Zaburi 69 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 69:1-36

Zaburi 69

Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.

169:1 Za 42:7; 32:6; Yon 2:5Ee Mungu, niokoe,

kwa maana maji yamenifika shingoni.

269:2 Ay 30:19Ninazama kwenye vilindi vya matope,

pasipo mahali pa kukanyaga,

Nimefika kwenye maji makuu,

mafuriko yamenigharikisha.

369:3 Za 6:6; 119:82Nimechoka kwa kuomba msaada,

koo langu limekauka.

Macho yangu yanafifia,

nikimtafuta Mungu wangu.

469:4 Yn 15:25; Za 25:19; 35:19; 38:19; 40:14; 119:95; Isa 32:7Wale wanaonichukia bila sababu

ni wengi kuliko nywele za kichwa changu;

wengi ni adui kwangu bila sababu,

wale wanaotafuta kuniangamiza.

Ninalazimishwa kurudisha

kitu ambacho sikuiba.

569:5 Za 38:5; 44:21Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu,

wala hatia yangu haikufichika kwako.

6Ee Bwana, ewe Bwana Mwenye Nguvu Zote,

wakutumainio wasiaibishwe

kwa ajili yangu;

wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu,

Ee Mungu wa Israeli.

769:7 Yer 15:15; Za 39:8; 44:15Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,

aibu imefunika uso wangu.

869:8 Ay 19:13-15; Za 31:11; 38:11; Isa 53:3; Yn 7:5Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,

mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.

969:9 Yn 2:17; Rum 15:3; Za 89:50-51Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,

matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.

1069:10 Za 35:13Ninapolia na kufunga,

lazima nivumilie matusi.

1169:11 2Sam 3:31; Za 35:13Ninapovaa nguo ya gunia,

watu hunidharau.

1269:12 Mwa 18:1; 23:10; Ay 30:9Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,

nimekuwa wimbo wa walevi.

1369:13 Isa 49:8; 2Kor 6:2; Za 17:7; 51:1Lakini Ee Bwana, ninakuomba,

kwa wakati ukupendezao;

katika upendo wako mkuu, Ee Mungu,

unijibu kwa wokovu wako wa hakika.

1469:14 Za 69:2; 144:7Uniokoe katika matope,

usiniache nizame;

niokoe na hao wanichukiao,

kutoka kwenye vilindi vya maji.

1569:15 Za 36:6; 68:22; Hes 21:33; Yer 22:2069:15 Za 28:1; 124:4, 5; Hes 16:33Usiache mafuriko yanigharikishe

au vilindi vinimeze,

au shimo lifumbe kinywa chake juu yangu.

1669:16 Za 63:3Ee Bwana, unijibu, kwa wema wa upendo wako;

kwa huruma zako nyingi unigeukie.

1769:17 Za 22:24; 143:7; 50:15; 66:14Usimfiche mtumishi wako uso wako,

uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.

1869:18 Za 49:15Njoo karibu uniokoe,

nikomboe kwa sababu ya adui zangu.

1969:19 Za 22:6Unajua jinsi ninavyodharauliwa,

kufedheheshwa na kuaibishwa,

adui zangu wote unawajua.

2069:20 Ay 16:2; Isa 63:5; Za 142:4Dharau zimenivunja moyo

na nimekata tamaa,

nimetafuta wa kunihurumia, lakini sikumpata,

wa kunituliza, lakini sikumpata.

2169:21 Hes 6:3; Lk 23:36; Mt 27:34, 48; Mk 15:23, 36; Yn 19:28-30Waliweka nyongo katika chakula changu

na walinipa siki nilipokuwa na kiu.

2269:22 1Sam 28:9; Ay 18:10Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego,

nayo iwe upatilizo na tanzi.

2369:23 Rum 11:9-10Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,

nayo migongo yao iinamishwe daima.

2469:24 Za 79:6; Yer 10:25Uwamwagie ghadhabu yako,

hasira yako kali na iwapate.

2569:25 Law 26:43; Mt 23:38; Mdo 1:20Mahali pao na pawe ukiwa,

wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.

2669:26 Ay 19:22; Zek 1:15Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,

na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.

2769:27 Neh 4:5; Za 109:14Walipize uovu juu ya uovu,

usiwaache washiriki katika wokovu wako.

2869:28 Kut 32:32-33; Lk 10:20; Eze 13:9Wafutwe kutoka kitabu cha uzima

na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.

2969:29 Za 20:1Mimi niko katika maumivu na dhiki;

Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.

3069:30 Za 28:7; 34:3Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,

nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.

3169:31 Za 50:9-13; 51:16Hili litampendeza Bwana kuliko ngʼombe dume,

zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.

3269:32 Za 34:2; 22:26Maskini wataona na kufurahi:

ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!

