23:15; Rut 2:12; Za 22:5Ee Bwana, nimekukimbilia wewe,

usiache nikaaibika kamwe.

271:2 2Fal 19:1671:2 Kut 34:6Kwa haki yako uniponye na kuniokoa,

unitegee sikio lako uniokoe.

371:3 Za 18:2Uwe kwangu mwamba wa kimbilio,

mahali nitakapokimbilia kila wakati;

toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe

ni mwamba wangu na ngome yangu.

471:4 2Fal 19:19; Za 140:4; Mwa 48:16Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu,

kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.

571:5 Za 9:18; 25:5; Ay 4:6; Yer 17:7Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee Bwana Mwenyezi,

tegemeo langu tangu ujana wangu.

671:6 Ay 3:16; Za 9:1; 22:9; 34:1; 52:9; 119:164; 145:2Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,

ulinitoa tumboni mwa mama yangu.

Nitakusifu wewe daima.

771:7 Kum 28:46; 1Kor 4:9; Za 61:3; 2Sam 22:3Nimekuwa kama kioja kwa wengi,

lakini wewe ni kimbilio langu imara.

871:8 Za 71:15; 51:15; 63:5; 96:6; 104:1Kinywa changu kimejazwa sifa zako,

nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.

971:9 Za 51:11; 92:14; Kum 4:31; 31:6Usinitupe wakati wa uzee,

wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.

1071:10 Za 3:7; 10:8; 59:3; 31:13; Mt 1:10; 12:14Kwa maana adui zangu wananisengenya,

wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.

1171:11 Isa 40:27; 54:7; Mt 27:46; Za 7:2; 9:10; Mao 5:20Wanasema, “Mungu amemwacha,

mkimbilieni mkamkamate,

kwani hakuna wa kumwokoa.”

1271:12 Za 38:21, 22; 22:19Ee Mungu, usiwe mbali nami,

njoo haraka kunisaidia, Ee Mungu wangu.

1371:13 Ay 8:22; Za 15:3; 70:2; Yer 18:19Washtaki wangu na waangamie kwa aibu,

wale wanaotaka kunidhuru

na wafunikwe kwa dharau na fedheha.

1471:14 Za 25:3; 42:5; 130:7; 131:3Lakini mimi, nitatumaini siku zote,

nitakusifu zaidi na zaidi.

1571:15 Za 71:8; 66:6; 51:14Kinywa changu kitasimulia haki yako,

wokovu wako mchana kutwa,

ingawa sifahamu kipimo chake.

1671:16 Za 77:12; 106:2; 118:15; 9:1; 145:4Ee Bwana Mwenyezi, nitakuja

na kutangaza matendo yako makuu,

nitatangaza haki yako, yako peke yako.

1771:17 Yer 7:13; Ay 5:9; Za 26:7; 86:10; 96:3; Kum 4:5Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,

hadi leo ninatangaza matendo yako ya ajabu.

1871:18 Isa 46:4; Kut 9:16; Ay 8:8; Yoe 1:3; Za 78:4; 145:4; 22:30, 31Ee Mungu, usiniache,

hata niwapo mzee wa mvi,

mpaka nitangaze uwezo wako kwa kizazi kijacho,

nguvu zako kwa wote watakaokuja baadaye.

1971:19 Lk 1:49; Za 36:5; 35:10; 77:13; 89:8; 126:2Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu,

wewe ambaye umefanya mambo makuu.

Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?

2071:20 Za 80:3, 19; 25:17; 85:4; 63:9; Hos 6:2Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu,

utanihuisha tena,

kutoka vilindi vya dunia

utaniinua tena.

2171:21 Za 18:35; 86:17; Isa 12:1; 40:1, 2; 49:13; 54:10Utaongeza heshima yangu

na kunifariji tena.

2271:22 Za 33:2; 92:3; 144:9; Ay 21:12; 2Fal 19:22Ee Mungu wangu, nitakusifu kwa kinubi

kwa ajili ya uaminifu wako;

Ee Uliye Mtakatifu wa Israeli,

nitakuimbia sifa kwa zeze.

2371:23 Za 20:5; Kut 15:13Midomo yangu itapaza sauti kwa furaha

ninapokuimbia sifa,

mimi, ambaye umenikomboa.

2471:24 Za 35:28; Es 9:2Ulimi wangu utasimulia matendo yako ya haki

mchana kutwa,

kwa maana wale waliotaka kunidhuru,

wameaibishwa na kufadhaishwa.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 71:1-24

71

1主よ。あなたは私の隠れ場です。

私がくずおれないよう、お守りください。

2不正を憎まれる方よ、この訴えに耳を傾け、

救いの手を差し伸べてください。

3私を守る大きな岩となり、

いつでも私をかくまい、

あらゆる攻撃から守ってください。

4ああ神よ、不正をする残忍な者どもの手から、

逃れさせてください。

5ああ主よ、あなただけが頼りです。

私は幼いころからあなたに信頼してきました。

6そうです、産声を上げた瞬間から、

あなたは私のそばにいて、

いつも助けてくださいました。

ですから、私はいつもあなたをほめたたえるのです。

7あなたの強力な守りのおかげで、

私は人々が目をみはるほどの成功を収めたのです。

8ああ神よ。私は一日中、あなたがしてくださった

数々のことを思い起こしては、

あなたを賛美し、栄誉をたたえています。

9私は年老いて体力も衰えています。

どうか、お見捨てにならないでください。

10敵はひそひそと話しています。

11「神もあいつを見限ったのだ。もうじゃまは入らない。

今度こそ、打ち倒すことができる。」

12ああ神よ、そんなに離れた所にいないでください。

急いで来て助けてください。

13敵を痛めつけ、恥をかかせてください。

14あなたが助けてくださると信じて待ちます。

ますますあなたをほめたたえます。

15何度、あなたが、危ない目から助けてくださったか、

数えきれないくらいです。

会う人ごとに、あなたの恵み深さと、

日々とぎれることのない思いやりとを告げましょう。

16主なる神の力をおびて歩き回り、

正しくて恵み深いお方はあなただけだと伝えましょう。

17ああ、子どもの時から私を助けてくださった神よ。

私は機会あるごとに、あなたのすばらしいわざを、

人々に伝えてきました。

18私は年をとり、髪は白くなりましたが、

どうか見捨てないでください。

神のすばらしい奇跡を

次の世代に伝えさせてください。

19神よ。あなたの力と恵みは天の天にまで届きます。

あなたほどすばらしいことをなさった神が、

ほかにあるでしょうか。

20あなたは私に難題を与え、

苦しみもがくようになさいました。

しかし、あなたは地中深くから私を引き上げ、

再び生き返らせてくださいます。

21そして、以前にもまさる名誉を与え、

再び御顔を見せて慰めてくださるのです。

22ああ、イスラエルのきよい神よ。

私は楽器をかなでてほめ歌を歌い、

あなたがどれほど約束に忠実なお方であるかを、

告げ知らせます。

23あなたに救い出していただいた私は、歓声を上げて、

感謝の賛歌を歌います。

24一日中、あなたの公正なさばきと温情とを、

人々に伝えます。

私に害を加えようとした者はみな、恥じ入り、

すっかり面目を失ったからです。