Zaburi 69 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 69:1-36

Zaburi 69

Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.

169:1 Za 42:7; 32:6; Yon 2:5Ee Mungu, niokoe,

kwa maana maji yamenifika shingoni.

269:2 Ay 30:19Ninazama kwenye vilindi vya matope,

pasipo mahali pa kukanyaga,

Nimefika kwenye maji makuu,

mafuriko yamenigharikisha.

369:3 Za 6:6; 119:82Nimechoka kwa kuomba msaada,

koo langu limekauka.

Macho yangu yanafifia,

nikimtafuta Mungu wangu.

469:4 Yn 15:25; Za 25:19; 35:19; 38:19; 40:14; 119:95; Isa 32:7Wale wanaonichukia bila sababu

ni wengi kuliko nywele za kichwa changu;

wengi ni adui kwangu bila sababu,

wale wanaotafuta kuniangamiza.

Ninalazimishwa kurudisha

kitu ambacho sikuiba.

569:5 Za 38:5; 44:21Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu,

wala hatia yangu haikufichika kwako.

6Ee Bwana, ewe Bwana Mwenye Nguvu Zote,

wakutumainio wasiaibishwe

kwa ajili yangu;

wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu,

Ee Mungu wa Israeli.

769:7 Yer 15:15; Za 39:8; 44:15Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,

aibu imefunika uso wangu.

869:8 Ay 19:13-15; Za 31:11; 38:11; Isa 53:3; Yn 7:5Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,

mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.

969:9 Yn 2:17; Rum 15:3; Za 89:50-51Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,

matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.

1069:10 Za 35:13Ninapolia na kufunga,

lazima nivumilie matusi.

1169:11 2Sam 3:31; Za 35:13Ninapovaa nguo ya gunia,

watu hunidharau.

1269:12 Mwa 18:1; 23:10; Ay 30:9Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,

nimekuwa wimbo wa walevi.

1369:13 Isa 49:8; 2Kor 6:2; Za 17:7; 51:1Lakini Ee Bwana, ninakuomba,

kwa wakati ukupendezao;

katika upendo wako mkuu, Ee Mungu,

unijibu kwa wokovu wako wa hakika.

1469:14 Za 69:2; 144:7Uniokoe katika matope,

usiniache nizame;

niokoe na hao wanichukiao,

kutoka kwenye vilindi vya maji.

1569:15 Za 36:6; 68:22; Hes 21:33; Yer 22:2069:15 Za 28:1; 124:4, 5; Hes 16:33Usiache mafuriko yanigharikishe

au vilindi vinimeze,

au shimo lifumbe kinywa chake juu yangu.

1669:16 Za 63:3Ee Bwana, unijibu, kwa wema wa upendo wako;

kwa huruma zako nyingi unigeukie.

1769:17 Za 22:24; 143:7; 50:15; 66:14Usimfiche mtumishi wako uso wako,

uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.

1869:18 Za 49:15Njoo karibu uniokoe,

nikomboe kwa sababu ya adui zangu.

1969:19 Za 22:6Unajua jinsi ninavyodharauliwa,

kufedheheshwa na kuaibishwa,

adui zangu wote unawajua.

2069:20 Ay 16:2; Isa 63:5; Za 142:4Dharau zimenivunja moyo

na nimekata tamaa,

nimetafuta wa kunihurumia, lakini sikumpata,

wa kunituliza, lakini sikumpata.

2169:21 Hes 6:3; Lk 23:36; Mt 27:34, 48; Mk 15:23, 36; Yn 19:28-30Waliweka nyongo katika chakula changu

na walinipa siki nilipokuwa na kiu.

2269:22 1Sam 28:9; Ay 18:10Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego,

nayo iwe upatilizo na tanzi.

2369:23 Rum 11:9-10Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,

nayo migongo yao iinamishwe daima.

2469:24 Za 79:6; Yer 10:25Uwamwagie ghadhabu yako,

hasira yako kali na iwapate.

2569:25 Law 26:43; Mt 23:38; Mdo 1:20Mahali pao na pawe ukiwa,

wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.

2669:26 Ay 19:22; Zek 1:15Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,

na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.

2769:27 Neh 4:5; Za 109:14Walipize uovu juu ya uovu,

usiwaache washiriki katika wokovu wako.

2869:28 Kut 32:32-33; Lk 10:20; Eze 13:9Wafutwe kutoka kitabu cha uzima

na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.

2969:29 Za 20:1Mimi niko katika maumivu na dhiki;

Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.

3069:30 Za 28:7; 34:3Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,

nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.

3169:31 Za 50:9-13; 51:16Hili litampendeza Bwana kuliko ngʼombe dume,

zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.

3269:32 Za 34:2; 22:26Maskini wataona na kufurahi:

ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!

3369:33 Za 12:5Bwana huwasikia wahitaji

wala hadharau watu wake waliotekwa.

3469:34 Za 96:11; 98:7; Isa 44:23Mbingu na dunia zimsifu,

bahari na vyote viendavyo ndani yake,

3569:35 Oba 1:17; Ezr 9:9; Za 51:18kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni

na kuijenga tena miji ya Yuda.

Kisha watu watafanya makao yao humo na kuimiliki,

3669:36 Za 25:13; 37:29watoto wa watumishi wake watairithi

na wale wote walipendao jina lake

wataishi humo.