3369:33 Za 12:5Bwana huwasikia wahitaji

wala hadharau watu wake waliotekwa.

3469:34 Za 96:11; 98:7; Isa 44:23Mbingu na dunia zimsifu,

bahari na vyote viendavyo ndani yake,

3569:35 Oba 1:17; Ezr 9:9; Za 51:18kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni

na kuijenga tena miji ya Yuda.

Kisha watu watafanya makao yao humo na kuimiliki,

3669:36 Za 25:13; 37:29watoto wa watumishi wake watairithi

na wale wote walipendao jina lake

wataishi humo.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 69:1-36

69

1-2ああ神よ、私をお救いください。

洪水で水が氾濫し、私は泥の中に

じわじわと沈み込んでいきます。

3泣き疲れて、のどは渇き、声はかれ果てました。

神の助けを待ちわびて、

目も赤くなりはれ上がりました。

4理由なく私を憎む者があとを絶ちません。

何も悪いことをしていない私を

殺そうと謀る者たちはみな、有力者ばかりです。

私は身に覚えがないのに、

彼らは報復しようといきり立っています。

5ああ神よ。

あなたは、私の愚かさをよくご存じです。

私の罪も一つ残らず覚えておられます。

6ああ主よ。この私の存在が、

あなたを信頼しようとする人々にとって、

つまずきとなりませんように。

混乱を引き起こす原因となりませんように。

7私はあなたのためにのろわれ、

辱められているからです。

8血を分けた実の兄弟でさえ、

赤の他人のようにしかふるまってくれません。

9神のことを熱心に思うあまり、

心は焼け尽きそうです。

私があなたを弁護したため、

敵は、あなたに対してするように、

私に侮辱のことばを投げつけてきます。

10私が主の前で嘆き悲しみ、断食すると、

彼らは私をあざ笑い、さげすみます。

11私が罪を恥じて謙遜になり、

悲しんで荒布をまとうと、彼らは私を笑いものにします。

12町の人は私のうわさを立て、

私の名は酔っぱらいの歌になりました。

13しかし、私は祈りの手を下ろしません。

神が聞いてくださる時がきたからです。

あなたは、愛と恵みを十分に用意して、

待っていてくださいます。

どうか祈りに答え、約束どおり救ってください。

14この泥沼から引き上げてください。

このまま沈ませないでください。

憎しみを抱く者どもから救い出し、

深い水から引き上げてください。

15洪水が私の背丈を越え、

海にのみ込まれたりしませんように。

私を脅かす穴から救ってください。

16ああ主よ、私の祈りに答えてください。

あなたの恵みはすばらしく、

あわれみにあふれています。

17どうかお姿を隠さないでください。

早く来て、苦しみのどん底から救ってください。

18主よ、駆けつけて来て、救い出してください。

敵の手から守ってください。

19彼らが私のうわさをし、

名誉を傷つけているのを、ご存じのはずです。

彼ら一人一人がどんなことばを口にしたか、

覚えておられるはずです。

20彼らにさげすまれて、私の心は傷つきました。

心はふさぎ込んでしまいました。

一人でも、同情して慰めのことばをかけてくれる人が

いてくれたらと思います。

21彼らは、私の食べ物に毒を盛り、

のどの渇きを訴えると私に酢をつぎました。

22彼らの喜びはなえて、不安にとらわれますように。

23暗闇に閉じ込められて目が見えなくなり、

骨と皮ばかりに衰えますように。

24御怒りの火で、彼らを焼き尽くしてください。

25その住まいは廃屋とし、荒れるにまかせてください。

26彼らは、神が懲らしめた者を迫害し、

神が切りつけた者の傷を見てあざけったからです。

27彼らの罪は高く積もっています。

どうか、見のがさないでください。

28この者どもの名を、いのちの書から抹殺してください。

正しい人と同じように生きる権利を、

はく奪してください。

29しかし、ああ神よ。この私は、

貧困と苦痛から救い上げてくださいますように。

30そうすれば、感謝を込めて

あなたをほめたたえることができます。

31それは、いけにえの雄牛や若い雄牛以上に、

主に喜ばれるでしょう。

32謙遜な人々は神の助けを体験します。

彼らはとても喜びます。

神を探し求める人は、喜びに満たされるからです。

33主は困っている人々の叫びを聞き届けてくださり、

拒んだりはなさいません。

34天と地よ、主をほめたたえなさい。

海も、その中に生きるものも、

神をほめたたえなさい。

35神はエルサレムを救い、

ユダの町々を再建してくださるからです。

神の国民はそこに住み、

決して追い出されることはありません。

36彼らの子孫はその地を受け継ぎ、

神を愛する人々は平穏無事に暮らします。