Hoffnung für Alle

Psalm 69:1-37

In der Zerreißprobe

1Von David. Nach der Melodie: »Lilien«.

2Rette mich, Gott,

das Wasser steht mir bis zum Hals!

3Ich versinke im tiefen Schlamm,

meine Füße finden keinen Halt mehr.

Die Strudel ziehen mich nach unten,

und die Fluten schlagen schon über mir zusammen.

4Ich habe mich heiser geschrien

und bin völlig erschöpft.

Meine Augen sind vom Weinen ganz verquollen,

vergeblich halte ich Ausschau nach meinem Gott.

5Wie viele hassen mich ohne jeden Grund!

Ich habe mehr Feinde als Haare auf dem Kopf.

Sie besitzen Macht und wollen mich auslöschen.

Ich soll zurückgeben, was ich nie gestohlen habe,

so fordern sie lauthals von mir.

6Menschen können mir nichts vorwerfen,

in deinen Augen jedoch bin ich nicht ohne Schuld;

du weißt besser als ich, wie dumm ich war.

7Du bist der Herr, der allmächtige Gott Israels:

Enttäusche nicht die Menschen, die auf dich hoffen!

Denn wenn sie sehen, dass du mich im Stich lässt,

werden sie an dir verzweifeln!

8Man verhöhnt mich, weil ich zu dir gehöre,

Schimpf und Schande muss ich über mich ergehen lassen.

9Meine Verwandten wollen nichts mehr von mir wissen,

selbst meinen Brüdern bin ich fremd geworden.

10Ich verzehre mich im Eifer für deinen Tempel.

Die Anfeindungen, die dir, Gott, galten, haben mich getroffen.

11Ich weinte über den Zustand deines Heiligtums und fastete,

aber damit wurde ich erst recht zum Gespött der Leute.

12Als ich ein grobes Trauergewand anzog,

kam ich noch mehr ins Gerede.

13Auf dem Marktplatz zerreißen sie sich das Maul über mich;

und bei Zechgelagen grölen sie ihre Spottlieder.

14Ich aber bete zu dir, Herr!

Jetzt ist die Zeit gekommen, in der du mir gnädig sein wirst!69,14 Oder: Sei mir gnädig zu der Zeit, die du bestimmst!

Erhöre mich, Gott, denn deine Güte ist groß

und auf deine Hilfe ist immer Verlass.

15Ziehe mich aus dem Sumpf heraus,

lass mich nicht versinken!

Rette mich vor denen, die mich hassen!

Zieh mich heraus aus dem reißenden Wasser,

16sonst schlagen die Fluten über mir zusammen,

und der Strudel reißt mich in die Tiefe.

Hol mich heraus, sonst verschlingt mich der Abgrund!

17Erhöre mich, Herr, denn deine Güte tröstet mich!

Wende dich mir zu in deinem großen Erbarmen.

18Verbirg dich nicht länger vor mir, ich bin doch dein Diener!

Ich weiß keinen Ausweg mehr, darum erhöre mich bald.

19Komm und rette mich, ja, erlöse mich,

damit meine Feinde das Nachsehen haben!

20Du kennst die Schmach, die man mir zufügt,

du weißt, wie man mich mit Hohn und Spott überschüttet.

Und du kennst jeden, der mich bedrängt.

21Die Schande bricht mir das Herz,

sie macht mich krank.

Ich hoffte auf Mitleid, aber nein!

Ich suchte Trost und fand ihn nicht!

22Sie mischten Gift in meine Speise;

und als ich Durst hatte, gaben sie mir Essig zu trinken.

23Ihre Opferfeste sollen ihnen zu einer Falle werden,

in der sie sich selbst fangen!

24Mach sie blind, damit sie nichts mehr sehen,

und lass sie für immer kraftlos hin- und herschwanken!

25Schütte deinen Zorn über sie aus,

überwältige sie in deinem Grimm!

26Ihr Besitz soll veröden,

in ihren Zelten soll niemand mehr wohnen!

27Denn erbarmungslos verfolgen sie den,

den du doch schon gestraft hast.

Schadenfroh erzählen sie von seinen Schmerzen.

28Vergib ihnen nichts! Rechne ihnen jede einzelne Schuld an,

damit sie nicht vor dir bestehen können!

29Lösche ihre Namen aus dem Buch des Lebens,

damit sie nicht bei denen aufgeschrieben sind, die zu dir gehören!

30Ich aber bin elend und von Schmerzen gequält.

Beschütze mich, Gott, und hilf mir wieder auf!

31Dann will ich dich loben mit meinem Lied;

ich will deinen Namen rühmen und dir danken!

32Daran hast du mehr Freude als an Rindern,

die man dir opfert, oder an fetten Stieren.

33Wenn die Unterdrückten das sehen, werden sie froh.

Ihr, die ihr nach Gott fragt, fasst neuen Mut!

34Denn der Herr hört das Rufen der Armen und Hilflosen.

Die Menschen, die um seinetwillen ins Gefängnis geworfen werden,

überlässt er nicht ihrem Schicksal.

35Himmel und Erde sollen ihn loben,

die Meere und alles, was darin lebt!

36Denn Gott wird den Berg Zion befreien

und die Städte in Juda wieder aufbauen.

Sein Volk wird sich darin niederlassen

und das Land erneut in Besitz nehmen.

37Die Nachkommen derer, die dem Herrn dienen, werden es erben;

alle, die ihn lieben, werden darin wohnen.